06/10/2023
Je,wewe ni Mfanya Biashara, Mtaalamu au Mtoa Huduma za Afya, unayefanya vizuri kwenye kutoa Huduma lakini bado haujafikia Kufanya vizuri kwenye Uchumi binafsi au unafanya vizuri na unahitaji kufanya vizuri zaidi?
Ondoa shaka Gcat Eternal International Imeandaa semina Maalum kwaajili yako, siku ya JUMAPILI ya 8/10/2023 katika ukumbi wa FQ MOTEL AIRPORT Karakata Dar es salaam.
Semina Inahusisha Uwekezaji,Utendaji kazi, Mbinu na Njia za kutumia Kutengeneza Faida Zaidi na Endelevu katika Huduma yako. Baada ya Semina hautopata Msongo wa mawazo katika utendaji kazi wako wala Uendeshaji wa Biashara yako kutokana na Mfumo wa Usimamizi utakao umiliki.
Semina itaongozwa na kufundishwa na Mkurugenzi wa Kituo Dr.Jordan Yona, ili kuthibitisha ushiriki wako Lipia Nafasi yako kwa 10,000/= tu kwenye namba 0747371877 na Tuma muamala wako WhatsApp Kuonyesha umelipia kisha utapokea Kadi ya mwaliko na namba yako ya utambulisho wa kiti.
FURSA Hizi ni kwa WATU 100 TU. Wahi sasa
Book now:-
WhatsApp 0747 371 877