28/10/2016
wenye mfano wa utauwa, lakini wakikana nguvu zake; hao nao ujiepushe nao.
2 TIM. 3:5 SUV
Andiko hili lipo kwenye maneno ya Mtume Paulo akimuonya Timothy kuhusu mambo ya hatari ya siku za mwisho alisema mengi lakini Hili moja linatatiza walio wengi Nimeona vyema Leo kwenye Breakfast & Bible ni share na watu kadhaa.
The same scripture in Good News "Bible Translation,
they will hold to the outward form of our religion, but reject its real power. Keep away from such people."
2 Timothy 3:5 GNT
Kuna watu wameibuka sio tu sasa Bali walikuwepo pia, ambao wamekuwa wakipinga matendo ya miujiza ya Mungu, mfano katika siku hizi za mwisho Mungu amejifunua kwa ajabu sana kupitia watumishi wake wengi kwa kutenda mambo makubwa sawa sawa na neno lake kuwa Utukufu wa Mwisho wa nyumba hii utakuwa mkubwa kuliko wa kwanza.
Lakini pamoja na Mungu kutenda yote hayo kumeibuka watu ambao wengine hujiita wakristo wakipinga nguvu za Mungu. Na hapa Mtume Paulo ana deal nao. Hakuna Mkristo wa kwelie /true Christian/genuine Christian anayeweza kupinga kunena kwa lugha, kutoa pepo, kufufua wafu, kuponya wagonjwa, n.k if any person or a church denies such; just know it is an extension of shrines.
It is true we were called na vipawa tofauti tofauti si dhambi kutokufanya lakini kupinga kuwa havifanyiki ni uchawi wa aina yake Hawa ni wenye mfano wa utauwa lakini wakipinga nguvu zake (Mungu). Kuna watu watatafuta kupinga pia mafunuo haya, huo muda tumia kuhubiri injili ya Ufalme. Good Morning.
&bible 'thateTakeNotes Insta: