Taste of Luxury

Taste of Luxury This is whare you can find a taste of luxury

26/01/2024

SOMO: *HAKIKA UTASEMA KUNA KUINUKA TENA, KWASABABU YUPO MUNGU AKUINUAYE.*🙏Roho wa Mungu tunakushukuru kwa kuendelea kuon...
17/01/2024

SOMO: *HAKIKA UTASEMA KUNA KUINUKA TENA, KWASABABU YUPO MUNGU AKUINUAYE.*

🙏Roho wa Mungu tunakushukuru kwa kuendelea kuongea na sisi,ni Neema ya ajabu kujua yakwamba upo pamoja nasi mpaka ukamilifu wote,tunaomba utusaidie kulielewa Neno lako na hili Neno likatuvushe Imani hata Imani,utukufu hadi utukufu katika Jina kuu la Yesu Kristo. amen

Ayubu 22:29,30
Imeandikwa
*HAPO WATAKAPO KUANGUSHA, UTASEMA,KUNA KUINUKA TENA;*
*NAYE MNYENYEKEVU MUNGU ATAMUOKOA...NAAM UTAKOLEWA KWASABABU YA USAFI WA MIKONO YAKO*
=maadamu upo Duniani na unaishi lazima ujue wapo wanaosubiri uanguke na watafurahia kuanguka kwako;hata ukiishi k**a mtakatifu au kwa kujitenga kiasi gani watu hawa hawatakosekana kwenye maisha, hata ukiwa mbali nao watakuwazia mawazo ya kukuangusha,watanena maneno ya kukuangusha,na watakaa vikao vya kukuangusha wakisema tuone k**a atafika mbali...nk. kwahiyo uwatarajie wapo.

njema ni kwamba ikiwa tumaini lako nikwa MUNGU ALIYE HAI basi ujue HUTAANGUKA NA HATA UKIANGUKA HUWEZI KUBAKI CHINI,HAKIKA KUNA KUINUKA TENA..Neno la Mungu linatuambua *👆NAYE MNYENYEKEVU MUNGU ATAMUOKOA*
👂👂Lazima tujue kanuni mojawapo ndani ya Ufalme wa Mungu ni haijalishi unapita wapi,iwe ni kwenye shida au iwe ni kwenye raha endelea kunyenyekea chini ya mkono wa Mungu na usitoke kwenye mstari wa kumtii Mungu, na usitoke kwenye mstari wa kutafuta kumpendeza Mungu..
*👆UTAOKOLEWA KWA USAFI WA MIKONO YAKO*

1Petro5:6-7
Imeandikwa
*BASI NYENYEKEENI CHINI YA MKONO WA MUNGU ULIO HODARI, ILI AWAKWEZE KWA WAKATI WAKE.*
*7 HUKU MKITWIKA YEYE FADHAA ZENU ZOTE,KWA MAANA YEYE HUJISHUGHULISHA SANA KWA MAMBO YENU*
👆yupo Mungu awezaye kukuinua,yupo Mungu anayejishughurisha sana na fadhaa zako *zote unazompelekea* tena anashughurika nazo bila kukuchoka,binadamu wanaweza kukuchoka kwa mizigo yako unayowapelekea lakini Mungu peke yake ndio hawezi kukuchoka *👆anajishughurisha sana na mambo yako yote.*

Mithali 24:15,16
Imeandikwa
*EWE MTU MBAYA,USIYAVIZIE MAKAO YAKE MWENYE HAKI; WALA USIPAHARIBU MAHALI PAKE PA KUPUMZIKA 👂KWA MAANA MWENYE HAKI HUANGUKA MARA SABA AKAONDOKA TENA*
=Mungu anatoa ujumbe kwa wabaya wako hawatakiwi kufurahia saana maanguko yako kwasbabu MWENYE HAKI WA MUNGU HATA A

11/01/2024

KWANINI UNATAKIWA KUAMKA KATI YA MIDA YA SAA 6 USIKU NA SAA 11 ILI UWOMBE KWA JINA LA YESU.

📢 RATIBA YA KUSOMA NENO(BIBLIA)(Jesus is the Way Ministry)TUNAKUKARIBISHA *KUUNGANA NA SISI KATIKA KUSOMA BIBLIA;*👂MTHAM...
09/01/2024

📢 RATIBA YA KUSOMA NENO(BIBLIA)
(Jesus is the Way Ministry)

TUNAKUKARIBISHA *KUUNGANA NA SISI KATIKA KUSOMA BIBLIA;*
👂MTHAMINI MUNGU BABA ALIYEKUUMBA KWA KUMPANGA KWENYE RATIBA YAKO,USIPENDE KUMUWEKA K**A DHARURA..

*💡UTARATIBU TUNAOENDA NAO KILA SIKU SURA 4
(zile sura fupi tutakuwa tunasoma zaidi)
*💧TUMESHAANZA SASA TUPO: 1PETRO SURA YA 1-5
(Unaweza ukazigawa asubuhi kurasa mbili, usiku mbili)

*-Tufundishe*
*-Uliza Maswali( hata sura zilizopita)*
💡Kabla haujaanza kusoma -NYUNYIZA DAMU YA YESU YA AGANO JIPYA kwenye BIBLIA YAKO na kwenye FIKRA na AKILI ZAKO; ili upate kuona na kusikia Mungu alichokikusudia.
💧-JIKABIDHI KWENYE MIKONO YA ROHO WA MUNGU ALIYE MWALIMU NA MSAIDIZI WETU,
-MUOMBE ROHO MTAKATIFU AKUFUNDISHE; NA KUBALI KUWA MWANAFUNZI WAKE.

🙏Mungu akubariki wewe tunayeungana pamoja,
*hakika MUDA WAKO SI BURE MBELE ZA BWANA;*
*👂hata wewe ambaye haujaanza bado haujachelewa kuanza* kwasababu *"NENO LA MUNGU LINADUMU MILELE"* na Neema ya Mungu imekufikia leo.
*KUMBUKA SISI TUNATIMIZA KILE MUNGU ALICHOTUTUMA KUKWAMBIA LAKINI MUAMUZI NI WEWE.*

🙏Tunakuombea kwa Jina kuu la Bwana Yesu pokea Neema ya kuwa na kiu ya kuijua KWELI YA NENO LA MUNGU, ili KWELI ikuweke HURU na ili UISHI maisha ya USHINDI na KUTOYUMBISHWA HASA KATIKA NYAKATI HIZI TUNAZOISHI ZA SIKU ZA MWISHO.

👂Tukumbuke Mungu Baba anatutarajia *k**a tunavyoulisha na kuuthamini mwili wa nje(mtu wa nje)ambao utarudi tu kwenye mavumbi; anatutarajia zaidi sana tulishe ROHO ZETU na NAFSI ZETU zenye thamani zaidi na umilele(mtu wa ndani).*

Uongozi,
Jesus is the Way Ministry.

05/01/2024

BATA LA MBUDYA

Taste of Luxury
08/12/2023

Taste of Luxury

   congratulation bro
07/12/2023

congratulation bro

Address

711 Kawe
Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Taste of Luxury posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Taste of Luxury:

Share