Magnet News

Magnet News Powered by MAGNET STAR MEDIA

MAgnet News-Spark the News, Magnetize Minds.

 Habari ambazo  zimepewa kipaumbele kwenye magazeti ya leo ni pamoja na:- O.D.M kujipima nguvu bila ya Raila- Ubabe wa k...
13/05/2026


Habari ambazo zimepewa kipaumbele kwenye magazeti ya leo ni pamoja na:
- O.D.M kujipima nguvu bila ya Raila
- Ubabe wa kisiasa baina ya Oburu na Sifuna

 Naibu Rais Kindiki  pamoja na Rais mstaafu Uhuru Kenyatta wakati wa hafla ya kuapishwa na kuingizwa madarakani kwa Rais...
12/05/2026


Naibu Rais Kindiki pamoja na Rais mstaafu Uhuru Kenyatta wakati wa hafla ya kuapishwa na kuingizwa madarakani kwa Rais wa Uganda, Yoweri Museveni.

 DCI yahusisha mauaji ya Mchungaji Ndumia na genge hatari la wahalifu wenye silaha huko NakuruIdara ya Upelelezi wa Mako...
12/05/2026


DCI yahusisha mauaji ya Mchungaji Ndumia na genge hatari la wahalifu wenye silaha huko Nakuru
Idara ya Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI) imetoa taarifa mpya kuhusu uchunguzi unaoendelea wa mauaji ya Reverend Julius Ndumia katika Kaunti ya Nakuru.

Reverend Ndumia aliuawa kikatili baada ya washambuliaji wasiojulikana kuvamia makazi yake na ofisi ya kanisa usiku wa Jumapili, Mei 3, 2026, na kuondoka na pesa taslimu, simu za mkononi na vitu vingine vya thamani.

Shambulio hilo pia lilimwacha mlinzi wa kanisa akiwa amejeruhiwa vibaya. Alikimbizwa hospitalini, ambako kwa sasa anapokea matibabu.

Katika taarifa yao, wachunguzi walihusisha tukio hilo na genge la wahalifu linaloaminika kuhusika katika msururu wa uporaji wa kutumia silaha kote kaunti hiyo.

Kulingana na wapelelezi, genge hilo limekuwa likifanya uporaji likiwa limejificha kwa kuvaa sare za vikosi vya usalama na linajulikana kutumia bunduki aina ya L1A1 wakati wa mashambulizi hayo.

Washukiwa hao pia wamehusishwa na tukio jingine la wizi ambapo zaidi ya KSh 600,000 zilidaiwa kuhamishwa kutoka akaunti ya benki ya mwathiriwa kwenda kwa nambari za simu za fedha zinazohusishwa na wanachama wa genge hilo.

Wapelelezi walisema uchunguzi wa kitaalamu wa kisayansi unaendelea ili kusaidia kuthibitisha uwepo wa washukiwa katika eneo la tukio huku uchunguzi ukiendelea kuimarishwa.

 Baadhi ya viongozi kutoka Afrika na Ughaibuni ambao wamehudhuria kongamano linalotamatika la Africa Forward Summit
12/05/2026


Baadhi ya viongozi kutoka Afrika na Ughaibuni ambao wamehudhuria kongamano linalotamatika la Africa Forward Summit

12/05/2026



Yoweri Museveni,Rais wa Uganda akikabidhiwa vifaa vya madaraka na Mkuu wa Majeshi Generali Muhoozi Kainerugaba baada ya kuapishwa kwa muhula wa saba.

 12/05/20256
12/05/2026


12/05/20256

11/05/2026
 Timu ya Barcelona imenyakua ubingwa wa ligi ya Uhispania Laliga kwa mara ya 29, hii ni  baada ya kuicharaza Real Madrid...
11/05/2026


Timu ya Barcelona imenyakua ubingwa wa ligi ya Uhispania Laliga kwa mara ya 29, hii ni baada ya kuicharaza Real Madrid mabao mawili kwa bila hapo jana.

  11/05/2026
11/05/2026



11/05/2026

 Arsenali yakaribia kuutwaa ubingwa wa EPL 😁
10/05/2026


Arsenali yakaribia kuutwaa ubingwa wa EPL 😁

Happy Mother's Day! 'sDay
10/05/2026

Happy Mother's Day!
'sDay

Address

Kitale

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Magnet News posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Magnet News:

Share

Category