22/12/2023
πππππππ: πππππ ππππ πππ
Follow Jonathan Peter
Weka LIKE ukiendelea kusoma.
ππππ π THE WAR IN CASTLE
Tuko kwa marehemu Martha nyumbani,tunangoa Trisha akuje lakini sasa,eeh! Junior alitarajia Trisha mwenye alimuona kwa Shantell akuje lakini Trisha mwenye amekuja,cheki figure,wah! Cheki muenendo,aiiii, cheki kifua,hadi Junior mwenye alikua amekaa,aliamka akasimama yani hii mali yote niliacha? Ona Becky kawivu na mbao zakeππππYani Trisha ametokelezea,design ingine mwenda,hadi kila mtu akazubaa,si Junior, si lawyer na hata mimi Nandwa Isaac nilizubaa hadi ikabidi nimetoka nje kiasi nikuje hapa kwa gate ju nasikia kuna mtu amebisha.
Huku kwa gate nakwo, wakuu wameingia, wakiongozwa na nani? Lexy 'Katana' Jabulani,kisha kando yake ni uncle yake Moses Jabuani,akiwemo mamake mzazi Imelia Jabulani bila kusahau man of the hour,Tito Nandwa aah sorry Tito hata hananga jina lingineπππImelia wakati gate ilifunguliwa alistaajabu ju its been 23yrs tangu aone kasri lake,jumba la kifahari lenye alifukuzwa hakuamini analiona tena hadi Lexy wakaingia yeye akabaki hapo nje akistaajabu tu.
Haya turudi kwa mansion sasa,Trisha anaambia lawyer please mniharakishie I have a flight to catch,niende vacation ndio nirudi kukaa kwa hii nyumba yenye itakua yangu. Papers za divorce zililetwa waweke sahihi na hata Becky yuko hapo kushuhudia kila kitu. Trisha hata hakusoma aliweka tu sahihi na Becky amefurahi sana hatimaye bwana atakua wake peke yake k**a Shantell hatamfanyia ile kituπππ. Junior pia akachukua karatasi ndio aweke sahihi lakini punde si punde, Lexy akafika. kwanza ni Becky alimuona wa kwanza,wacha sasa Junior aangalia aone apart from Lexy ni Imelia na anamjua vizuri sana,mikono ziliganda akashindwa hadi kuweka sahihi hadi akamuita kwa jina "Imelia".
Becky alishindwa huyu ni nani anashtua Junior hivi akamuuliza "Jay,huyu ni nani", Lexy akaambia Junior, finally madhe mwenye wewe na mamako mliharibia life ju ya tamaa ndio huyu. Becky aliuliza Lexy