20/06/2026
*MKAKATI Wa Siri Anaoutumia Mwijaku Kujenga BRAND Yake ONLINE...*
Mwaka 2024 Mwezi 12 ndio Mara ya Kwanza nilikutana na Content ya Mwijaku
Niliona anamuomba hela Chief Godlove
Nakumbuka ile Content niliiona Tiktok
Sasa...
Baada ya Muda Nikashangaa Mwijaku akawa anaweka Content za Kumtukana Diamond
Anamuita Mwambino 😂🤣
Mi niwe Mkweli tu Huwa Sipendi Kukaa na Kitu Kinachoniumiza kichwa kwa muda mrefu wakati nina uhakika kuna Vyanzo vya Taarifa...
..Nikachimba kufuatilia kwa Kina Zaidi
Ndipo Nikagundua Hiki Kitu Kimoja Hapa Chini 👇
*"Mwijaku Anatumia Kitu Kinaitwa Attention Grabbing Strategy"*
Yaani...
Anahakikisha Anamiliki Umakini wa Watu...
..Inshu Ni Simple Yule Mwenye Umakini Mkubwa Wa Watu Kwenye Kizazi Hiki cha Kidigitali
Ndio Mwenye Uwezekano Mkubwa wa Kutengeneza Hela k**a Anaijua Jinsi ya Kugeuza Umakini Kuwa Hela...
Now...
Mwijaku Bana Anachokifanya Yeye ni:
*"Ku-Hit BIG FISH Then Attract Attention"*
Ukifuatilia Kwa Makini Hii ni Mbinu aliyoitumia Steve Jobs Pia Kipindi Anaanzisha Apple
Yeye Alitangaza Vita Na Kampuni ya Kutengeneza Komputa na Mtawala wa Soko~IBM
Sasa...
Turudi kwa Mwijaku
_"Sio Kwamba Mwijaku Anamponda Mond Kwa Sababu Anamchukia HAPANA"_
ILA:
Anamponda Mondy Ili Kuvutia Umakini Wa Watu...
Swali pekee Ambalo Watu Watakuwa nalo ni Hili Hapa chini 👇
*"Huyu Mwijaku Ana Nini Mpaka Ashindane na Mondy?"*
Tena...
Atangaze Vita Hadharani?...
Hivi Nimewahi Kukwambia Hiki Kitu Au sio wewe?...
Kwamba:
*"Binadamu Kwa Asili Ni Mbea"*
Aaanhaa Sio Wewe Na Komwe lako Na Ndonga yako Hiyo(Joking)🤣🤣🤣
Anyways...
Ninachohitaji Ufahamu ni Hiki Kitu Kimoja...
_Mwijaku Anapandilia Brand Aliyotengeneza Mondy Kwa Kumpinga_
Kisha Anawavutia Watu Wamfuatilie Kwanini Anafanya Hivyo
Kitendo Cha Kufuatilia Tu boom Kapata Attention Yenu...
..Baada ya Hapo Boom Anawawekea Matangazo ya Makampuni Tofautitofauti 😂
Boom Mnanunua Bidhaa Za Makampuni yanayotangazwa na Mwijaku 😁
Funny Fact Ni Kwamba:
_Kuna Event Nimewahi Kwenda Nikamuona Mwijaku Live Ilikuwa ni Event ya Kampuni ya Real Estate(Kikuyu Africa)_
Jamaa Anasema Kwamba:
Bei ya Kirafiki ya Kuja Kwenye Biashara yako Ni 3M(Strangers Anawacharge Tshs ngapi Sasa?) 🥲
Now...
Unaweza Kuutumia Huu Mkakati Aidha kwa Makubaliano Na Mtawala Au Kukubali Liwalo Na Liwe
Au:
Kushirikiana Na Mtawala
Otherwise...
I Hope Umepata Value Familia 🙏
Am Your Guy
Vido
Vedastus