UBA TV

UBA TV Part of
Excellent at Events | Documentaries | Podcasts
Sports | News | Entertainment | Analysis

Vilabu vya Arsenal, Manchester United, AC Milan na Bayern Munich zote zinamuwania mshambuliaji wa Leipzig Benjamin Sesko...
29/03/2025

Vilabu vya Arsenal, Manchester United, AC Milan na Bayern Munich zote zinamuwania mshambuliaji wa Leipzig Benjamin Sesko, 21, lakini raia huyo wa Slovenia anapendelea kuhamia Ligi ya Premia.

✍️

Powered by

Klabu ya Newcastle na Nottingham Forest zote zinavutiwa na mshambuliaji wa Liverpool na Uruguay Darwin Nunez, 25, ambaye...
29/03/2025

Klabu ya Newcastle na Nottingham Forest zote zinavutiwa na mshambuliaji wa Liverpool na Uruguay Darwin Nunez, 25, ambaye kuna uwezekano mkubwa wakuondoka Anfield.

✍️

Powered by

Kiungo wa kati wa Barcelona na Uholanzi Frenkie de Jong anataka kusalia katika klabu hiyo na yuko kwenye mazungumzo kuhu...
25/03/2025

Kiungo wa kati wa Barcelona na Uholanzi Frenkie de Jong anataka kusalia katika klabu hiyo na yuko kwenye mazungumzo kuhusu mkataba mpya, huku mkataba wa sasa wa mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 27 ukiisha 2026.

✍️

Powered by

Manchester United inapanga kuwaruhusu wachezaji 10, akiwemo mshambuliaji wa Uingereza Marcus Rashford, 27, na kiungo wa ...
25/03/2025

Manchester United inapanga kuwaruhusu wachezaji 10, akiwemo mshambuliaji wa Uingereza Marcus Rashford, 27, na kiungo wa kati wa Brazil Casemiro, 33 - kuondoka kabisa katika klabu hiyo msimu huu wa majira ya joto.

✍️

Powered by

Mlinzi wa pembeni wa Liverpool na England Trent Alexander-Arnold, 26, amekubaliana na Real Madrid kwa mkataba wa miaka m...
25/03/2025

Mlinzi wa pembeni wa Liverpool na England Trent Alexander-Arnold, 26, amekubaliana na Real Madrid kwa mkataba wa miaka mitano na atajiunga na wababe hao wa Uhispania bila malipo.

✍️

Powered by

Klabu ya Tottenham wanatazamia kuanza mazungumzo na kiungo wa kati wa Uruguay Rodrigo Bentancur, 27, kuhusu kuongezwa kw...
24/03/2025

Klabu ya Tottenham wanatazamia kuanza mazungumzo na kiungo wa kati wa Uruguay Rodrigo Bentancur, 27, kuhusu kuongezwa kwa mkataba wake, ambao unaisha msimu ujao wa kiangazi, huku kukiwa na nia ya AC Milan .

✍️

Powered by

Klabu ya Chelsea italazimika kuwalipa Manchester United pauni milioni 5 ikiwa watachagua kupinga kugeuza mkopo wa mshamb...
24/03/2025

Klabu ya Chelsea italazimika kuwalipa Manchester United pauni milioni 5 ikiwa watachagua kupinga kugeuza mkopo wa mshambuliaji wa Uingereza Jadon Sancho kuwa mkataba wa kudumu.

✍️

Powered by

Kiungo wa kati wa Ubelgiji Kevin De Bruyne, 33, amefanya mazungumzo na klabu ya MLS San Diego kuhusu uhamisho wa bila ma...
24/03/2025

Kiungo wa kati wa Ubelgiji Kevin De Bruyne, 33, amefanya mazungumzo na klabu ya MLS San Diego kuhusu uhamisho wa bila malipo mkataba wake Manchester City utakapokamilika msimu huu wa kiangazi.

✍️

Powered by

Mshambuliaji wa Newcastle Alexander Isak yuko tayari kuhamia Barcelona lakini angependelea kujiunga na Liverpool ikiwa w...
24/03/2025

Mshambuliaji wa Newcastle Alexander Isak yuko tayari kuhamia Barcelona lakini angependelea kujiunga na Liverpool ikiwa watamnunua mchezaji huyo wa kimataifa wa Sweden mwenye umri wa miaka 25 msimu huu.

✍️

Powered by

Nottingham Forest itafufua nia yao ya kumnunua Douglas Luiz wa Juventus msimu huu wa majira ya joto, baada ya kushindwa ...
23/03/2025

Nottingham Forest itafufua nia yao ya kumnunua Douglas Luiz wa Juventus msimu huu wa majira ya joto, baada ya kushindwa katika ombi la Januari la kumnunua kiungo wa kati wa Brazil mwenye umri wa miaka 26.

✍️

Powered by

Paris St-Germain na Real Madrid wanafuatilia hali ya Ibrahima Konate katika klabu ya Liverpool, huku beki huyo wa Ufaran...
23/03/2025

Paris St-Germain na Real Madrid wanafuatilia hali ya Ibrahima Konate katika klabu ya Liverpool, huku beki huyo wa Ufaransa mwenye umri wa miaka 25, akiwa bado hajakubali kuongezwa kwa kandarasi yake ambayo inaisha mwaka ujao.

✍️

Powered by

Mshambulizi wa Liverpool mwenye umri wa miaka 28 kutoka Colombia Luis Diaz anatumai Barcelona itamnunua mwishoni mwa msi...
23/03/2025

Mshambulizi wa Liverpool mwenye umri wa miaka 28 kutoka Colombia Luis Diaz anatumai Barcelona itamnunua mwishoni mwa msimu huu.

✍️

Powered by

Address

Tabata
Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when UBA TV posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share