AdBox AI Social Media Marketing Management and Automation for SMEs, Corporate and Companies

AI Social Media Marketing Management and Automation for SMEs, Corporate and Companies.

Wiki iliyopita  tuliyembelewa na viongozi wa chama cha wafugaji Tanzania. Kinachowakilisha wafugaji wote nchini zaidi ya...
05/02/2024

Wiki iliyopita tuliyembelewa na viongozi wa chama cha wafugaji Tanzania. Kinachowakilisha wafugaji wote nchini zaidi ya 4Million. Guess what, wote wanataka mfumo wa ufanye kazi kwenye mifugo. I guess we might have mifugohub but not now...First things first.

Karibuni kwenye safari mpya ya

Are you a food company or factory, trader, exporter, broker, warehouse owner, or crop transporter?What crops you buy fro...
05/02/2024

Are you a food company or factory, trader, exporter, broker, warehouse owner, or crop transporter?

What crops you buy from farmers? In which region? How much produce do you need? Do you need loan from banks or support to keep buying from farmers?

We have exciting news for you! We have invested in and opened farm support centers commonly known as Kliniki za Kilimo. These centers are digitized using MazaoHub technology.

Farmers under farm support centres (Kliniki za Kilimo) receive the following services:

Extension services using MazaoHub AI Agronomy

Farm record keeping using MazaoHub Farm Record

Soil testing using MazaoHub Soil Scanner

Support at every stage of farming from experts at nearby farm support centres using MazaoHub GAP module.

Access to inputs through partner distributors or directly from rural farm support centers,

Partnership with CRDB bank to ensure that every farmer gets a loan without collateral, with close supervision from planting to harvest to market.

We ensure that buyers of products, whether food companies , factories, traders, processors, exporters, or traders, get quality produce from farmers. At farm gate or warehouse prices, with the help of the entire farm support centres team using MazaoHub Supply chain module.

If you buy produce from farmers and want:

Produce with a consistent quality standard
Any quantity you need.

To buy even before the produce is harvested.

A sustainable business of buying produce.

To be able to trace produce to know where it was produced, by whom, how it was produced, what chemicals were used, whether it meet European export market or Asia market quality, how it was stored, post-harvest process invoved, and more.

Then join us to revolutionize agriculture!

In which region are you located? Do you have a network of farmers who need MazaoHub services, including loans? From which village do you buy produce? What crops do you prefer? We can open a farm support centres near you. Tell us, how many farmers do you want to reach out?

Contact us today!

+255699365987 or +255655973248.
[email protected]

www.mazaohub.com

Millennium tower phase 2, 19th floor, bagamoyo road.

Wahi fursa hii sasa hivi. Kuna website ambayo imenunuliwa template yake ambayo inaweza kubadilishwa kuwa design yoyote u...
15/01/2024

Wahi fursa hii sasa hivi. Kuna website ambayo imenunuliwa template yake ambayo inaweza kubadilishwa kuwa design yoyote unayotaka. Ilikuwa website ya mtu mwingine lakini ameshindwa kuilipia, sasa tunauza hosting Tu. Yaani ichukue bure but unalipia hosting Tu Kwa Tshs.125,000. Itakuwa customized kulingana na mwonekano utakaochagua ndani ya muda mfupi na kuwa hosted.



Wasiliana nami sasa kuwahi Kwa WhatsApp : 0655973248 for WhatsApp and for calls 0699365987 na malipo.

Office yetu ipo Millenium Tower ghorofa ya 19. Hii inatoka UjuziNet Group yenye kampuni zifuatazo :

www.adbox.africa
www.mazaohub.com
www.ujuzinet.com
www.emasuite.com

Mazao Hub : Farm Management Software

Calling all African beekeepers!  Partner with  for a beekeeping extension & traceability system!  Boost your business & ...
04/01/2024

Calling all African beekeepers! Partner with for a beekeeping extension & traceability system! Boost your business & honey quality. DM for partnership! +255655973248 or [email protected]

MazaoHub tumekabidhiwa tani 10,000 za mahindi kutoka kwa wakulima zinazotakiwa kuuzwa ili kurudisha mikopo kwa benki. Il...
03/01/2024

MazaoHub tumekabidhiwa tani 10,000 za mahindi kutoka kwa wakulima zinazotakiwa kuuzwa ili kurudisha mikopo kwa benki. Ili msimu mwingine wakope tena na kukua zaidi. Any leads tuuze huu mzigo? Manake tunapata majaribu ya kuwa na kiwanda but kwasasa hapana hapana.

Una ushauri wowote hapa?

02/01/2024

Nimemaliza Mentorship Box..

Kila mwaka , huwa nachukua watu 5 kwenye mentorship box. Kwasababu wapi wawili ambao waliingia mwaka Jana na hatujamalizana nao..

Nitaongeza watatu ambao tunaanza nao mwaka huu.

Kuna mambo makuu 6 lazima tufanye kwenye mentorship box..

TAFITI ZA KIBIASHARA, FURSA NA UWEKEZAJI
Kukupa tafiti za Fursa na biashara inayokufaa au kukusaidia katika biashara yako.
Ili uongezeke katika Uwekezaji, Masoko, Mauzo, Fedha nk…

NAMNA YA KUPATA MITAJI NA WAWEKEZAJI.
Hii ikiwa ni pamoja na documents zote za kutafutia mitaji k**a proposals, pitch decks na documents nyingine na hata contacts za wawekezaji kadhaa ikiwa ni pamoja na kuona namna biashara yako inaweza kusimama ili iwekezeke.

KUKUWEZESHA KUUZA NA KUKUZA MAUZO.
Namna unavyoweza kuongeza mauzo kwenye biashara yako, namna unavyoweza kutawala soko lako na kukusanya wateja...nk

KUCHUKUA HATUA.
K**a ni muoga wa kuchukua hatua na kufanya Kwa ukubwa katika biashara au project yako.

KUJENGA MIFUMO YA BIASHARA YAKO.
Hii inakuwezesha kusimamisha na kuendeleza biashara kubwa itakayoishi hata pale ambapo haupo Ikiwa ni pamoja na kukujengea mfumo mzuri kibiashara . Kupata partners sahihi kwenye biashara yako na hata mradi wako...na hata kwenye kampuni yako.

KUAJIRI WATU SAHIHI NA PARTNERS SAHIHI.
Kukuelekeza na kukuunganisha na watu sahihi au kujifunza namna unaweza kuajiri na kuwaongoza watu kwenye kampuni yako kubwa.

LAKINI pia kujenga ;

a) Passive Mode
Hii ni session ya kupigiwa simu, maandishi, video, Google meet, sauti, audio na vitabu.



b) Practice Mode.
Katika session hii ni kwamba, tofauti na wengine wanavyofanya kwenye masomo yao, huwa wanaishia hatua ya kwanza. Mimi naenda zaidi. Hii ni mentorship ya tofauti. Kila mwanafunzi lazima azame kiundani kupitia hatua ya kwanza, kuhusu sekta yake, wengine tayari wana biashara zao…hivyo kila mtu lazima afanye kwa vitendo. Nitakuwa na muda wa kujua nani amefanya nini kulingana na biashara au fursa yake. Amefikia KPI au la. Amekwama wapi na anahitaji msaada gani nk.

wapi na tunashauriana nini kifanyike…hapa ni kila mmoja ..hakuna atakayebaki. Inawezekana biashara yako imekwama mahali tutakaa pamoja na kushauriana kila mmoja. Kuhusu mitaji, kila mmoja lazima tuhakikishe anajua kuomba mitaji, na awe na business plan pamoja na pitch deck na kila mmoja atajifunza na kuanza kuomba kwa wawekezaji, kwahiyo ni kila siku ni madarasa

c) Active Mode. Hapa ni session ambayo tunaenda mbali zaidi ya Practice Mode. Hapa nataka kila mmoja aweke Malengo ya mwezi na tuhakikishe ameyafikia. K**a ni mapato ya million 50 Kwa mwezi basi itokee.

Tutaangalia trends zote kwenye kila sekta , kulingana na sekta. Kuhakikisha wots tunaenda kulingana na trends

1. TRENDi YA MABADILIKO YA TABIA NCHI YAANI CLIMATE CHANGE TRENDS. Wajasiriamali wengi kwa Afrika bado hawajaamka kuendana na trendi ya mabadiliko ya hali ya hewa. Watanzania wengi bado hawajajua kwamba hata mitaji mingi ya pesa za bure inayotolewa na mataifa au makampuni ya kimataifa inapendelea zaidi wale wanaofanya biashara kwa kuangalia mabadiliko ya hali ya hewa. Mentor wangu mwenyewe aliniambia, Tenganamba angalia k**a unaweza kuifanya biashara yako iendane na trends zinazoendelea duniani ili upate grants, yaani free money. Matunda yameshaanza kuonekana. Dunia inakokwenda si kule tulikotoka. Kuna viwanda vinavyozalisha hewa mbaya wanatafutwa wafanyabiashara wenye njia mbadala na mitaji ipo, kuna uchafuzi wa mazingira, wanatafutwa wafanyabiashara watakaokuja na majibu ya kufanya biashara zinazosafisha mazingira, yaani kuna mambo mengi sana ikiwa ni pamoja na fursa nyingi sana zinazozaliwa kupitia trend hii… Unafahamu kuhusu fursa ya kulima magugu bahari yaa sea w**d? Unajua sea w**d zinatumika kuzalisha bidhaa gani? Unajua Zanzibara kuna watu wametajirika kupitia Sea W**d? Unajua Bakhresa akiwa mdogo alianzia biashara ya kuuza vitu vya baharini ikiwa ni pamoja na sea w**d ..hapo akiwa mdogo sana. Kuna vikombe vya plastic ambavyo degradable vinazalishwa na sea w**d nitakuonyesha namna ya kufanya ndani ya mentorship lakini kwa wale ambao wapo au watapendelea fursa hii, nitakupa watu wa kuwasiliana nao na hata kuwatembelea au kuungana nao kwa Zanzibar na sehemu nyingine Tanzania.

Hivyo basi , trend hii imezalisha fursa kwa wajanja watakaokuja na BIASHARA YA KUZALISHA VIFUNGASHIO, BIASHARA YA INAYOGUSA MAZINGIRA ikiwa ni pamoja na kuzalisha bidhaa kupitia uchafu, green building materials yaani vifaa mbalimbali vya ujenzi vinavyozuia uchafuzi au uharibifu wa mazingira na nyingine nyingi nitakuelezea kwa wewe ambaye unazama kwa sekta hii nitakupa wapi uende na nani uwasiliane naye ili ufanye kwa vitendo.. Green transportation services or logistics etc, social enterprises ikiwa ni pamoja na tree planting…hizi ni fursa zinazopewa kipaumbele kwenye mitaji ile ya bure nitakuelezea ndani ya Mentorship Box…

2. TRENDI YA PILI NI AFROCENTRISM YAANI UAFRIKA.
Kumekuwa na trendi kubwa ya uafrika. Yaani kuna wateja wananunua vitu kwasababu ya uafrika, yaani vimebeba uzalendo wa kiafrika. Nitakupa mfano wa dada mmoja ambaye anatengeneza High end interior design yaani anazalisha interior design za kiafrika zinazouzwa kwa bei kubwa sana, anazalisha vifaa vya mambo vyenye uafrika na kuuza kwa bei kubwa, anazalisha fenicha za kiafrika, wengine wanazalisha milango ya kiafrika, wengine wanazalisha vitanda vya kiafrika, wengine wanajenga nyumba zenye mvuto wa kiafrika, wengine wanazalisha nguo zenye UAFRIKA, kuna wengine wanazalisha vifungashio vyenye mvuto wa kiafrika. Yaani nawajua mpaka wanafanya export ya Chai Iringa kwa mvuto wa KIAFRIKA.
Hapa kuna fursa za kufa mtu. Yaani ni balaa. Kwa wale watakaotaka kuzama hapa wataniambia lakini nitajua kulingana na mahitaji mtakayotuma inbox, nitajua huyu anatakiwa kujifunza nini na kufanya nini..
Trends nyingine kuanzia KULA KIAFYA NA LIFESTYLE yaani Health Eating and Lifestyle na nyingine saba tutazisoma ikiwa ni pamoja na Fursa zake zinazotokana na trends hizo na namna ya kufanya kwenye biashara yako kuendana na trends hizo tutashirikiana kwa ukaribu sana.

NDANI YA MENTORSHIP NI WATU WATATU TU WANAHITAJIKA. MANAKE WAWILI WAPO. NA MENTORSHIP ITAISHA DECEMBER 2024.

Nicheki WhatsApp 0655973248 kwa fursa hiyo..

MazaoHub Precision Agriculture Inc.
www.mazaohub.com

Romal Shah. Mwaka 2007 akiwa haelewi nini cha kufanya, siku moja akaingia kwenye five star hoteli moja, alishangaa sana ...
02/01/2024

Romal Shah. Mwaka 2007 akiwa haelewi nini cha kufanya, siku moja akaingia kwenye five star hoteli moja, alishangaa sana kuonja ladha ya chai yake. Haikumpendeza kabisa. Alipofanya utafiti akagundua kuwa, hoteli nyingi zinauza chai isiyo na ubora. Ndipo alipogundua fursa kwenye chai. Akachukua mkopo- na kusajili kampuni yake iitwayo SAFARI LOUNGE TEA. Alitafuta wateja mahotelini na supermarkets

Kampuni yake ikafahamika sana na brand yake ya chai ikawa maarufu kwa jina la SAFARI LOUNGE. Anasambaza katika mahoteli makubwa na kila maduka. Jambo la msingi wote mfahamu kuwa- Tanzania inaweza kuzalisha viwanda vikubwa k**a wanafursa tukiamka. Makampuni yote makubwa duniani mengi yalianza chini. Mengine yalianzia gereji. Mengine yalianzia jikoni. Mengine yalianzia chumbani. Hakuna kitu kikubwa kilichoanza k**a kikubwa. Kila kitu kikubwa kilianza k**a kidogo. Sasa basi, Unataka kumiliki kiwanda cha vinywaji? Jifunze utalaamu wake. Kuwa tayari kupikwa na kuwa bora katka utengenezaji. Hayo nataka tuyachambue kiundani Fursa 101 hivi karibuni kwa watakaotaka kuingia,

Good morning!
MazaoHub Precision Agriculture Inc.
Geophrey Tenganamba.
+255655973248
www.mazaohub.com

"“No mountain is too much of a challenge to me,”"

01/01/2024

Kwanza Lazima tule.

“Kwanza lazima ule, then mambo mengine yatafuata”

Yeyote anayeuza bidhaa zinazohitajika, anahitajika.

Muulize Mhe. Bakhresa alipata utajiri wapi….
Kilimo na chakula ndiyo moyo wa uchumi wa Tanzania. Naomba watanzania wote mnisikilize katika fursa ya kilimo na chakula, iko hivi Kilimo kimeajiri Zaidi ya watanzania , yaani watanzania wengi wameajiriwa na kilimo lakini hicho kilimo kinaingiza 25% ya GDP inakuja hiyo?

Katika mazao yote yanayozalisha, 40% ya mazao yote yanaharibika k**a post-harvest loss, inakuja hiyo?

Yaani iko hivi ikitokea mwaka ambao tumevuna sana post harvest loss inaongezeka, yaani ni kwamba hata k**a uzalishaji ukiongezeka kuna hasara kubwa zaidi kwa wakulima....

Afrika ikiwa na idadi kubwa ya watu Zaidi wenye miaka chini ya 40, ambao hawa watu ni wafanyakazi na walaji wakubwa.

Na pia kuna hawa watu wanaitwa middle class, ni wafanyakazi , maofisa mbalimbali, wale watu wanaopenda mambo ya kisasa, watu hawa wanaongezeka kila siku ambao wana uhitaji wa kila aina za vyakula mezani, hii ni fursa kubwa kwa watu wenye maono makubwa ya kusimama katika Fursa ya chakula na kilimo.

Zaidi ya 60% ya ardhi ni yenye rutuba haijaguswa Tanzania, na idadi ya watanzaania inaongezeka kila mwaka hii maana yake nini? Fikiria hekta 44million?

Idadi ya walaji inaongezeka.

Kuna demand ya vyakula ndani na nje ya Tanzania, yaani hii kitu watanzania hawajajua tu kuhusu sekta ya kilimo na chakula.

Acha mengine, sikia Chakula Afrika ni multi billion dollar market, na itaendelea kukua kila mwaka.
Chakula na kilimo ni pamoja na kilimo chenyewe, ufugaji, uvuvi pamoja na usindikaji..

Utajiri wa kilimo na chakula zaidi ya madini ya Mwadui- Shinyanga.
Kila mwaka bei za bidhaa za vyakula zinapanda, wakati vijana wanakimbia kutoka vijijini kulikojaa mashamba ya bei rahisi na kujazana mijini kutafuta kazi za kunyongea tai na wengine kuishia kuwa wezi, wengine makonda wa daladala wakati wana uwezo wa kusimamisha biashara zao kupitia kilimo.

Afrika ya sasa inazalisha chakula kidogo sana ukilinganisha miaka 50 iliyopita. Wengi wetu tunajisahau kuwa Afrika imejaa midomo mingi inayohitaji kula kuliko kuongea. Matajiri wakubwa duniani wengi wanakimbilia katika fursa ya vyakula.

Wengi wetu tukisikia kilimo, nini kinakuja akilini?
Zinakuja picha za mzee aliyechoka, asiye na elimu akiwa ameshika jembe kijijini?

Wengi wetu bado tunafikiri kuwa kilimo ni kwaajili ya watu masikini wasio na Elimu.

Hivi unajua kuwa Afrika imekalia mgodi katika kilimo lakini wengi wetu hatuna macho ya kuona? K**a wewe ni kipofu naomba uniruhusu nikufungue macho.

Unajua kuwa Tajiri mkubwa Afrika , Aliko Dangote, amewekeza zaidi $1 bilioni katika uzalishaji wa mchele tu? Hujajua kuwa analima na nyanya pia? Wewe endelea kuagiza mizigo chaina au tujazane mjini k**a sisimizi.

Kila mwaka Afrika tunatumia mabilioni ya dola kuagiza mchele kutoka nje, Dangote amenusa akaona hela na hicho ni kiasi kidogo sana ukilinganisha na uhitaji?

Hivi unajua kuwa 2009 maelfu ya wawekezaji kutoka USA, Ulaya, Middle East na Asia wameivamia Afrika wananunua na kukodi maelfu ya maekari ya mashamba kwaajili ya kilimo?

Kwasasa ni trend…huko majuu …yaani imekuwa kawaida …wawekezaji wengi wanakimbilia Afrika kujipatia maelfu ya maekari vijijini wakati sisi tumejazana mijini?

Watanzania walio wengi wakipata hela kidogo wanakimbilia Kariakoo kwenda kufungua frame, umewahi kuona Mzungu haswaa achana na wachina anakuja Tanzania na kwenda kariakoo kufungua Frame….akili kichwani

Kilimo ni mgodi uliosahaulika na waafrika wakati wawekezaji kutoka nje wanajinyakulia tu kwa bei rahisi.
Hivi unajua kuwa sekta ya kilimo itakuwa na thamani ya zaidi ya $1 trillion mwaka 2030?
Bado huelewi tu?

Kulingana na projection za UN k**a hii ikitokea basi fahamu kuwa kilimo kitakuwa zaidi ya UTAJIRI WA MAFUTA AFRIKA.

Katika facts hizi zote, tunaona matajiri wote wakubwa duniani wanawekeza Afrika; inakuaje waafrika wengi tumebaki vipofu na kucheka cheka wakati tumekalia migodi?

Tumeyakimbia maeneo makubwa vijijini kuja kujazana mijini kuwa machinga na vibaria tunabanana kwenye daladala k**a tumefukuzwa kwetu na kuyaacha mashamba makubwa vijijini yakisimamiwa na wazee.

Nikupe picha:

• Agriculture (Kilimo): kilimo ni faida lakini kuna aina za kilimo. Kuna kilimo cha kubangaiza ambacho wengi wanafanya na kilimo faida. Hapa ni pamoja na kuchagua aina ya mazao ya kulima kulingana na mtaji na faida, business model utakayotumia, wateja utakaowatarget . Wengi wetu wakisikia kilimo anaenda kulima mahindi wakati mtaji wake ni wa Million moja, sasa mtu k**a huyo usitegemee atapata faida..atalima mahindi ya kula mwenyewe. Lazima uchague zao ambalo tunaita high value crops, ambazo unaweza kuanza na mtaji mdogo na ukafanya kibiashara.

• Manufacturing (Usindikaji): Hapa mnaelewa, hapa tutahitaji kuchambua kiundani sana hapa

• Fast Moving Consumer Goods: Bidhaa za vyakula zinazotembea kwa haraka sana na zinahitajika sana sokoni kwa haraka. Lazima uwe mjanja siyo unaenda tu.

• Kusimamisha brand ya chakula itakayobamba Africa Tanzanian brands: Kusimamisha brand yako ya vyakula mbalimbali

• kuna Niche market hii ni pamoja na huduma mahoteli, shule, jeshi, viwanda, catering nk

Tukianza na fursa ya kwanza katika chakula ni hii hapa:
# Kuzalisha nafaka zinazoagizwa sana kutoka nje. Hizi zinaingizia taifa hasara kubwa. Inakera sana
Faida ipo k**a ukizalisha na kusindika kabisa.
Nafaka k**a ngano, soybeans, nafaka k**a mtama nk.
Nitakuambia kwanini?
Tanzania kwa Afrika tunajitahidi sana kuzalisha mchele, hiyo ni sawa, lakini bado. Vyakula vya nafaka k**a hivyo, ukijenga network na taasisi mbalimbali za kimataifa zikiona una mwelekeo mzuri zinawekeza kwako pia na kukupa nafasi ya kusimamia…

Jambo la msingi hapa katika Fursa hii….usiwe k**a wakulima wengine wanaoenda kwa kuhemka.
Jenga ukaribu, tafiti viwanda mbalimbali vya bia, wazalishaji mbalimbali wa mikate, cakes, sweeterners and ethanols, viwanda vingine vingi vya vyakula….
Ukitoka hapo, unatakiwa kujiuliza k**a unaweza kuwa msindikaji mkubwa wa bidhaa hizo kwa kuzalisha mikate ama bidhaa mbalimbali zitokanazo na mazao hayo ya nafaka…zipo nyingi….Kuna mkate wa mchele, ndiyo kuna mikate ya mchele nadhani mnaijua wengi na bidhaa nyingi tu…

Tutaendelea.


podcast
.

www.mazaohub.com

Big things brewing for Africa's agriculture!  We're teaming up with awesome people from across the continent to talk abo...
31/12/2023

Big things brewing for Africa's agriculture! We're teaming up with awesome people from across the continent to talk about: Investment, research, food, exports, Climate farming, young farmers & more! ️ Join us Jan 21st for the first ever podcast Let's grow together!

HAPPY NEW YEAR WITH A NEW PODCAST IN CLIMATE FARMING   New podcast by MazaoHub!  Farming tips, investments, global exper...
31/12/2023

HAPPY NEW YEAR WITH A NEW PODCAST IN CLIMATE FARMING

New podcast by MazaoHub! Farming tips, investments, global experts from various countries & more. ‍‍ Soil health, exports, climate change, farmer stories - all for Africa's agri future!

31/12/2023

Kuanzia January 2024 , nitafocus kwenye fursa za kilimo Tu. Chini ya Mazao Hub . Hashtag yetu . Na tutakuwa na podcast kila mwezi chini ya MazaoHub as farm4planet podcast. Tutaunganisha Africa pamoja k**a sauti moja Kilimo..

Address

Kijitonyama, COSTECH Building, Floor Number 3, Room 9, Ali Hassan Mwinyi Road
Dar Es Salaam
255

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when AdBox posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to AdBox:

Share