08/08/2026
Watu watatu wamefariki dunia baada ya gari aina ya Probox lililokuwa limebeba miraa kugongana uso kwa uso na lori lililokuwa likisafirisha mchanga karibu na Kituo cha Biashara cha Mutithi, kando ya Barabara ya Mwea–Embu katika Kaunti ya Kirinyaga.
Dereva wa Probox mwenye umri wa miaka 28 alifariki dunia alipokuwa akipokea matibabu, huku abiria wawili wakipata majeraha mabaya. Lori hilo pia lilishika moto kufuatia ajali hiyo.
Video by Nyakundi Report