15/08/2023
*Uchafu ukeni na jinsi unavyosababisha ugumba*
Changamoto ya kutokwa na uchafu ukeni ni hatari nasio ya kupuuza hata kidogo kwa mwanamke yoyote.
Changamoto hii inaweza kukusababishia matatizo kadhaa👇
👉 Kukosa kujiamini pale unapokuwa na mwenza wako wakati wa tendo la ndoa
👉 Kuota tishu katika mirija ya mayai
👉Uke kuwa mkavu sana na kupelekea maumivu makali wakati wa tendo la ndoa.
👉Mirija ya uzazi kuziba kutokana na uchafu unaojilimbikiza kwenye mirija ( fallopian tubes)
👉Vifuko vya mayai kukusanyika maji kwa ndani na kupelekea UGUMBA
👉Saratani ya mlango/shingo ya kizazi
Follow hii account na tembelea mara kwa mara kwa elimu zaidi.
Unaweza kunitafuta kwa ushauri zaidi kwa kunipigia simu au SMS WhatsApp
nitakusaidia [0745216506]
Karibu.