Bidhaa Bei Poa - Nunua na Uza Kwetu

Bidhaa Bei Poa - Nunua na Uza Kwetu Je una biashara au mali yako binafsi na unatafuta mtu wa kumuuzia ila haujui tu ni jinsi gani utaweza kufanya kazi ya kuwafikia watu wengi kwa muda mfupi?

Tangazo hili ni kwa ajili yako. Kwa kutumia kurasa zetu za mitandao ya kijamii, unapata nafasi kubwa

Ungana na watu wengine katika kujifunza biashara hii.
28/01/2020

Ungana na watu wengine katika kujifunza biashara hii.

Jifunze Forex Trading Tutorials Katika video ninakutambulisha katika kuijua maana ya neno FOREX ili uweze kuwa pamoja nami katika video zinazofuata. FOREX si...

Piga namba hii 0692569230 ili uweze kupata taarifa na kuagiza mzigo unaotaka utumiwe. Muuzaji anaitwa Vestina Venace.
02/12/2019

Piga namba hii 0692569230 ili uweze kupata taarifa na kuagiza mzigo unaotaka utumiwe. Muuzaji anaitwa Vestina Venace.

Mkoba ni kitu cha muhimu sana kwa mwanamke. Ndiyo maana siku ya leo nakuletea bidhaa hii yenye kupendeza. Namba ya mawas...
02/12/2019

Mkoba ni kitu cha muhimu sana kwa mwanamke. Ndiyo maana siku ya leo nakuletea bidhaa hii yenye kupendeza. Namba ya mawasiliano ni 0692569230. Piga au tuma ujumbe whatsapp ili uweze kuagiza na kupata taarifa zaidi kuhusu bidhaa hizi. Muuzaji anaitwa Vestina Venace.

02/12/2019

Ahsanteni sana kwa kuwa pamoja nami mpaka sasa. Tumefikia likes 1000 nami naomba tuendelee kuwa pamoja katika mambo yote daima.

26/11/2019

Ninawashukuru watu wote kwa kuungana pamoja nami mpaka kufikia likes 800 katika ukurasa huu. Tuendelee kuwa pamoja daima.

Je unahitaji mafuta halisia yenye uwezo wa kuondoa chunusi na makunyazi ya Ngozi. Mafuta ya NURU HALISI  yametengezwa kw...
26/11/2019

Je unahitaji mafuta halisia yenye uwezo wa kuondoa chunusi na makunyazi ya Ngozi. Mafuta ya NURU HALISI yametengezwa kwa Asali, N**i na Ukwaju paipo mchanganyiko wa kemikali zanye madhara mabaya kwa watu. Tumia namba hii 0765020346 kwa mawasiliano ya whatsapp kupata taarifa zaidi na kuagiza mzigo wako kwa ajili ya matumizi yako.

Je, wewe unatumia mbinu kuboresha mawasiliano yako na wateja wako??
25/11/2019

Je, wewe unatumia mbinu kuboresha mawasiliano yako na wateja wako??

Angalia nakala hii katika ukurasa wetu wa Twitter...
24/11/2019

Angalia nakala hii katika ukurasa wetu wa Twitter...

“Kuanza biashara katika nyanja za mitandao ya Intaneti vipo vitu 5 ambavyo ni muhimu sana uvijue katika utendaji wa biashara za mitndao; 1: Umuhimu wa Matangazo 2: Ukaribu wa Wateja 3:Matokeo na Mategemeo 4: Mafanikio na Hasara 5: Gharama za Utendaji”

Wasiliana nami kwa ajili ya huduma hii...
24/11/2019

Wasiliana nami kwa ajili ya huduma hii...

Je unajua kuwa marafiki wako wa Facebook na Instagram ndio wateja wako wa Kwanza? Nipe jibu k**a umewahi kuwaza jambo hi...
24/11/2019

Je unajua kuwa marafiki wako wa Facebook na Instagram ndio wateja wako wa Kwanza? Nipe jibu k**a umewahi kuwaza jambo hili; au unajua jinsi ya kuwatangazia marafiki zako biashara zako???

FAIDA 5 ZA MITANDAO KATIKA BIASHARA YAKO:Yawezekana tayari unazijua au bado hauzijui ila hizi ndizo faida 5 za kutumia m...
24/11/2019

FAIDA 5 ZA MITANDAO KATIKA BIASHARA YAKO:

Yawezekana tayari unazijua au bado hauzijui ila hizi ndizo faida 5 za kutumia mitandao ya kijamii k**a vile Facebook na Instagram ili uweze kukuza Biashara yako;

1: Ni njia isiyo na gharama kubwa kuwafikia watu wengi
2: Kukuza jina la biashara yako kwa kuwafikia watu wengi na taarifa za biashara yako.
3: Gharama ni ndogo ukilinganiasha na matangazo ya TV na Redio
4: Tangazo linadumu muda mrefu hewani na kuonekana kwa watu wengi sana.
5: Ni njia ya kufanya biashara ndogo ionekana kubwa na yenye maana sana kwa watu wengi.

AHSANTE SANA KWA KUSOMA, LIKE NA SHARE ILI IWAFIKIE WATU WENGINE.

24/11/2019

Ahsanteni sana kwa kuwa pamoja nami mpaka kufikia likes 700. Endeleeni kuniunga mkono

Address

Temeke
Dar Es Salaam

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00
Saturday 09:00 - 17:00

Telephone

+255621313664

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Bidhaa Bei Poa - Nunua na Uza Kwetu posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Bidhaa Bei Poa - Nunua na Uza Kwetu:

Share