16/12/2022
TANGAZO MUHIMU!!!!
Katika kuelekea msimu wa kufunga mwaka 2022
Tunakuletea fursa ya kumiliki Mashamba Pingo-Chalinze kwa Tsh 1,500,000/= tu kwa heka.
Kufika kwenye Mashamba ni kilomita mbili na nusu kutoka barabara kuu ya Morogoro.
✅Zaidi ya heka 20.
✅Huduma za kijamii zinapatikana.
✅Panafikika.
✅Makazi ya watu
✅Yanafaa kwa kilimo Cha baadhi ya mazao.
✅ Yanafaa kufanywa makazi ni tambarare
✅Kufanya uwekezaji mkubwa
✅Mauziano ya wazi chini ya serikali ya mtaa.
*KWENDA KUONA NI JUMAMOSI*
Usichelewe karibu umiliki ardhi,chalinze kwasasa pamefunguka sana