29/04/2026
𝗔𝗡𝗭𝗔 𝗕𝗜𝗔𝗦𝗛𝗔𝗥𝗔 𝗞𝗪𝗔 𝗠𝗧𝗔𝗝𝗜 𝗪𝗔 𝟰𝟬𝟬,𝟬𝟬𝟬 𝗧𝗨✅
Je, unatafuta ujuzi unaoweza kukuingizia kipato kila siku?
Jifunze Screen Printing na uwe mtaalamu wa kuprint: 👕 T-Shirts
👜 Mifuko
📦 Vifungashio
na bidhaa nyingine nyingi za kibiashara
📌 Mafunzo ni ya vitendo (practical) kuanzia mwanzo hadi Uwe mtaalamu
Utajifunza:
✅ Kutengeneza na kuandaa screen (frame)
✅ Mchanganyiko sahihi wa rangi
✅ Printing safi na yenye ubora
✅ Mbinu za bei na kupata wateja
✅ Jinsi ya kuanzisha biashara yako mwenyewe
💰 Cha kuvutia zaidi👇
🚀 Unaweza kuanza hii biashara kwa mtaji wa Tsh 400,000 tu!
Hakuna mashine ghali, hakuna uzoefu wa awali unaohitajika.
🎓 Aina za Mafunzo na Gharama:
🔹 Ana kwa Ana: Tsh 200,000/=
🔹 Online: Tsh 100,000/=
👥 Mafunzo yanafaa kwa:
✔ Vijana wanaotafuta ajira mbadala
✔ Wanaotaka kujiajiri
✔ Wamiliki wa biashara ndogo
✔ Mtu yeyote mwenye ndoto ya kipato cha uhakika
Usiache ndoto yako ibaki ndoto — geuza kuwa biashara!
📲 Wasiliana nasi sasa 0656781501 kwa usajili na maelezo zaidi. Nafasi ni chache!