26/12/2025
Nafasi ya kazi kuwa afisa mauzo (sales agent) wa Airtel SME:
👉🏾 Umri ni miaka 18 au zaidi
👉🏾Kazi unaifanya popote katika mipaka ya Tanzania
👉🏾Unatakiwa kuwa na smartphone ambayo ni android sio iOS
👉🏾Unatakiwa kuwa na laini ya airtel kwa ajili ya kufanyia hii kazi
Structure ya malipo ya Airtel SME:
💱Nauli 36,000 ukiwa na sales 10 au zaidi kwa wiki.
💱Vocha 40,000 ukiwa na sales 40 au zaidi kwa mwezi
💱New GA kulipwa miezi 4 k**a ifuatavyo:
1. Mwezi wa kwanza 60%
2. Mwezi wa pili 35%
3. Mwezi wa tatu 35%
4. Mwezi wa nne 35%
💱Kamisheni ya Migration ni 20% mwezi mmoja kwa utaratibu ufuatao:
1. Agent kulipwa 20% ya Laini zilizosajiliwa kabla ya Disemba 2025
2. Migration Laini zitakazosajiliwa kuanzia Disemba 2025 na kuendelea hazitomlipa SSO 20% kamisheni k**a KYC iliyosajili na iliyoiboresha (upgrade) ni KYC mbili tofauti.
Maelekezo ya ziada:
1. SSO kulipwa nauli 36k kwa kufika sales 10 au zaidi hata k**a ni mchanganyiko wa new GAs na migration, au migration zilizotumia KYC tofauti kuanzia Disemba 2025 au zaidi.
2. SSO pia kulipwa 40K ya vocha hata k**a kuna mchanganyiko wa new GAs na migration.
3. Fanya new GAs zaidi ili kupata kamisheni kubwa zaidi.
NB: New Gross Adds (GAs) ni laini ambayo imesajiliwa kwa code/access/user ya afisa mauzo na ikawezeshwa kupata menu/bando za SME na mteja akaiwekea kifurushi ndani ya mwezi husika.
Kwa mawasiliano:
📞 +255 788 121 900 au +255 714 720 001
📧 [email protected]