26/02/2025
TRUMP AUZA "VISA ZA DHAHABU"!? 🇺🇸
Tetesi zimezagaa kuwa Donald Trump ana mpango wa kuuza "visa za dhahabu" kwa matajiri wa kigeni wanaotaka kuingia Marekani! 😳💰 Inaonekana anaweka mfumo mpya wa uhamiaji unaolenga watu wenye hela na ujuzi maalum, huku akipunguza nafasi kwa wahamiaji wa kawaida.
Je, hii ni njia mpya ya kujitajirisha kisiasa au ni mfumo mzuri wa kusaidia uchumi wa Marekani? 🤔💵
Drop maoni yako hapa chini! 👇👇