11/05/2026
Huyu Anaitwa Wanjohi,he is top social media influencer in mt Kenya,he Suports Gachagua,
This story will make you sad!
Ile s**i ya Nominations za UDA Olkalao,
Huyu jamaa alikua abducted by police infront of Moses Kuria,
Alipelekwa hadi kwa women Rep wa Muranga ambae ni Rafiki mkubwa wa Ruto!
just imagine women rep alimvua nguo zote akabaki uchi wa mnyama,
aka anza kumcharaza mijeledi akiwa uchi!
Huyo women rep hakumalizia hapo,alianza kumfinya sehemu zake za Uzazi ambazo kwa kimombo zinaitwa balls!
Baadae alichukua Kisu na aka myoa Nywele zake!
Waah huyo mwanamke Ni mnyama!