Wachumba.com

Wachumba.com Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Wachumba.com, Public relations agency, mbezi Beach, Dar es Salaam.
(1)

WANAUME MNA KUBALIANA NAYE.Mwanadada Zuu amesema hakuna mwanaume ambaye anaweza pata nguvu ya kwenda Kuandamana na kumua...
09/12/2025

WANAUME MNA KUBALIANA NAYE.

Mwanadada Zuu amesema hakuna mwanaume ambaye anaweza pata nguvu ya kwenda Kuandamana na kumuacha kitandani peke yake, amesema mwanaume huyo hayupo labda awe ni Anko T.

Vipi Kuna ukweli hapo au kujisifia tu?

Mimi ni mama wa mtoto mmoja, nilikua naishi kwa dada yangui nikaanzisha mahusiano na shemeji yangu, ananipenda na mimi n...
21/08/2025

Mimi ni mama wa mtoto mmoja, nilikua naishi kwa dada yangui nikaanzisha mahusiano na shemeji yangu, ananipenda na mimi nampenda. Baada ya dada yangu kujua shemeji aliondoka na tukaanza kuishi pamoja, dada alienda mahak**ani kudai talaka. Wamesumbuana mahak**ani mpaka talaka imepatikana, shida kaka inakuja katika mali za Shemeji ambazo ni yeye alichuma kwani Dada hakua na kazi.

Baada ya kupeana talaka mwaka jana mali zilikua na majina ya watoto kwahiyo hawakugawana. Waliambiwa wabaki kuzisimamia mpaka watoto waatakapofikisha miaka 18 na ambaye alitakiwa kusimamia ni mume wangu. Mwaka huu ndiyo mtoto wake mkubwa kafikisha miaka 18, nyumba hii tunayoishi ina jina lake na hiyo nyingine ambayo anaishi Dada yangu ina jina lake pia na majina ya wadogo zake wawili.

Sasa shida inakuja tu baada ya kufikisha miaka 18 anataka tuondoke kwenye hii nyumba kwani ni nyumba yake, yaani ndiyo kafikisha juzi tarehe 4 anataka kutufukuza. Mimi najua ni wivu wa Dada ndiyo unamsumbua kwakua yehe hapendwi, lakini shida inakuja kuwa huyu mtoto alipokuja kudai alimtukana sana Baba yake, mume wangu ana presha hivyo alipotukanwa ilipanda na kapata kitu k**a strock kalazwa hospitalini.

Nashindwa kuelewa dada kaja na mtoto wake wakati mume wangu yuko hospitalini katoa vitu vyetu kaweka wapangaji, mimi sina kazi, nasina pakwenda, nahofia kumuambia mume wangu kuwa tushafukuzwa kwani hali yake si nzuri naomba suahuri wako kwani kitu pekee chenye jina lake ni kiwanja tu ana kazi sawa lakini nahofia tutaishi wapi kwani nyumba ndiyo tushafukuzwa naomba ushauri kisheria hapa inakuaje?. https://youtu.be/lzMJsBYu1d0?si=tQ1L0Nan2KzMzHlF

Napenda mpira zaidi
27/06/2025

Napenda mpira zaidi

Ningekuwa kinywaji ningekuwa kinywaji gani?
27/06/2025

Ningekuwa kinywaji ningekuwa kinywaji gani?

Address

Mbezi Beach
Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Wachumba.com posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Wachumba.com:

Share