Gotoa page

Gotoa page Ukurasa huu ni jukwaa la habari za kitaifa na kimataifa sanjari na burudanie,uelimishaji na matangazo

Halmashauri ya Wilaya ya Chalinze imefanikiwa kufikia asilimia 64.88 ya lengo la ukusanyaji wa mapato ya ndani kwa mwaka...
20/02/2026

Halmashauri ya Wilaya ya Chalinze imefanikiwa kufikia asilimia 64.88 ya lengo la ukusanyaji wa mapato ya ndani kwa mwaka wa fedha 2025/26 hadi kufikia Desemba 2025.

Akizungumza wakati wa kuwasilisha makisio ya mpango na bajeti ya mwaka wa fedha 2026/27 katika kikao cha Kamati ya Ushauri ya Wilaya, Afisa Mipango wa halmashauri hiyo, Ndugu Bilali, amesema Halmashauri iliidhinishiwa kukusanya jumla ya shilingi 22,243,578,000 kutoka katika vyanzo vya mapato ya ndani.

Aidha Bilali amesema kuwa hadi kufikia Desemba 2025, Halmashauri ilikuwa imekusanya shilingi 14,432,648,867.45, sawa na asilimia 64.88 ya lengo la mwaka.

Kwa mujibu wa Afisa Mipango amesema miongoni mwa vyanzo vya mapato vilivyochangia mafanikio hayo ni kodi ya ukumbi, ushuru wa mawe, kokoto, mchanga na kifusi, ada za maegesho ya malori, adhabu na tozo mbalimbali, vibali vya ngoma na sherehe, pamoja na matangazo ya redio.

Vile vile amebainisha kuwa Halmashauri inaendelea kuimarisha mikakati ya ukusanyaji wa mapato ili kuhakikisha lengo lililobaki linafikiwa kabla ya mwisho wa mwaka wa fedha.

Kikao hicho kimefanyika katika ukumbi wa mikutano uliopo katika ofisi za Halmashauri ya Wilaya ya Chalinze na kilihudhuriwa na wadau kutoka taasisi mbalimbali za umma na binafsi

PPRA Yatoa Mafunzo ya Ununuzi kwa Watumishi wa Afya ChalinzeMamlaka ya Udhibiti wa Ununuzi  wa Umma Tanzania (PPRA) kwa ...
07/05/2025

PPRA Yatoa Mafunzo ya Ununuzi kwa Watumishi wa Afya Chalinze

Mamlaka ya Udhibiti wa Ununuzi wa Umma Tanzania (PPRA) kwa kushirikiana na Kitengo cha Manunuzi katika Halmashauri ya Wilaya ya Chalinze imetoa mafunzo ya namna ya kufuata taratibu za ununuzi wa umma kwa watumishi wa sekta ya afya ngazi ya chini. Mafunzo hayo yamelenga kuwajengea uwezo watumishi hao katika kusimamia manunuzi kwa kuzingatia sheria, taratibu na kanuni zinazotawala ununuzi wa umma nchini.

Mafunzo haya yamewaleta pamoja watumishi wa sekta ya afya kutoka vituo mbalimbali vya huduma ya afya ndani ya halmashauri hiyo, ambapo wamepatiwa elimu kuhusu majukumu yao katika mchakato wa ununuzi na namna bora ya kushirikiana na afisa manunuzi katika taasisi zao.Washiriki walifahamishwa pia juu ya nafasi ya PPRA k**a msimamizi wa shughuli za ununuzi nchini.

Mwezeshaji wa mafunzo hayo, Bi. Veronica Fute, alieleza kwa kina wajibu wa mtunza stoo katika taasisi, ikiwemo kutunza kumbukumbu sahihi za vifaa, kufanya uhakiki wa vifaa vilivyopo, na kuhakikisha vifaa vinavyohitajika vinaagizwa kwa wakati ili kuimarisha utoaji wa huduma. Alisisitiza umuhimu wa kuweka mipango mizuri ya manunuzi kulingana na mahitaji halisi ya huduma.

Bi. Fute pia alizungumzia majukumu ya idara tumizi katika mchakato wa ununuzi wa umma, akibainisha kuwa idara hizo ndizo zinazotambua mahitaji halisi ya vifaa na huduma. Hivyo, ni muhimu kwa idara hizo kushirikiana kwa karibu na maafisa manunuzi ili kuhakikisha vifaa vinavyoagizwa vinakidhi malengo ya taasisi.

Katika mafunzo hayo, washiriki walihimizwa kuzingatia maadili ya kazi kwa kuwa waaminifu, waadilifu na kuepuka mianya ya rushwa katika mchakato wa ununuzi wa umma. Bi. Fute alisisitiza kuwa ufanisi wa manunuzi unategemea kwa kiasi kikubwa uzingatiaji wa sheria na taratibu zilizowekwa na mamlaka husika.

Kwa ujumla, mafunzo haya yamelenga kuimarisha utendaji kazi wa watumishi wa afya katika Halmashauri ya Wilaya ya Chalinze kwa kuhakikisha kuwa shughuli za ununuzi zinafanyika kwa uwazi, ufanisi na kwa kuzingatia matumizi bora ya fedha za umma.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na baadhi ya Marais ...
28/01/2025

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na baadhi ya Marais wa Nchi za Afrika, Wakuu wa Taasisi mbalimbali duniani kabla ya kuanza kwa Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika kuhusu Masuala ya Nishati katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNICC) tarehe 28 Januari, 2025.

11/09/2024

Matthew 25:34-40
34 “Then the King will say to those at his right hand, ‘Come, you blessed✭ of my Father, inherit✭ the kingdom prepared for you from the foundation of the world. 35 ✭For I was hungry, and you gave me food. I was thirsty, and you gave me something to drink. I was a stranger, and you took me in. 36 I was naked, and you clothed me. I was sick, and you visited me. I was in prison, and you came to me.’
37 “Then the righteous✭ will answer him, saying, ‘Lord, when did we see you hungry and fed you? Or thirsty, and gave you something to drink? 38 When did we see you as a stranger, and took you in? Or naked, and clothed you? 39 Or when did we see you sick, or in prison, and came to you?’
40 ✭“And the King will answer and say to them, ‘Truly I say to you, anything you did for one of the least of these my brethren, you did for me.’

Shiriki UCHAGUZI wa serikali za Mitaa 27/11/2024
31/08/2024

Shiriki UCHAGUZI wa serikali za Mitaa 27/11/2024

30/08/2024

Ramadhani Mkufya Re-elected as Vice Chairman of Chalinze District Council
By John Mlyambate

Ramadhani Mkufya has been re-elected as the Vice Chairman of the Chalinze District Council for the upcoming year, following the completion of his first term. The election took place during a Council meeting, where Mkufya received unanimous support with all 17 councilors casting their votes in his favor.

During the same session, committee chairpersons were also elected. Musa Gama retained his position as the Chairman of the Economic Committee, Leon Lucas was elected Chairman of the Social Services Committee, and Mwanakesi Madega was chosen as the Chairperson of the Ethics Committee.

In his remarks following the election, Vice Chairman Mkufya expressed his gratitude to the councilors for their continued trust in him. He pledged to maintain the strong cooperation between the councilors and government leaders to achieve development goals. Mkufya emphasized his commitment to ensuring that internal revenue targets are met through collaboration with councilors and executives, so that these funds can be used to implement development projects and remove obstacles faced by the citizens.

27/08/2024

TANZANIA POLITICAL STABILITY
Tanzania has generally been recognized for its political stability, particularly in comparison to some of its neighbors in the East African region. The country has enjoyed relative peace since its independence in 1961, with a history of avoiding large-scale conflict and maintaining a stable government.

Key Factors of Tanzania's Political Stability:

Peaceful Transitions of Power: Tanzania has had peaceful transitions of power between different presidents and ruling parties since its independence. The most recent transition occurred in 2021, when President Samia Suluhu Hassan took office following the death of President John Magufuli. Her administration has been marked by efforts to open up political space, including lifting bans on political rallies and making some reforms to improve the rule of law and human rights.

Single-Party Dominance: Tanzania's stability has been partly attributed to the long-standing dominance of the ruling party, Chama Cha Mapinduzi (CCM). CCM has governed the country since its formation in 1977 and has maintained control over the political landscape. This has contributed to a stable government but also led to criticisms about limited political pluralism.

Economic Growth and Development: Tanzania's economy has shown consistent growth over the years, which has contributed to political stability by improving living standards and reducing poverty. However, challenges such as unemployment, income inequality, and corruption persist, and these could potentially affect future stability if not addressed.

Challenges and Concerns: Despite this stability, there are ongoing concerns. The government's crackdown on opposition parties, journalists, and civil society activists during the Magufuli era raised significant alarm. Although there have been improvements under President Hassan, the political environment remains constrained, with limited freedom of expression and assembly. Additionally, tensions around land rights, particularly involving indigenous communities, and the impact of large-scale development projects continue to pose risks to stability.

In summary, while Tanzania is considered politically stable, maintaining this stability will require addressing ongoing political, social, and economic challenges, ensuring greater inclusivity, and protecting the rights of all citizens​(
Human Rights Watch
,
Amnesty International
).

Gotoa Press inakupongeza kwa kuaminiwa na kuchaguliwa kuwa Rais wa TLS
04/08/2024

Gotoa Press inakupongeza kwa kuaminiwa na kuchaguliwa kuwa Rais wa TLS

03/08/2024

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan akiendelea na ziara yake mkoani Morogoro kwa kuzindua miradi mbalimbali ya maendeleo na kusalimiana na wananchi kupitia mikutano ya hadhara.

Baadhi ya waambata na wahitimu wakiwa wamesimama wakati wa kuimba wimbo wa Taifa
27/07/2024

Baadhi ya waambata na wahitimu wakiwa wamesimama wakati wa kuimba wimbo wa Taifa

Address

Mawasiliano
Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Gotoa page posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Gotoa page:

Share