BrayB News

BrayB News
⚽ Apdate Za Kimichezo
⚽Ndani Ya Nchi Na Nje Ya nchi

Wakati wewe unaweza A yeye tayar anakuwa amewaza A,B,C na mawazo yake ni kutumia D ...😀😀🙌PEDRI 🔥🔥Ukiachana na Pe*******o...
01/03/2026

Wakati wewe unaweza A yeye tayar anakuwa amewaza A,B,C na mawazo yake ni kutumia D ...😀😀🙌PEDRI 🔥🔥

Ukiachana na Pe*******on pasi kwenda kwa Lamine Yamal ambayo ilizaa Hattrick yake ya kwanza ...

Kuna Pe*******on nyingine aliichapa kwenda kwa Kounde ambayo ilizaa bao la BABU Lewa 🙌🔥

Zile Pasi ni Upeo wa Hali ya Juu sana tena sana mnoo unahitaji QI yako iwe smart kufanya vile ..

Mwaga Moto mwingi kwa Magician Pedri Gonzalez ...🔥🔥🙌🙌.

Tutasema nini sisi hatuna Kiungo k**a Sandro Tonali ...Sisi tunapata wap nguvu ya kuongea wakati hatuna mido k**a Joelin...
28/02/2026

Tutasema nini sisi hatuna Kiungo k**a Sandro Tonali ...

Sisi tunapata wap nguvu ya kuongea wakati hatuna mido k**a Joelinton ..

Kukaa kimya ndiyo njia sahihi maana tunaongea nn wakati hatuna winga k**a Antony Gordon wala Elanga 🤕🙌

Culers mnalakusema kweli !!? Watu wana Teka refu kuliko Goli tutasema nini sisi ..

Tumeambiwa na beki zetu unga unga tutaweza vipi kumfunga Newcastle ..😃😃tuseme nn sisi

Hatuna Beki K**a Tripier mbavu kupanda na kushuka 🤕🙌

Hapa tulipo tunasubir tu kufungwa nje ndani k**a mlivyosema ...na sisi tumekubali kuwa hatuna timu ya kumfunga Newcastle

KITU pekee kinachotupa imani au kitu pekee tunalinga nacho ni FC BARCELONA ..as long as Barcelona imesimama hakuna kinachoshindikana .

Visca Barca 💙❤🔥✍🏻⚽️.

Via.

Nianze kwa kuomba radhi kwa kuchelewa kuwapostia mapema ratiba ya mechi za leo🙏🚩RATIBA YA MICHEZO YA LEO VIWANJANI – JUM...
24/01/2026

Nianze kwa kuomba radhi kwa kuchelewa kuwapostia mapema ratiba ya mechi za leo🙏

🚩RATIBA YA MICHEZO YA LEO VIWANJANI – JUMAMOSI, JANUARI 24, 2026

🏴 15:30 – West Ham United 🆚 Sunderland
🇮🇹 17:00 – Como FC 🆚 Torino FC
🇩🇪 17:30 – Bayer Leverkusen 🆚 Werder Bremen
🇩🇪 17:30 – Bayern Munich 🆚 Augsburg
🇩🇪 17:30 – FC Heidenheim 🆚 RB Leipzig
🏴 18:00 – Fulham FC 🆚 Brighton
🏴 18:00 – Burnley FC 🆚 Tottenham Hotspur
🏴 18:00 – Manchester City 🆚 Wolverhampton
🇳🇱 18:30 – Ajax Amsterdam 🆚 FC Volendam
🏟 19:00 – Esperance de Tunis 🆚 Simba Sports Club
🇹🇷 20:00 – Karagümrük 🆚 Galatasaray FK
🇩🇪 20:30 – Union Berlin 🆚 Borussia Dortmund
🇪🇸 20:30 – Sevilla FC 🆚 Athletic Club
🏴 20:30 – Bournemouth 🆚 Liverpool FC
🇵🇹 21:00 – Arouca 🆚 Sporting CP
🇫🇷 21:00 – Le Havre 🆚 AS Monaco
🏟 22:00 – RS Berkane 🆚 Pyramids SC
🇳🇱 22:00 – PSV Eindhoven 🆚 NAC Breda
🇪🇸 23:00 – Villarreal CF 🆚 Real Madrid CF
🇫🇷 23:05 – Olympique Marseille 🆚 RC Lens

*--FOLLOW & LIKE--*

Nuno Alexander Tavares Mendes ni mchezaji mzuri sana na anajua kukaba na kuzuia wachezaji wengi wenye ubora lakini sio k...
30/06/2025

Nuno Alexander Tavares Mendes ni mchezaji mzuri sana na anajua kukaba na kuzuia wachezaji wengi wenye ubora lakini sio kw Lionel Andres Messi The GOAT 🐐.

Msimu uliomalizika kwenye mashindano ya UEFA champions league Nuno Mendes alizuia wachezaji k**a Mo Salah wasifanye Dribbling hata moja lakini mbele ya Messi alifanyiwa dribble tatu na hakuweza kumzuia Kwa lolote.

PSG waliifunga Inter Miami CF lakini hakuna alieweza kumfanya Messi asicheze k**a tunavyomjua, alicheza na alifanya mambo mengi makubwa, wachezaji wenzake wa Inter Miami CF ndio salimuangusha.

FOLLOW US.

Ndio mlisema Doue ni bora kuliko hii mali? 😂 Sababu pekee ya kutopewa Ballon D’or ni kufuta tuzo zisiwepo
06/06/2025

Ndio mlisema Doue ni bora kuliko hii mali? 😂 Sababu pekee ya kutopewa Ballon D’or ni kufuta tuzo zisiwepo

🚨 OFFICIAL FINAL UEFA NATIONS LEAGUE June 8🏟 22:00 - Portugal 🇵🇹  ⚔️ Spain 🇪🇸
05/06/2025

🚨 OFFICIAL FINAL UEFA NATIONS LEAGUE June 8

🏟 22:00 - Portugal 🇵🇹 ⚔️ Spain 🇪🇸

🚨 Lamine Yamal ameshinda tuzo ya mchezaji bora wa Mchezo Nusu UEFA Nations League Vs France .
05/06/2025

🚨 Lamine Yamal ameshinda tuzo ya mchezaji bora wa Mchezo Nusu UEFA Nations League Vs France .

✍️Lamine Yamal beki wote wa kushoto kawatesa msimu huu sasa hili bato la Nuno Mendes wengi tulikuwa tunalisubiri kwa ham...
05/06/2025

✍️Lamine Yamal beki wote wa kushoto kawatesa msimu huu sasa hili bato la Nuno Mendes wengi tulikuwa tunalisubiri kwa hamu tuone k**a na yeye atamtesa k**a alivyowatesa kina Theo.🔥💣

KUTOKA MITANDAONI
09/02/2025

KUTOKA MITANDAONI

ALLY KAMWE: DUBE ALIKUWA ANAROGWA NA YULE EX WAKE😂.
10/11/2024

ALLY KAMWE: DUBE ALIKUWA ANAROGWA NA YULE EX WAKE😂.

Address

Karasha
Mlowo

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when BrayB News posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share