Rambow

Rambow Everything is possible nothing is impossible

17/02/2023

Am fully back

28/01/2023

💥LAND LADY💥...(Part 11)
Niliona Joy alikuja place Niko roho ikaanza kudunda😩😩sikua nimetajaria k**a nitawai meet na Joy tena..joy alikuja Hadi place nilikua nimekaa ...then vile alinifikia akaniangalia Kwa mshangao Sana na Kwa macho ya huruma🥺🥺kisha me nae nikasimama nikamwangalia...

Joy==Ben is this you🥺🥺???Am sure wewe ni ule chali niliwai Patana na yeye Kwa Hoteli Fulani hapa town..nikamlipia bill🤔..
Me=🥲🥲😥yeah it's me joy...I remember you very well..once again thank you 🙏..
Joy==Noo Ben..hufai kushinda ukinishukuru..what are you doing here??na mbona unaonekana mwenye Huna furaha??
Me==Joy🥺am sure ni Mungu amekutuma Tu tupatane Leo..mara ya Kwanza nilikua na wewe nikapoteza chance ya kujieleza na walai I have suffered alot😭..I can't hide anything anymore...joy am suffering...I was about to commit su***de yesterday 😭💔..

Joy==What😳😳😳Ben Usiwai fikiria kujiua tena... Death is not the last option... imagine kujiua haitakusaidia instead itaongeza kilio Kwa familia yenu...
Me==Joy I know but I have a story to tell😭😭it's a long story Hadi hautaelewa...

Joy==Ok Ben..will you mind tukienda place poa like hotel hivi tuongee poa..coz hii place si poa na nik**a uko na story ndefu..
Me==Definitely yes🙏🙏..but Sasa Niko mchafu hivi huogopi kutembea na Mimi🥺..
Joy==😚🥰Been..don't mind .I have a car..nimepark pale Kando..follow me plz🥰..

Jamaa nilifwata joy Tukaanza kuenda..wueeeh this time nilikua nimeamua siwezi mwacha aende k**a sijamwelezea shida zangu walai😂😂..Hadi sikua na haja na mapenzi na yeye coz obvious nilijua hata yeye hawezi nikubali😂😂..so me nilitaka Tu nimwambie shida zangu Bana alafu akinihurumia hata anipee KAZI ya kuwalisha ubwa wao nitashuru Sana🙏🙏..Mimi nilijua me si class ya joy😎huyo ni mtoto wa bilionaire Bana anadeal na watoto wa matajiri k**a yeye😎😎..so me Niliamua nitamwelezea shida zangu bila kumwogopa🙏🙏..

Tuliingia Kwa gari lake tukaenda Hadi Kwa hotel Fulani ilikua Kando kidogo na town💥💥..kulikua na Duka la

28/01/2023

💥LAND LADY💥........(Part 10)

Enyewe nilikosa hope kabisa..niligive up na haya Maisha Sasa🥺🥺sikuona tena sababu ya Mimi kuendelea kukua uhai😭😭..Nilifikiria vile wazazi wangu watalia wakiskia nimekufa but nilijua sina njia ingine ya kupumzika🥺🥺njia ni hii moja Tu "kifo"...Nilijiambia kimoyo Moyo""Mom en Dad..am very sorry 😭nilikuja mjini nikiwa na Imani ya kufanikiwa siku moja .nilikua na matumaini kwamba siku moja Mimi pia Nitakua mtu WA maana but nik**a Mimi nilizaliwa kuteseka Hadi nifee😭😭sioni Dalili yoyote ya mafanikio mbele yangu😭😭kila kukicha shida zinazidi kukua mingi😭😭nakula mapipani na kulala vibandani...Naishi k**a Mbwa asiyekua kua na nyumbani😭😭...Nimechoka na haya Maisha..I Have to Rest once en for all😭🙏maib I will be a better person in my Next Life😭🙏..."Jamaa nilijiambia kimoyo Moyo huku nikidondokwa na Machozi😭😭....Nikichukua kwamba Fulani ilikua pale Kando nikaamua kujitia kitanzi manze🥺..

Nilifunga hiyo kamba pale juu Kwa kimiti mfulani..nikimake sure hakuna mtu ananiona juu sikutaka kusaidiwa niendelee kuteseka tena..nilikua nimeamua kupumzika once en for all..Baada ya kudunga kamba Sasa nikaamua kujitia kitanzi😭😭nilifunga macho nikahesabu one"two" but kabla nihesabu 3 Sasa niwachilie kamba kidogo kidogo nikaanza kukumbuka maneno ya Yule nyanya tena😱😳😳"""You will suffer..you'll even try to commit su***de..na wakati utakata Tamaa utamani kujiua hapo ndio Baraka zako zitakua zimewaidia sas""

Hayo maneno ya Yule nyanya yaliniingia yakaanza kunisumbua akili Sasa😩😩😣nikakumbuka pia Bible inasema the end for the Human is the Beginning of the Lord.."

Enyewe nilijaribu kujitia kitanzi nikashindwa🥺😭Nilikua confused Sasa😣😩😭nilianguka pale chini nikaanza kulia nikiongeleaha Mungu Sasa""""God why???kwani unataka kunibariki nikiwa Mzee 😭?Mungu Baraka mzuri ni zenye mtu unapata ukiwa bado kijana..ili uenjoy Maisha yako😭😭am almost 26yrs now..bado naumia Tu😭😭..Mungu Leo sitoki hapa Hadi unibariki na Mimi😭😭kwani wale wat

28/01/2023

💥LAND LADY💥....(Part 9)

Nilisimama Kwa corner ya hiyo nyumba nikiwa natetemeka Sana🥺😩😩..kumbuka kulikua na Giza kwanza Ile Giza ya hutokea k**a kumenyesha🥺😬😬nilianza kuomba Tu Mungu kimoyo Moyo aki hao watu wasinione😩😩🙏..wale watu walikuja Hadi karibu na mlango ya hiyo nyumba kisha wakasimama..alafu nikaskia sauti ya Mumama ikisema eti ""wacha tutoe Ile tulizika hapa last month ndio tuweke hii..kumbuka hivo ndio inafaa""kisha ingine ikamjibu eti ""yeah hivo ndio inafaa""

Jamaa Niliamua kuchungulia nione ni nini hiyo inazikwa hapo😩😩🥺..Nilipochungulia nikishtuka Sana kuona watu watatu wamevalia nguo ndevu nyeusi k**a kanzu hivi😳😳😬..mmoja alikua amemlika torch then mwingine anachimbua shimo Fulani..alafu kuna Yule Mmoja alikua amesimama na Chungu Fulani Kwa mkono..azn kale kakitu Sisi hukaita""NYUNGU"....Nilipo waona Tu hivi nikajua hao ni wachawi😩😩...

Walichimbua pale chini wakatoa kitu Fulani pale chini kisha wakaweka hapo hiyo Chungu then wakaanza kutoa masauti za kutisha huku wakicheka Cheka ..Jamaa nilijiambia Tu kimoyo Moyo huku sikai tena walai...Baada ya Mda kidogo wale watu waliondoka na kuenda zao...Nilibaki nikiwa nimeshtuka coz Mimi huu uchawi nilikua naona Tu Kwa Nigerian movies😂😂but this time nilijionea Kwa macho yangu mawili..

Wale watu walipoondoka Tu hivi me pia nikaamua sitaendelea kukaa hapo tena...sitaendelea kuishi mahali wachawi wanakuja kufanyia mambo Yao..hata Niliamua sitajaribu kuchimbua pale chini eti nione ni nini iko hapo coz nilikumbuka mamangu aliwai niambia eti mtu akiona uchawi wa mtu hata anaweza kua mwenda wazimu au akufe ili asitoboe Siri...so me Niliamua kumind my Business nikabeba tunguo twangu na kujitoa🏃🏃...Nilikimbia huo usiku Hadi nikafika town..uzuri ya Nairobi Town watu huwa hawalali😂😂shughuli zilikua zinaendelea k**a kawaida tho ilikua around saa nane usiku..

Nilikesha pale town na Soldier mmoja ambae alikua anachunga Duka Fulani..so Niliketi na yeye hapo bila kumwambia anything kuhusu mambo nil

27/01/2023

𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒: 𝐒𝐔𝐋𝐓𝐀𝐍𝐀 𝐂𝐢𝐓𝐯 𝟐𝟕𝐓𝐇 𝐉𝐀𝐍
𝐏𝐀𝐑𝐓 𝟏 DIDA KAMPATA BUYA
Late but finally: Weka Like ukiendelea kusoma✔️

JJ finally alitoka lakini kufika nje,nani amemkujia? Babake na sasa JJ ashajua huyu si babake. Alitaka kumpita lakini Major akamuita akamwambia JJ nimekuja twende nyumbani my son,lakini JJ akamwambia sikiza mzee,stop calling me your son. Hujawai kuwa babangu na hutawai kuwa babangu! Wueh. Major alimwambia tulia acha hasira,just relax na uondoe hasira. JJ alimwambia wee ongea tu lakini usiniguze. JJ alichukua ufunguo wa gari lakini babake akamwambia kwa hali uko huwezi endesha gari please son. Major hana habari mwenye anaongea na yeye ashajua ukweli wa mambo.

Huku kwa babu,ameamka anatafuta dawa zake ameze lakini punde si punde,Zuu akafika. Akamwambia babu,k**a unatafuta dawa zako Mwanzele alichukua na amemeza anataka kujiua. Babu akakaa chini akamuuliza unamaanisha nini Zuu? Zuu alimwambia ni hivyo. Babu akamwambia pigia simu Kokan mara moja alete dawa zingine. Zuu akamwambia babu,naona mambo mengi yamekupita,huyu Kokan hayuko.

Tufike kwa Maria na Fatima. Fatima anauliza Maria Buya ako wapi? Maria alimwambia alikua hapa na k**a hayuko mi sijui penye ako na k**a uko na ngori na mimi jaribu uone. Fatima akauliza Maria,sasa wewe unaeza nitishia mimi msichana? Maria akamwambia sikutishiii lakini wewe nakutandika k**a mtoto ameenda choo kwa kitanda. Fatima hajai pata pingamizi hivi,hadi ilibidi arudi chini kiasi. Punde si punde,Sultana pia akafika,akauliza kwani Kaka ameenda wapi? Fatima akasema nyie watoto mwataka kunichezea sio,nitawatandika nyinyi hadi mseme ukweli. Kumbe Salama pia alifika,akaambia Fatima hiyo adabu nitie mimi uachane na wasichana wangu. Fatima,nguvu tatu Vs wewe peke yako utawezana😂😂

Kwa Babu na Zuu. Babu alimwambia hii hali ya Kaka kujua Mwanzele si babake imekua ngumu,laiti mamake angekua hai atuelezee mwenyewe.

Fatima aliona ju hakuna kitu kwanza alienda akatafuta na akakuja akawaambia haoni dalili za mum

19/01/2023

💥LAND LADY💥....(Part 8)

Niliingia town nikaanza Kazi yangu ya kutafuta Kazi..nilizurura pale town from morning Hadi zikafika saa nane but sikupata Kazi😪😪😭...Niliulizia Kazi Hadi ya Mjengo but sikufaulu kupata😭😭..walai nilianza kuregret mbona nilikuja Nairobi Sasa😭😭..njaa pia ilinilemea nikaamua kuketi mahali Fulani Kwa kivuli😪😪..Niliketi pale chini nikaanza kuwaza na kuwazua..nilikua nadondokwa na Machozi Nikikumbuka Mimi ndio mtoto wa Kwanza kwetu😭😭..Nilikumbuka Maisha yetu ya Umaskini nikajikuta nalia nikiwa nimeketi pale chini😭😭eti Sasa Mimi ndio wazazi wangu wanategemea😭🤔..?me ndio nafaa kusaidia wazazi wangu kusomesha wadogo wangu na Niko hapa nimekosa hata chakula pekeake😭😭..enyewe nilianza kukata Tamaa Sasa...Nilijua nitakufia Tu huku Nairobi😭😭..

Njaa ilinilemea nikaona sitakufa njaa aki😪😪so nikaamuka nikaamua kuanza kuomba watu msaada Sasa...niliamua kusimamisha Tu watu nikiwaomba wanisaidie🙏🙏..Niliona mwanaume mmoja alikua amevalia Suti nikaamua kumuomba msaada...

Me==Excuse me Bro...
Jamaa==Yes how may I help you??
Me==Please bro...sijakula kitu tangu Jana Asubuhi..kindly nisaidie hata na 50bob nikule githeri plz😪🙏🙏🙏..

Jamaa Aliniangalia kutoka juu Hadi chini🤨🤨kisha akatoa wallet akachukua noti ya Mia akanipea😎..Nilitamani kupiga magoti ndio nichukuwe walai..sikuamini macho yangu....Nilishukuru huyo Jamaa Sana kisha akaondoka..Niliamua nitaenda Tu Direct Hadi hotel nikule Kwanza...

Nilitembea haraka Hadi hotel nikakula githeri na maandazi kisha nikabaki na 30bob...Hiyo 30bob nikaamua nikanunua kasababuni pale town..just incase nikibahatika nipite Mahali kuna maji nioge...nilibuy soap kisha nikarudi Kwa nyumba...Zilikua zimefika around saa Kumi na moja jioni...Bydha Mimi sikua nimelemewa Maisha ya kuomba omba🤲but hiyo siku ilinibidi niombe juu yenyewe ningekua njaa..

Nilipofika Kwa nyumba Niliamua kumuzika kidogo...Baada ya kitu k**a Lisaa limoja hivi Mvua ikanza kunyesha🤗🤗Nilifurahi Sana nikajuaa baaasi Mungu amesk

19/01/2023

𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒: 𝐒𝐔𝐋𝐓𝐀𝐍𝐀 𝐂𝐢𝐓𝐯 𝟐𝟎𝐓𝐇 𝐉𝐀𝐍
𝐏𝐀𝐑𝐓 𝟏 MWANZELE KAAMUA KUJIUA
Wakuu! Weka like ukiendelea kusoma...Asanta!

Tunaanzia kwa Babu Leo hii,akiwa amelala,alisikia kuna mtu anakuja pole pole,kumbe ni Mwanzele. Mwanzele anadhani Babu amelala lakini kamzee kako macho mbaya. Kisha wazimu akachukua dawa hapo kwa meza akatoka nazo. Mwanzele anadhani Babu hamuoni lakini wakati anatoka,akagonga drum hadi Babu akaamka. Mwanzele akajitetea haraka akaambia Babu pole kwa kukuamsha. Babu akamuuliza Mwanzele nilisikia Zuu akilia kuna nini? Mwanzele akamwambia hata sitaki kumuona yeye. Babu akamwambia nenda umuone.

Huku kwa barabara,Sada alipigiwa simu na JJ akamwambia shangazi uko wapi huku mambo yameanza kuharibika kwa sababu Fatima ashaanza kujipendekeza kwa mzee. Sada akamwambia JJ toka huko kabisa utarudi tu wakati nitarudi mimi kwa sababu kuna pahali naenda kufanya mambo 123 nikimaliza ,I will be back.

Hebu turudi kwa Mwanzele tuona zile dawa anataka kufanyia nini. Alikuja akaweka hapo na akachukua simu kumpigia nani? Salama,Huku akilia tu. Salama alishika simu akamuuliza uko wapi Mwanzele? Mwanzele akamwambia sikiza Salama,najua yamesemwa mengi sana lakini leo hii nimejua mimi ndio wamakosa. Salama akamuuliza unamaanisha nini Mwanzele? Mwanzele akamwambia Salama tafadhali nitunzie mke wangu na umwambie nampenda sana,mimi naondoka. Kisha Mwanzele akakata simu na kumbe nia yake ilikua kujidunga dawa kujimaliza kwanza kwanza akiimagine hana nguvu za kiume anakosa kuamini. Akachukua dawa za minyoo chupa mzima kukunywa.

Sada ametembea sana hadi akafika kwenye kunauzwa madafu akanunua anywe kiasi kisha akauliza muuza madafu unajua huyu mzee? Alimuonyesha picha. Jamaa wa madafu akamwambia eeh huyu namjua sana na anaishi palee mbele. Sada akajua basi,hivi ndio alitaka. Muuza madafu hadi aliita mwenzake akamuuliza kibro si huyu ni mzee wa pale mbele? Akamwambia eeh huyu mzee ni yeye alah. Kisha Sada akawapea asante ya shilling elfu moja.

Kwa Major nakw

18/01/2023

💥LAND LADY💥.....(Part 7)
Niliondoka nikamua kuranda Randa pale town k**a kawaida..tho ilikua bado Asubuhi juu Niliangalia Kwa kisaa Fulani kilikua pale town zilikua saa Almost sa mbili ya Asubuhi...Hata hivo Nilitembea nikiwaza na kuwazua🤔🤔Sasa nitasurvive aje hii Kanairo aki🤔..pesa nilikua nazo mbele na nyuma zimepotea😭😭...Nitakula nini Sasa😭🤔..""ama ningeambia Joy anisaidie na Kazi hatak**a ni ya kulisha madogy huko kwao🤔🤔....aiiii hapana..nilikua nimemunoki na hakuna vile ningeanza kumuomba Msahada tena na tayari alikua amenisaidia kulipa bili😔😔..Nilizidi kujiambia kimoyomoyo Nikitembea pale town...

Nilizurura town nilijaribu kuulizia Kwa maduka k**a naweza pata Kazi but sikufaulu😪😪..nilienda Kwa kampuni tofauti tofauti nikiulizia Kazi yoyote hatak**a ni ya kuosha Choo but sikufanikiwa kupata KAZI😭😭..Niliingia Hoteli kadhaa nikiulizia Kazi hatak**a ni ya kuosha Vyombo but sikufaulu😭😭...Nilizunguka Town nikitafuta Kazi Hadi zikafika jioni but sikupata Kazi yoyote😭😭..nilipoteza matumaini nikaamua kurudi Kwa nyumba yangu yenye hazijamalizika kujengwa😭😭..Nilitembea polepole Hadi Kwa hiyo nyumba...zilikua around saa Moja jioni..nilikua nimechoka Sana plus njaa nikaamua kujilaza Tu😪😪..pia nilikua najikuna juu ya jasho la mchana alafu tena sikua nimeoga Kwa siku mbili Sasa😔😔...Nilijilaza pale chini nikaanza kuwaza na kuwazua🤔🤔...nikakumbuka tena maneno ya Yule nyanya akiniambia""'Naona ukiwa Mtu mkubwa Sana maishani mwako😎but kabla ya hiyo lazima utateseka..utalala vichakani..utatafuta Kazi wala hautapata..utaishi njaa..itafika mahali utamani kujiua na hapo ndio Baraka zako zitakua zimefika....

Nilikumbuka Maneno ya Yule Nyanya nikajitia Moyo..nikajiambia sitakata Tamaa..kesho Asubuhi Naamka Mapema Sana niende niendelee na Kazi yangu ya kutafuta Kazi✊✊...Baada ya kuwaza na kuwazua hatimaye usingizi ulinishika...Nilipolala nikaanza Kuota ndoto Fulani😳😳..Kwa ndoto niliota eti nilikua nimeshikwa pale town na umati WA watu wakitaka kunichom

18/01/2023

𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒: 𝐒𝐔𝐋𝐓𝐀𝐍𝐀 𝐂𝐢𝐓𝐯 𝟏𝟗𝐓𝐇 𝐉𝐀𝐍
𝐏𝐀𝐑𝐓 𝟏
Sorry for Delay wakuu but never before than late. Weka Like ukiendelea kusoma kiongozi...(ignore errors of spellig mistakes nimeandika haraka)

"Kaka anaangalia kwenye Mwili wa Kokan ulikua hakuna anashindwa kuliendaje. Kwanza akaona kuna damu damu kisha akaanza kufuata damu. Hii sasa ni flash back ju already Kaka ako kwake hii anakumbuka venye kulienda. Alifuata nyayo za damu pole pole kuona venye mwili wa Kokan ulienda ju hata pia tunataka kujua mwili wa Kokan uko wapi. Lakini Kaka akiwa anatembea,kugeuka tu nyuma hivi,akawekele..." Ajaa akaamka. Kumbe hii ilikua tu ndoto,helooo😂😂😂Kaka kugutuka Buya alimuuliza kijana najua nikikuuliza utasema uko sawa shida ni nini? Kaka akamwambia wee mzee achana kuuliza maswali bna ni venye nashindwa maybe watu wanaeza tuvamia hapa. Buya akamwambia mimi si fala,hilo si lenye linakusumbua. Kaka akamwambia wee fwata mambo yako bna,una yako nina yangu.
Kumbe Mwanzele na yee ju ameamja mwanzo ni mpya,alikuja hosi kupimwa waone k**a ako na nguvu za kiume. Kufika hosi alikutana na nurse na yeye alitaka wa kiume. Nurse akamwambia daktari ni mmoja tu ima wa kiume ama k**e. Mwanzele akamwambia unajua tatizo langu ni shida ya nguvu za kiume. Nurse akamwambia wee ongea bwana nakusikia. Mwanzele alikaa chini kujieleza.

Huku kwake nakwo,Zuu alikuja mbio akiita Mwanzele. Kaka alisikia akakuja akamuuluza mbona kelele? Zuu akamwambia babako yuko wapi kwa sababu amekuja na pesa mingi na sijui ni za faida gani. Kaka akamwambia shida ni nini? Zuu akamwambia kaburi la babangu limefukuliwa na lazima Salama apate habari. uu huyoo akatoka mbio kuenda kwa Salama. Kaka pia akamfuata.

Nyumbani kwa Major alipigia jamaa wake wa mkono simu akamwambia boss hadi sai hamjapata Kokan mbona hamfanti kazi ama unataka nipee polisi kazi? Wakamwambia wanaendelea kumtafuta. Fatima alikuja akaambia Major mbona huyu Asiya anatoka toka anataka kazi nani afanye? Major akamwambia k**a ni Asiys nime

18/01/2023

💥LAND LADY💥.....(Part 6)
Jamaa nilijua Sasa kimeumana😬😬😫nikakumbuka Kwanza vile niliingia hapo na kiburi🥲🤔..nikakumbuka vile niliambia Waitor eti sitaki kusaidiwa😎..nimekuja kukula Kwa pesa zangu....Pia nikakumbuka waitor akiniambia eti Nairobi hakuna vitu za bure🙆🙆nikajua Baasi Leo ni Leo😭😭...Nikiwa bado nawaza vile nitafanya kidogo kidogo waitor akakuja...

Waitor==Bro tusaidie na pesa zako Kwanza plz ndio uendelee kuketi🙄🙄bydha we unakaa Mgeni hii Nairobi..huku customer akishamaliza kukula huwa anajipea shughuli..juu tunaweza subaa hata upotee na bill..

Jamaa sikuongea kitu...nilishindwa cha kusema nikabaki kimia😔..

Waitor==Wewe Bro🙄..nisaidie bill Bana..

Nilishangaa mbona huyu waitor ameona aniitishe Tu Mimi bill na kulikua Tu na macustomer wengi wamemaliza kukula but hawana haraka ya kulipa🤔..au alinishuku sina pesa🤔au Sura yangu inakaa ya mikora🙄😫🤔...Kuangalia pale Kando nikaona kale kadem kananiangalia but nikikaangalia kanajifanya Kako busy Kwa simu😂...nikajua waaa Ile aibu Niko kupata hapa walai sijui🤦..

Nilikosa otherways nikaamua kuambia waitor ukweli..
Me==Walai Bro nimepoteza pesa😔😔...
Waitor==What😳😳?We wacha ufala .(akitoa simu yake Kwa mfuko)
Me==Sure...nilikua na pesa na Hadi sijui zimepotea aje..au sijui niliibiwa..please k**a kuna Kazi mnaweza nipea nifanye then tumalizane plz🙏🙏..
Waitor===Mmmh eti KAZI😏😏..?
Me==Yeah hatak**a ni kuchonga viazi bro🤗🤗..Mimi ni mchongaji viazi mzuri Sasa😊...Kwa familia yetu tuko na kipawa cha kuchonga viazi..kuanzia Tu Kwa babu yangu alikua mchongaji Viazi maarufi ...Babangu pia anajulika k**a shujaa Sana ikifika ni upande WA kuchonga viazi😬😬mamangu na Madada zangu pia wako na.......(akinikatiza)

Waitor==Shut up😡😡Nani amekuuliza hiyo story yote??Hakuna KAZI unapewa hapa..nyinyi wakora wa hii Nairobi Mmezoea kuenda hotel mkikula na mnajua Tu vizuri Hamna pesa😡juu mnajua mtapewa KAZI mfanye..Sisi huwa hatufanyi hivo...wewe nakuitia police😡😎..hiyo Kazi utafanya huko Kwa jela.

18/01/2023

SULTANA WRITTEN UPDATES.
Wednesday on Sultana.

K**a kawaida weka like tukisonga 🤝
Maria atauliza Sultana mbona bado ame tense? Maria ataambia Sultana aongee, wanaweza saidiana. Lakini Sultana atajam na kuambia Maria atoke nje, yeye anataka kupumzika. Wuuwehh. Na Maria hana ubaya hata.
Nyakati za usiku, kaka atafika pale walimuweka Kokan. Amekuja na wheelbarrow lakini ataona wheelbarrow inapiga kelele na inaweza muuza. Kaka ataweka wheelbarrow kando na kujiuliza afanye nini sasa. Itabidi Kaka akojolee mguu wa ile wheelbarrow ndio kelele zipungue. Kisha ataenda kwenye walikua wameeka kokan. Kufika, kokan hayuko. Alaaah. Na ni usiku.
Asya ataambia major kuwa anadhani Babu anaanza kuleta kisirani. Asya atadanganya ati Babu anasema anataka kuambia kila mtu ati major alitaka kumuua kule Baharini. Asya ataambia major pia yasemekana Sada alikua huko. Na hawajui waliongea nini huko. Asya ataambia Major asijali, juu wale watu wawili wakipatana lazima walete vurugu huku. Asya atadai Babu anakaa kuharibu mambo. Major atasema hata heri angesema Babu apelekwe kwa Bahari kubwa kabisa afie huko. Kidogo watasikia Ua Kutoka nje. Major ataambia Asya hataki Ua asik**e akiwa mule ndani.
JJ atakutana na yule Daktari wa Major. JJ amekuja na blood sample na kumpa Daktari.
Fatima naye ameenda kwa room ya Major, akaketi kwa bed, sasa anangoja major. Major ataingia na kuuliza Fatima anafanya nini hapa? Fatima atadai alidhani itabaki hivi kati yao. Major atasema hapana, yeye amechoka na anataka kupumzika. So Fatima anafaa kuuma nje haraka sana 😂 Major hapendi ujinga 😂 Jabali atafungua mlango na kuambia Fatima out. Fatima atajam na kutoka.
Upande mwingine JJ atasema yeye anataka kujua k**a kweli Ua ni mamake au Ua ako sawa akisema kuwa alijifungua mtoto wa k**e. Daktari atadai haya wanayofanya ni kinyume. Kwanza Major akija kujua haya urafiki wao utaisha. JJ atasema hajali. Kwanza JJ anajua Mzee akijua kuhusu Hilo hatajali. JJ anasema sahi baba ana roho ya mnyama. Kwanza alimf

17/01/2023

💥LAND LADY💥....(Part 5)
Jamaa nililala usingizi but sikulala Kwa Amani😂kumbuka kutolala Kwa Amani ni ule usingizi mtu hulala after dakika tano unaamka👀...Nilikua na wasiwasi plus uoga juu imagine hatak**a ni wewe umelala Kwa nyumba unfinished yenye haina Milango wala madirisha utalala Kwa Amani kweli🙄🤔?So me nililala nikishtuka shtuka.👀...

Pia nilikua naumwa umwa na wadudu pale chini😬😣...nilikua nimechoka Sana juu ya kuzura town mchana plus nilitravel usiku so nilijikaza Tu nikavumilia na kulazimisha usingizi huku nikiomba Tu Mungu Asubuhi ifike...na Kwa Bahati Poa nikashikwa na usingizi ule serious Sasa 💤💤...Jamaa nililala Nikashtuka Asubuhi👀😱..I think zilikua around saa Kumi na moja Asubuhi .Niliamka pale chini juu pia nilikua nimelemewa na baridi Sana😩😩..so niliamuka nikachukua hizo nguo nilikua nimetandika nikarudisha Kwa bag then nikaweka pale Kwa corner kisha nikachukua pesa zangu nikaweka Kwa mfuko nikatoka..

Nilienda hiyo Asubuhi Hadi town Kwa hotel Fulani pale nikaamua kukunywa chai Kwanza atlist nitoe kabaridi😩😣...So nikiitisha chai kaamua kuulizia k**a kuna ugali hata yenye ilibaki Jana 😂..
Me==Hello waitor 😚..
Waitor==Yes tukusaidie aje??
Me==eti kusaidia🤔🙄me sihitaji msaada ..nimekuja kukula Kwa pesa zangu🤨..
Waitor==Ok utakula nini bro??
Me==Niletee chai...

Waitor aliniletea chai kisha nikaamua kuniambia polepole watu wasisikie😂""

Me==waitor plz ..naweza pata hata ugali ulibaki Jana mnisaidie nikunywe na hii chai plz...
Waitor==(akishout)ash😂hakuna ugali ulibaki bro..Sisi pia tuko na familia na wanahitaji chakula..so hakuna siku chakula hulala hapa..unless Ile haiwezi haribika na siku moja k**a maandazi..
Me==Sasa mbona unaongea na nguvu na nilikua najoke Tu🙄..hata sikukua serious 😞.

Waitor==pole bro😂..but hii ni Nairobi Bana...hakuna vitu za bure..
Me==(nikaona kadem Fulani pale Kando kameniangalia🙄)Me Niko na pesa bro..nisiombe ugali mudhani sina pesa..juu ya hiyo story Niletee Chapo Tatu Kwa bill yangu😎..

Jamaa n

Address

Mlimani
Moi's Bridge
358

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Rambow posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Rambow:

Share