ART ICON CHEGE

ART ICON CHEGE AM AN ACTOR,WRITER,DIRECTOR,CONTENT PRODUCER,POET,MIMICRY,MC,MUSICIAN, ALUMNI AT LEGACY ARTS PRODUCTION AND A COMEDIAN.

🤣🤣🤣 wanaume Soma hizi traffic rules. 😁 Zitakuokolea maisha siku Moja🤗1)ukiwa Kwa jam Hakikisha umelock mlango 😁 sana san...
14/04/2026

🤣🤣🤣 wanaume Soma hizi traffic rules. 😁 Zitakuokolea maisha siku Moja🤗
1)ukiwa Kwa jam Hakikisha umelock mlango 😁 sana sana k**a gari ni ya kuomba, unaeza patana na mwenye gari aingie ndani😢ama hata mwizi.

2)k**a gari ni ya kuiba, usipite nayo area ya kwenyu🙆utashikwa nanii

3)k**a gari ni mpya, eka gear pole pole usije ukaharibu gearbox😌

4)k**a kuna traffic light ya red 🚨 usiingie hiyo barabara..utapata accident 😊

5) usiendeshe gari usiku,😌 afadhali mchana ndo uone mahali unapita😊

6) usiendeshe gari kukiwa kunanyesha😁 ni hatari. Achana nayo, 😂 ichukue siku climate Iko best,🤣

7) gari ikipandisha gauge, I park kando kiasi ipumue. Juu inaeza knock engine.☝️😜

8) gari si kuzungusha stearing pekee na kueka GIA😁gari ni kuichambua kila pahali😊

9) usiendeshe gari k**a hakuna Ngoma😜eka mix ya Dj moja ujibambe.

10) ukitaka gari ikimbie sana sana Kwa mteremko, kanyaga clutch ndani🤣

11) ukiona gari haitoi sauti Kwa mlima, Anza kutoa sauti hata wewe🤣

12) Kwa highway, zoea kupita kando kando...katikati ni ya gari kubwa☝️😁

13) ukisimamishwa na karao, usisimame, fikisha mzigo kwanza😂

14) ukimaliza Hakikisha umedunga hiyo gari mia Tano ya mafuta..isiende kuzimia mbele.
ART ICON CHEGE.
15) ........ongeza yako Moja tuiskie🤣
Na k**a unadhani naongelea gari uko nayo ama uko na kasoro my dear🤣🤣😆.Na usisahau kunifollow ....🤠

Anakuanga shy akiwaomba pesa,Ni mchafu kila time sijui vile mnamubeba.Hajaikosa mtoto kwa mgongo miaka nenda,Anapolala, ...
04/04/2026

Anakuanga shy akiwaomba pesa,
Ni mchafu kila time sijui vile mnamubeba.
Hajaikosa mtoto kwa mgongo miaka nenda,
Anapolala, labda ulie ukiomboleza.

Hananga wazazi acha Leo niiweke wazi.
Japo anapumua ni tukio la kukosa nafasi ya kazi.
Kwa masomo alipita kukuliko familia akiieka mbele ya mavazi.
Watoto ni baraka ila kwake hunyesha kila mwaka juu ya kutumikiwa akilisha walio wazi.
Kila asubuhi huomba akitokea mtaa na sharti amuhurumie apande ngazi🤔.
Bali jukumu la mzazi lishamsukuma hadi machozi ikibaki kwake huyavuta na k**asi.😭😭

Najua munamjua juu si kuku mgeni mjini hapo karibu na basi. 🥲

Siwezi pita bila kusema ukweli kuwa huyo ni dada yangu wa TOKA NITOKE na sina wasi wasi.Subira huvuta heri,yeye huvuta bangi..TO BE CONTINUED😭😭😭😭😭

The last option from zero is one.Never give up when at down..😎
30/03/2026

The last option from zero is one.Never give up when at down..😎

Each a day we push time,at a time it may push us as well.Take your time it's worth what you can all get.✍️
31/07/2025

Each a day we push time,at a time it may push us as well.Take your time it's worth what you can all get.✍️

FUN PAGE.Ushaiota ukioga na sabuni,ikaanguka alafu ukaichukua ukaoga tena😴🤔,unaitwa mijinga🙈🙈,After dakika kumi aliniamb...
16/03/2025

FUN PAGE.
Ushaiota ukioga na sabuni,ikaanguka alafu ukaichukua ukaoga tena😴🤔,unaitwa mijinga🙈🙈,

After dakika kumi aliniambia.ngoja hapo u uone vile ntafanya😭😭nikajijazia ningepotea 😂😂

WANGU najua anakaa wapi😏anakaa poa,🤦🤗🤣wangu naitumianga sana ikuwe mkuu mnaa mtaa bado ni wangu

Mwalimu ati kanusha kinyume Cha kiswahili ukiashiria kihusishi Cha kihisishi kifua tacho.😂😂😂'Figirisi moja,ilikuliwa na fisi mbili kichakani'🏌️😂😂😂😂😂

Tofauti ya ng'ombe mbili na moja,ni eti ni moja ni ng'ombe.😂😂😂😂😂

Nliskia vizuri nikiingiza kidole ndani ya shimo ya maskio mpakani kaskia si si nikaji sisi mukwo😂😂😂😂😂

Sasa mtu akikuuliza kwa nini umemuita mbwa,na ni ukweli umemuita,kwani anadoubt yeye si mbwa?🤣🤣kwa hesabu inaitwa pie theo gras theore😂(2marks)

Hadi kesho wakuu, remember to follow for much jokes and stories.
Jahbary Art.

Address

Kiambu
Nairobi
00100

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when ART ICON CHEGE posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share