Mr.Acley

Mr.Acley πŸ’‘Digital Growth Partner | Marketing β€’ Design β€’ Sales
Ads Managmnt || Business consultation || 🚫A/c Fixing
πŸ“’ Simplicity is Real
DM for Business!πŸ‘‡πŸ”—
0629240102

13/05/2026

Matokeo haya hayaji kwa bahati - yanatokana na strategy sahihi ya matangazo. πŸ“ˆπŸ”₯

Katika campaign hii, tumefanikisha kupata matokeo mazuri kupitia messaging conversations kwa gharama nafuu sana.

Hii ndiyo nguvu ya digital advertising inayofanywa kitaalamu.

Huduma zetu ni pamoja na;
🫰 Ads Management - Kurusha matangazo ya biashara yako kwa malengo sahihi na matokeo chanya.
🫰 Account Troubleshooting - Kurekebisha changamoto zote za Facebook & Instagram.
🫰 Professional Account Setup - Kuandaa Ads Account yako kitaalamu ili uweze kurusha matangazo kwa ufanisi, kufikia wateja sahihi, na kukuza biashara yako.

K**a unataka biashara yako ionekane zaidi, ipate wateja wengi, na matangazo yako yafanye kazi kweli - tupo tayari kukusaidia.

πŸ“ž Call/WhatsApp: 0692315806 | 0629240102acley



Disclaimer: Content hii ni kwa madhumuni ya elimu na kuonesha uwezo wa huduma zetu za matangazo ya kidigitali.

12/05/2026

Mtaalamu wa Digital Marketing | Facebook & Instagram Ads

Unahitaji matangazo yako ya Facebook & Instagram yakuletee matokeo bora bila kupoteza muda na pesa? Nipo hapa kukusaidia.

Huduma ninazotoa:
1. Mafunzo ya kurusha matangazo ya kulipia kwa ufanisi na matokeo mazuri, bila presha
2. Ads Account Setup na utatuzi wa changamoto mbalimbali kwenye account zako
3. Kufuta DENI (Balance Issues) kwenye account za matangazo
4. Kuondoa Hadi ongezeko la 17% kwenye budget yako ya matangazo

Pia, Tunatoa huduma ya KURUSHA na KUSIMAMIA MATANGAZO yako (Ads Management) kwa biashara mbalimbali, kwa MPANGO MAALUMU kulingana na malengo ya biashara yako.

πŸ’Ό Gharama zetu ni nafuu sana
🎯 Kipaumbele chetu ni mafanikio yako

πŸ“ Tunapatikana Kijitonyama, Police Mabatini β€” na pia nafika popote ulipo.

πŸ›œ Kwa watu wa Mikoani, Huduma ni Kwa njia ya Online

πŸ“ž Wasiliana nasi sasa:
+255 692 315 806
+255 629 240 102

Karibu tukusaidie kukuza biashara yako kidigitali! πŸš€

Disclaimer: This content is strictly for educational and awareness purposes, intended for its relevant audience. It does not promote or support any activity that violates the terms of service, advertising policies, or community standards of the Meta platform.

26/03/2026

Habari Mfanyabiashara...

Je, bado unauhitaji na huduma zetu?

Huduma zetu ni:
1. Kutoa mafunzo ya kurusha matangazo ya kulipia Kwa matokeo mazuri bila presha.
2. Kufanya ads account setup na kutatua changamoto zozote katika account zako, lengo ni wewe kufanikiwa zaidi.
3. Kufuta DENI
4. Kupunguza ongezeka la zaidi ya 17% katika budget Yako ya kurusha matangazo.

Mim ni .Acley, Mtaalamu wa mambo ya digital marketing katika mitandao ya kijamiii ( Facebook & Instagram )

Niamini, tufanye kazi na ufanikiwe k**a wengine walivyofanikiwa.

Gharama zangu ni nafuu sana na punguzo pia lipo, Chamsingi ni wewe kufanikiwa.

Napatikana kijitonyama hapa Dar es salaam....Tunahuduma ya kukufikia pia..

Kwa wewe wa mkoani , hunabudi kupata Huduma zetu Kwa njia ya online yaan Whatsapp Video call....

Nipigie sasa: +255 692315806 or +255 629240102

Karibu!

πŸ’™

29/01/2026

UMETESEKA NA CHANGAMOTO ZA URUSHAJI MATANGAZO BILA MATOKEO?

Sasa, Suluwisho lako limepatikana.

HUDUMA ZETU πŸ‘‡πŸ‘‡
Tunarekebisha matatizo yote ya akaunti za matangazo, ikiwa ni pamoja na:

β€’ Kufuta deni kubwa
β€’ Ad Account Disabled
β€’ Confirm Identity
β€’ Account Restricted
β€’ Unable to Boost Post
β€’ Two-Factor Authentication
β€’ Based in Russia
β€’ Account Suspended
Na mengineyo.

Pia tunatoa huduma zifwatazo:
1. Account setup kwa lengo la kupata matokeo chanya baada ya kurusha tangazo.
2. Kusimamia akaunti za Instagram, Facebook, TikTok, na majukwaa mengine katika URUSHAJI WA MATANGO YENYE MATOKEO BORA

3. Mafunzo ya jinsi ya kuendesha na kurusha *sponsored ads* kwenye Facebook, Instagram, na majukwaa mengine

Huduma zetu zinapatikana Kwa njia mbili;

> Online Services Kwa watu wa mikoani

> Miadi ( appointment) Kwa watu wa Dar es salaam,

K**a uko busy? Usijali, Tunatoa huduma ya kufuata wateja moja kwa moja kwa urahisi wako.

FANYA MAAMUZI SASA, PATA WATEJA KITAALAMU ZAIDI BILA WASIWASI WA KUPOTEZA PESA ZAKO.

☎️ 0629240102
Tunapatikana Kijitonyama, Dar es salaam

26/01/2026

πŸš€ Usiogope k**a una followers wachache!
Matangazo ya kulipia bado yanaweza kukuletea wateja wengi na matokeo bora.

πŸ“Œ Wasiliana nasi leo upate huduma ya uhakika:
1️⃣ Account Setup / Re-Setup – kwa utendaji bora wa matangazo
2️⃣ Account Management – usimamizi wa kitaalamu wa akaunti zako
3️⃣ Account Fixing – tunarekebisha akaunti zenye changamoto za matangazo

Add:
Tunatengeneza professional caption itakayotumika kwenye tangazo lako kulingana na aina ya biashara Yako.

Prom: Kwa Batiki Kali na za kisasa Kwa bei nafuu (jumla)
πŸ‘‰

DM for Business or πŸ‘‡

πŸ“ž Piga / WhatsApp: 0629 240 102
πŸ“… Make appointment with us today!

πŸ”– NB: Followers sio kigezo pekee cha wewe kuaminika au matangazo yako kufanya vizuri.

The more random, the BetterπŸ’ͺ.
04/12/2025

The more random, the BetterπŸ’ͺ.

Address

Kijitonyama
Dar Es Salaam
255

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Mr.Acley posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share