Imani J Kambona

Imani J Kambona TUNATENGENEZA MAGETI VITI NA KUPIGA RANGI MAGARI N.K

31/10/2022

Mwamuzi wa mchezo wa leo Ramadhani Kayoko ametoa kadi za njano 9, nne kwa Yanga na tano kwa Simba.

๐ŸŸจ Okra Augustine
๐ŸŸจ Feisal Salum
๐ŸŸจ Mzamiru Yassin
๐ŸŸจ Mohamed Hussein
๐ŸŸจ Khalid Aucho
๐ŸŸจ Tuisila Kisinda
๐ŸŸจ Aziz Ki
๐ŸŸจ Djuma Shabani
๐ŸŸจ Habib Kyombo

22/10/2022

Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema amepokea mapendekezo ya kikosi kazi cha kuratibu na kuchakata maoni ya wadau wa demokrasia, akisema Serikali inakwenda kuyafanyia kazi, โ€œlakini mapendekezo yao si amri kwa Serikali.โ€

22/10/2022

Kwenye picha ni Msanii Rose Ndauka ... Enzi alipokuwa Mdogo

17/10/2022

WAZAZI WANGU HAWANIPENDI, NAOMBA USHAURI.

Habari Fahari media, naomba ufiche jina langu, mimi ni kijana wa miaka 19, kidato cha sita naenda kumaliza mwakani, kwa sasa nipo bweni na namshukuru Mungu maendeleo yangu siyo mabaya nafanya vizuri.

Lakini kaka!! sijui ni nini hata sielewi nimewakosea nini wazazi wangu, hawaonyeshi kuwa na mimi hata kidogo, hasa baba yangu ambaye ni muhimili wa familia yetu, hanijali hata kidogo na tangu nimefika hapa ni kwa nguvu ya mzamini aliyenionea huruma, angalau mama ananifariji, ananitia moyo hata ananitumia vijisenti, baba yangu ni mtu wa chuki juu yangu miaka yote hajawahi kunifurahia, hata nilipokuwa Sekondari hajawahi kuninunulia hata shati la shule.

Naumia kwa sababu wenzangu wanasomeshwa vizuri, kwanini mimi? mzamini wangu anasema nisimchukie baba yangu atalipwa na Mungu, na kweli simchukii ila nikikaa mwenyewe nalia sana.

Naomba ushauri, kuna uwezekano asiye baba yangu au ni tabia yake tu? Sielewi.

17/10/2022

"Hello Swahili, Nlikuwa na mwanaume ambae nimemzidi mwaka mmoja,Nikapata ujauzito kwa kuwa alikuwa mwanafunzi hakuweza kuhudumia ujauzito hata mtoto alipozaliwa,Kwa bahati mbaya Mzazi wake mmoja alifariki,Wakapewa Yale mafao kila mtu mill 3

lkn walivyopewa nkamwomba elfu 50 tu akanizungisha wee mara naenda kulimia,mara ntakutumia mara haipatikani tena,na ndugu zake wote walijua nimezaa nae lkn hawakumtumia hata mia, mtoto alivyotimiza miaka miwili nlimwomba aje amwone mtoto Akasema hana nauli

nlimtumia nauli na nguo nkamshonea,Ili apendeze wazazi wasimdharau,akala naul na hajaja akazima cm,baada ya mtoto kutimiza miaka mitatu na Nusu alinitafuta tena Akasema yupo mitaa ya ninapoishi kweli nlifunga Kaz nkamwacha mtoto nkaenda kumuona,

Nlikuwa nimemmisi kwa kuwa nlikuwa nampenda nlisahau mabaya yote nkamwona Mpya,Nkalipia gest tukafanya yetu,kwa kweli sijawai msaliti tangu kuniacha na mimba hadi Mtoto miaka 3 na Nusu,nlijua bado mtoto hajui maana ya familia,baada ya kufanya yetu nikarudi Akasema atalala pale pale kesho aje rasmi kumuona mtoto nyumbani,

Na nlimwachia laki na cm yangu kubwa Tecno Y3 enzi hizo,nkabaki na Moja Tecno W3 ajifanye ameleta zawadi lkn alitokomea sikumuona,kwa mara ya kwanza nlikasirika mno,nlimchukia sana,Nikaamua kuachana nae nlilia sana lkn nsingemsahau

nikaamua kuwa na mwanaume mwingine aliyenizidi umri nkidhani yule ni mtoto huyu ataniendesha mm kwa kuwa ni mkubwa,Bas baada ya kutokomea alikaa miezi k**a sita akapiga cm oooh samahani bhana nliibiwa zile hela na cm nkaona aibu kuja,

nkamuuliza c ungesema na namba yangu unayo kichwan ningejua Cha kufanya kwa sasa huna nafasi kwangu nkakata cm,Nkaendelea na mpnz wangu Mpya mwanangu ana miaka minne baba yake hajawai mwona,

Bas taratibu za utambulisho zikatimia nkaanza kukaa na mwanaume Ila ndoa rasmi bado,Nkamzalia mtoto mmoja baada ya kukaa nae kumbe yule bwana ana mke ,laana kweli mtoto mie,majanga tu nikaamua kusepa tu na kitoto changu,

jamaaa wa kwanza nae alioa pia wakaachana Ila hawakuzaa,Sasa najiendesha nalea wanangu k**a single mama, Sisubutu kupenda naogopa mno,Et yule baba wa kwanza anasema sa hv kakua nimsamehe Aje amwone mtoto ajitambulishe tuanze Maisha hata k**a nimezaa ,

Nawaza nawazua nisijejikoroga tena mie mja laana kwa kutaka ndoa,Au nilee tu wanangu, Ushauri jamani

Kwa sasa Mtoto ana miaka 10 mkubwa na mdogo miaka 5 ,Nina miaka 4 nipo single mama,"

17/10/2022

SITOSAHAU NILIVYOOLEWA NA MWANAUME SHOGA 39) Sikuweza kuvumilia kitendo alichokuwa anafanyiwa Mme wangu nilitoka nje huku nikihisi kizunguzungu kwa kweli nilipotoka nje nikakuta geti limefungwa nilitamani niruke geti ili niondoke lakini uwezo huo nilikuwa sina,kwa kweli sikuiona tena thamani ya ndoa yangu sikutaka kabisa kuishi na mwanaume shoga na kitendo cha kumleta yule mwanaume wake kwenye nyumba moja na Mimi kilinichefua sana,Hakika niliikumbuka sana siku ya ndoa yetu jinsi tulivyokuwa tunakumbatiana kwa furaha,hadi hapo moyo wa upendo ulifutika kabisa ndani ya moyo wangu sikuona sababu ya kuwa na mwanaume anayetiwa k**a Mimi hivyo moja kwa moja nikaingia ndani kitendo cha kuingia ndani tu nilisikia sauti ya Mme wangu ikigutilia kutokana na utamu anaopewa na yule bwana ake,Ooooooooooooooooooooooooohhhhhhhhhh devi baby ingiza shindilia kabisa tamuuuu aaaaaaaaaaaaaaaaaahhhhhhhhhhhhhhhhh,Maskini Mme wangu alizidi kulalamika huku mimi mda huo nikijihisi nguvu za mwili zinazidi kuniishia(itaendelea)

17/10/2022

๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญmtoto wa babu tale akiwa kaburini kwa mama yake

17/10/2022

๐Ÿ˜ณ๐Ÿ˜ณ Baba huyo kwa jina la Rabi ameibuka kusema kwamba, amempiga marufuku mtoto wake wa kiume asije akajiingiza katika mahusiano ya kimapenzi na msichana yeyote anayetokea katika familia duni kiuchumi

Baba huyo amesema kwa uzoefu wake yeye binafsi wa kuwa katika mahusiano, kinadada wanaotoka katika familia duni kiuchumi huwa hawaamimi katika mapenzi ya dhati au upendo wa dhati bali wengi wao wanaanzisha mahusiano na wanaume kwa lengo la kuondokana na hali zao duni kimaisha

Huku akiingia ndani zaidi kwa kusema, kinadada hao pia mara nyingi ndio wanategemewa kulisha familia zao hivyo huwa wanaanzisha mahusiano na wanaume sio kwa upendo wa dhati ila wajikwamue kimaisha na amesisitiza kuwa mara nyingi hata uwape kidogo ulichonacho wanaona hakitoshi wanataka wapewe zaidi

Sasa haijulikani itakuwaje dingi ashachimba biti maana pia tunaambiwa kuna wimbi kubwa la kinadada na wao hawataki kuwa katika mahusiano na wanaume masikini ๐Ÿ˜ณ๐Ÿ˜‚

17/10/2022

Droo ya mzunguko wa mwisho wa kombe la shirikisho itafanyika kesho Mjini Cairo, Misri ambapo Washindi wa mzunguko wa kwanza ya kombe la Shirikisho watachuana na walioshindwa Ligi ya Mabingwa Afrika kupata timu 16 zitakazounda makundi ya Kombe la Shirikisho.

๐Ÿ”นWashindi wa CAFCC

๐Ÿ‡ฌ๐Ÿ‡ณ Ashant Gb
๐Ÿ‡ฑ๐Ÿ‡พ Al Akhdar
๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฌ Diables
๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฉ DC Motema Pembe.
๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ณ Club Africain.
๐Ÿ‡ฒ๐Ÿ‡ฑ Real Bamako.
๐Ÿ‡ฉ๐Ÿ‡ฟ USM Algers
๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ฌ Future FC
๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡ฆ Malumo Gallant
๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡ฆ Royal AM.
๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฉ Saint Lupopo.
๐Ÿ‡ฒ๐Ÿ‡ฆ RS Berkane.
๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ฌ Pyramids
๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ณ CS Sfaxien

๐Ÿ”นWalioshindwa CAFCL

๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ Young Africans
๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฎ ASEC Mimosas
๐Ÿ‡ฆ๐Ÿ‡ด Primeiro de Agosto.
๐Ÿ‡ธ๐Ÿ‡ฟ Royal Leopard
๐Ÿ‡ณ๐Ÿ‡ฌ Rivers United
๐Ÿ‡ณ๐Ÿ‡ฌ Plateau United
๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฉ TP Mazembe
๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ณ US Monastir
๐Ÿ‡ฑ๐Ÿ‡พ Al Ahly Tripoli
๐Ÿ‡ณ๐Ÿ‡ช ASN Nigelec.
๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฌ ASKO Kara FC
๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡ฆ Capetown city.
๐Ÿ‡ธ๐Ÿ‡จ La Passe.
๐Ÿ‡ฒ๐Ÿ‡ฑ Djoliba Athletic club.
๐Ÿ‡ง๐Ÿ‡ฎ Flambeau

โ€ข Michezo ya kwanza itapigwa November 2

โ€ข Michezo ya pili itapigwa November 9

Address

0657733741
Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Imani J Kambona posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share