Manyara Sports Management

Manyara Sports Management Manyara Sports management is full service Athlete Management & Marketing agency based in DaresSalaam

CAF CONFEDERATION STANDING 📊…✍️Baada ya Mechi za mkondo wa kwanza wa Kombe la Shirikisho Afrika na hapo inayoonyesha ni ...
29/11/2023

CAF CONFEDERATION STANDING 📊…

✍️Baada ya Mechi za mkondo wa kwanza wa Kombe la Shirikisho Afrika na hapo inayoonyesha ni misimamo ya makundi yote manne…

✍️Sasa tunasubir mechi za Mko ndo wa pili zitakazopigwa wiki ijayo kwenye viwanja mbalimbali..

✍️Usm Alger wameanza kwa kishindo ikumbukwe kua Klabu hiyo Ndio Bingwa mtetezi wa kombe hilo baada Ya kucheza Fainali na Klabu ya Yanga kutoka Tanzania na Kuwafunga huko Algeria….

✍️Sasa je Watachukua tena?..au bado mapema kusema hivyo juu yao?

✍️Dondosha Coment yako hapo chini ili tuweze kushare mawazo….

Manyara Sports Management CAF champions league & Confederation Cup󱢏

CAF CHAMPIONS LEAGUE STANDING 📊….✍️Baada ya Mechi za Mkondo wa kwanza wa kombe la Klabu Bingwa Afrika na hapo inayooneka...
29/11/2023

CAF CHAMPIONS LEAGUE STANDING 📊….

✍️Baada ya Mechi za Mkondo wa kwanza wa kombe la Klabu Bingwa Afrika na hapo inayoonekana ni misimamo ya makundi yote Manne…

✍️Sasa tunasubiri mechi za mkondo wa pili zitakazopigwa wikiendi hii maana ni za Kibabe kwelikweli…

✍️Mechi iliyo shangaza watu ni ile ya Wydad kupoteza kwa Goli 1 tena nyumbani…

✍️na Timu za Kutoka Tanzania ambao Yanga alipoteza Ugenini kwa Goli 3-0 na Klabu ya Simba walipata Sare ya 1-1 nyumbani dhidi ya Asec…..

UEFA CHAMPIONS LEAGUE⚽️…..✍️Usiku wa Mabingwa Ulaya..kweli ule ni Usiku wa Mabingwa maana zilikua ni mechi za Kibabe maa...
29/11/2023

UEFA CHAMPIONS LEAGUE⚽️…..

✍️Usiku wa Mabingwa Ulaya..kweli ule ni Usiku wa Mabingwa maana zilikua ni mechi za Kibabe maana tumeweza kushuhudia Jumla ya Magoli 23…

✍️Hata wale wababe kwa Muda huu ni K**a vile wameonekana kudevela maana kwa mechi tulizozishuhudia Jana Kuna picha tunaipata wacha tuanze hivi…

✍️Mechi ya PSG na Newcastle (Newcastle kuanzia Dakika Ya kwanza walikua wanafanya kila kitu kwa Usahihi Marking,Kukimbia Nyuma ya mabeki wa Psg,Kuwahi zile Second balls ndani ya Box na pale katikati waliweza kuwak**ata sana sema Yule Almiron ni atari) ila sasa Psg inabidi wajitathmini maana wanacheza vibaya sana…

✍️Man City na Rb lezpig Ile mechi Kuna muda kipindi Cha kwanza unaangalia unasema Man City alitakiwa afungwe hata 4 lakini ukatili ukishindwa kutumia nafasi ukaiconvert kua goli ni lazima likukute Jambo na Jambo lenyew Ndio lile COMEBACK Ya maana tunaona baada Ya Goli ni k**a vile Man City waliamka walipolala (FT 3-2)…

✍️Tusubiri tuone na siku Ya Leo itakuaje…lakini Man City bila De bruyne Dah unaionaje Em dondosha coment yako hapo chini tuone mawazo yako….

WATANO WASIMAMISHWA KUPISHA UCHUNGUZI…✍️Klabu ya Simba ipo kwenye mchakato wa kuwachukulia hatua ya kuwasimamisha wachez...
07/11/2023

WATANO WASIMAMISHWA KUPISHA UCHUNGUZI…

✍️Klabu ya Simba ipo kwenye mchakato wa kuwachukulia hatua ya kuwasimamisha wachezaji wao watano na Sababu kuu inayotajwa ni kucheza chini Ya Kiwango katika mechi Ya watani wao wa Jadi…

✍️Wachezaji hao watano ni Pamoja na Henock Inonga,Cooutous Chama,Shomari Kapombe na wengine wawili wanatuhumiwa kuihujumu Timu na kitendo kilichopelekea kupoteza kwa Idadi kubwa Ya Mabao (5-1) dhidi ya Yanga…

✍️Chanzo cha Uhakika kutoka ndani Ya Simba kinasema Uongozi umefanikiwa kupata ushahidi wa Awali kuhusu Tuhuma dhidi ya wachezaji hao na sasa inaendelea na uchunguzi wa kina…

✍️Takwimu 📊 za aliyekua kichwa wa Simba Robertinho kuanzia msimu 2022/2023-2023/2024…
07/11/2023

✍️Takwimu 📊 za aliyekua kichwa wa Simba Robertinho kuanzia msimu 2022/2023-2023/2024…

PREMIER LEAGUE STANDING 📊….✍️Baada ya Michezo kadhaa kupigwa weekend hii na hadi Jana J3 huo Ndio msimamo uliopo kwa sas...
07/11/2023

PREMIER LEAGUE STANDING 📊….

✍️Baada ya Michezo kadhaa kupigwa weekend hii na hadi Jana J3 huo Ndio msimamo uliopo kwa sasa Man City ameshajiwekea Mabawa Juu …

✍️Tottenham wameshuka hadi nafasi ya pili hi ni baada ya Jana Kupokea kichapo cha magoli manne kutoka kwa klabu ya Chelsea na Pia kupata red card 2…

✍️Hadi sasa hakuna tena Unbeaten 🤣Swipe to see….

TAARIFA KWA UMMA….✍️Klabu ya Simba ambayo makazi yake Yapo Msimbazi imefiki makubaliano ya Kumuondoa Mwalimu Robertinho…...
07/11/2023

TAARIFA KWA UMMA….

✍️Klabu ya Simba ambayo makazi yake Yapo Msimbazi imefiki makubaliano ya Kumuondoa Mwalimu Robertinho…

✍️Taarifa imetolewa hii Leo na Klabu ya Simba ikiwa wakefikia makubaliano baina ya Timu na Kocha Mwenyewe Robertinho…

✍️Taarifa hii Imetoka ikiwa ni siku ya pili tu tokea wametoka kucheza Derby na Kupoteza kwa Goli 5-1…

✍️Taarifa hii unaionaje….???

Simba SC Tanzania Manyara Sports Management

AFL (AFRICAN FOOTBALL LEAGUE)…Michuano hii iliendelea hapo Jana ikiwa ni Fainali ya kwanza ambapo mchezo huu uliwakutani...
06/11/2023

AFL (AFRICAN FOOTBALL LEAGUE)…

Michuano hii iliendelea hapo Jana ikiwa ni Fainali ya kwanza ambapo mchezo huu uliwakutanisha Wenyej Wydad na Mamelod na Mechi hii ilimalizika kwa Wydad kushinda kwa 2-1….

Mchezo wa Mkondo wa Pili Utapigwa South Africa Pritoria na mchezo huu utaamua ni nani kuibuka Bingwa wa Michuano hii hapo November 12…

LIGI KUU TANZANIA 🇹🇿 BARA⚽️…✍️Leo Tumeona Football maana yake nini,(TUMIA NAFASI & WAKATI GANI?)…✍️Kila Timu ukiangalia ...
05/11/2023

LIGI KUU TANZANIA 🇹🇿 BARA⚽️…

✍️Leo Tumeona Football maana yake nini,(TUMIA NAFASI & WAKATI GANI?)…

✍️Kila Timu ukiangalia tokea Mechi imeanza ulikua unaona kabisa kua kila mtu ana nafasi ya Kushinda kwa kuanzia Dakika Ya 1 hadi ya 45 mechi ilikua nusu nusu yoyote angeweza Kushinda…

✍️Simba Walikua wanapress Vizur kipindi Cha mwanzo shida ilikua ni kukatiza au Kuuvunja ule Mstari wa Viungo wa Yanga na Ukija kwa Beki za Yanga (Lomalisa,Yao,Baca,Job)…

✍️Ile Formula ya Yanga MAP (Maxi,Azizi,na Zouzoua) ni hatari sana kwa maana hujui nani umkabe kwa maana hasa hasa kwa Max na pacoume kwa mechi Ya Leo…

✍️Pecoume leo wengi hatukujua anakua kwenye nafasi gani kwa maana alikua Free line anacheza nyuma pembeni na katikat na Mbele…

Pacoume 🔥
Azizi 🔥
Kibu 🔥….

Je nini maoni yako juu Ya hili…

FT
1-5….

Manyara Sports Management Young Africans Sports Club
AZAM SPORT HD

AFRICAN FOOTBALL LEAGUE ⚽️ (AFL)SUNDOWNS TO THE FINAL……✍️Waliotafutana wamepatana sasa Wana Hasira na nusu Fainali ya CA...
02/11/2023

AFRICAN FOOTBALL LEAGUE ⚽️ (AFL)

SUNDOWNS TO THE FINAL……

✍️Waliotafutana wamepatana sasa Wana Hasira na nusu Fainali ya CAF….

✍️Mechi ya Mwisho kukutana kati ya Wydad na Mamelodi Sundowns ilikua Ni Nusu Fainali ya Mashindano ya CAF CHAMPIONS LEAGUE na Mamelodi walitolewa na Wydad na Kufanya Wydad kufika Fainali ya CAF…..

✍️TUKUTANE FAINALI…….

Manyara Sports Management African Football League

AFRICAN FOOTBALL LEAGUE (AFL)⚽️WYDAD TO THE FINAL…✍️Klabu ya Wydad Casablanca imetinga hatua ya Fainali African football...
01/11/2023

AFRICAN FOOTBALL LEAGUE (AFL)⚽️

WYDAD TO THE FINAL…

✍️Klabu ya Wydad Casablanca imetinga hatua ya Fainali African football league kufuatia ushindi wa Penalty 4-5 dhidi ya wenyeji Esperance ya Tunisia…

✍️Wydad ametangulia Fainali akimsubiri Kati ya Mamelod na Al Ahly Leo hii….

African Football League

CAF AWARDS 2023….📊🥇..✍️ Shirikisho la Mpira Barani Afrika (CAF) imetangaza kinyang’anyiro cha Tuzo ya Klabu Bora ya wana...
01/11/2023

CAF AWARDS 2023….📊🥇..

✍️ Shirikisho la Mpira Barani Afrika (CAF) imetangaza kinyang’anyiro cha Tuzo ya Klabu Bora ya wanaume kwa Mwaka 2023…

✍️Na Kutoka TANZANIA 🇹🇿 Klabu ya imewekwa kwenye kinyang’anyiro hicho huku ikichuana na klabu K**a Mamelodi,Al AHLY,Wydad,Raja CA, na nyinginezo..

✍️Je unaipa klabu ya Yanga Asilimia ngapi kwenye Tuzo hizo?….

Manyara Sports Management Young Africans Sports Club

Address

Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Manyara Sports Management posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Manyara Sports Management:

Share