mcbaraka

mcbaraka Founder
Marketing | Events | Lifestyle | Networking
Documentary Photographer
Call:+255754505043 �

Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan aongoza Watanzania kuaga mwili wa aliyekuwa Makamu wa Kwanza wa Rais wa Jamhuri ya Mu...
11/05/2025

Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan aongoza Watanzania kuaga mwili wa aliyekuwa Makamu wa Kwanza wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Waziri Mkuu Mstaafu Hayati Mzee Cleopa David Msuya katika Viwanja vya Karimjee Jijini Dar es Salaam

Daima Tutakukumbuka Kimodoi_________  📸📍Buyekera Bukoba
04/05/2025

Daima Tutakukumbuka Kimodoi

___
______
📸
📍Buyekera Bukoba

📍Buyekera,BukobaMazishi Ya Justini Kimodoi©️bukobawadau
25/04/2025

📍Buyekera,Bukoba
Mazishi Ya Justini Kimodoi
©️bukobawadau

Katika Picha Mwili wa Mpendwa wetu Nancy Peter Rwechungura wakati ukiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Bukoba ,tayari kwa...
18/04/2025

Katika Picha Mwili wa Mpendwa wetu Nancy Peter Rwechungura wakati ukiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Bukoba ,tayari kwa Mazishi yatakayofanyika Nyumbani kwao Kijijini Kashambya Gera Siku ya Kesho Jumamosi April 19,2025

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwasili katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa ...
07/04/2025

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwasili katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa 4 De Fevereiro Luanda kwa ajili ya Ziara ya Kiserikali ya siku 3 nchini Angola tarehe 07 Aprili, 2025. Rais Dkt. Samia amealikwa na Rais wa Angola Mhe. João Manuel Gonçalves Lourenço na lengo la Ziara hiyo ni kukuza na kuimarisha zaidi mahusiano ya kihistoria na kidugu baina ya Tanzania na Angola.

Picha mbalimbali Sala za Eid El Fitr zilizofanyika Bukoba 📸©️bukobawadau📍Kaitaba
01/04/2025

Picha mbalimbali Sala za Eid El Fitr zilizofanyika Bukoba
📸©️bukobawadau

📍Kaitaba

Ni ngumu kueleza mtu akaelewa jinsi ulivyokuwa ni mtu wa aina yake ,Mtu mwema na mwenye huruma kupitilizaPumzika kwa Ama...
27/03/2025

Ni ngumu kueleza mtu akaelewa jinsi ulivyokuwa ni mtu wa aina yake ,Mtu mwema na mwenye huruma kupitiliza
Pumzika kwa Amani kaka Justin Kimodoi Mzalendo ,Mpambanaji asie choka, Dunia ni moja na sisi ni wamoja na njia yetu ni moja na siku moja tutaonana tena Sisi ni wake na kwake tunarejea

_________

Ni ngumu kueleza mtu akaelewa jinsi ulivyokuwa ni mtu wa aina yake ,Mtu mwema na mwenye huruma kupitilizaPumzika kwa Ama...
27/03/2025

Ni ngumu kueleza mtu akaelewa jinsi ulivyokuwa ni mtu wa aina yake ,Mtu mwema na mwenye huruma kupitiliza

Pumzika kwa Amani kaka Justin Kimodoi Mzalendo ,Mpambanaji asie choka, Dunia ni moja na sisi ni wamoja na njia yetu ni moja na siku moja tutaonana tena Sisi ni wake na kwake tunarejea

_________

Shamrashamra za wananchi kwenye mkutano wa hadhara wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Has...
01/03/2025

Shamrashamra za wananchi kwenye mkutano wa hadhara wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan uliofanyika katika uwanja wa Mkwakwani mkoani Tanga tarehe 28 Februari, 2025.

___

RAIS DKT. SAMIA: BARABARA YA BAGAMOYO - PANGANI-TANGA NA DARAJA LA PANGANI KUUFUNGUA MKOA WA TANGA KIUCHUMI.
26/02/2025

RAIS DKT. SAMIA: BARABARA YA BAGAMOYO - PANGANI-TANGA NA DARAJA LA PANGANI KUUFUNGUA MKOA WA TANGA KIUCHUMI.

Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ashiriki kwenye hafla ya utoaji tuzo za Wasanii wa Komedi Tanzania (Tanzania Comedy A...
22/02/2025

Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ashiriki kwenye hafla ya utoaji tuzo za Wasanii wa Komedi Tanzania (Tanzania Comedy Awards) katika ukumbi wa The Super Dome, Masaki Jijini Dar es Salaam .

Matukio mbalimbali wakati wa mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika kuhusu Masuala Nishati uliofanyika katika Kituo cha Miku...
28/01/2025

Matukio mbalimbali wakati wa mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika kuhusu Masuala Nishati uliofanyika katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNICC) Jijini Dar es Salaam tarehe 28 Januari, 2025.

Address

Bukoba

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when mcbaraka posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to mcbaraka:

Share