Yushanmasterclass

Yushanmasterclass we are helping small businesses and small entrepreneurs like you how to get more customers online an

25/08/2026

Kuwa na majukumu mengi hakumaanishi huwezi kujenga kitu chako. ❤️

K**a unatamani kujifunza namna ya kutumia smartphone + social media kujenga biashara na kutafuta wateja, nimekuandalia mfumo wa kukusaidia kuanzia hatua za msingi.

Hii sio ahadi ya utajiri wa haraka.

Ni mfumo + maarifa + utekelezaji.

Utajifunza namna ya: ✅ Kutengeneza fursa kupitia social media
✅ Kuwafikia potential customers
✅ Kujifunza kuuza bila kutegemea duka la kawaida
✅ Kujenga biashara hatua kwa hatua

Matokeo yanaweza kutofautiana kulingana na bidii, skill, biashara na utekelezaji wako.

Uko tayari kujifunza?

Bofya kitufe cha whatsapp hapo chini kuwasiliana nasi au

👉 Tuma neno “MFUMO” kwa whatsapp kwa 0794895054...

🚨 Unatamani kuanza biashara lakini hujui biashara gani ufanye?Kila siku unaona watu wakipata mafanikio mtandaoni...Lakin...
25/07/2026

🚨 Unatamani kuanza biashara lakini hujui biashara gani ufanye?

Kila siku unaona watu wakipata mafanikio mtandaoni...

Lakini wewe bado unajiuliza:

"Nianzie wapi?"

"Ni biashara gani itanipa faida?"

"Nitapataje wateja?"

Ukweli ni kwamba watu wengi hawaanzishi biashara sio kwa sababu hawana uwezo...

Bali kwa sababu hawana mfumo unaowaonyesha hatua za kufuata.

Ndiyo maana utaona shuhuda niliyoambatanisha.

Huyu ni mmoja wa wanafunzi wetu ambaye aliamua kujifunza mfumo sahihi wa kujenga biashara ya Network Marketing, na leo anaendelea kupata matokeo yanayobadilisha kipato chake.

🔥 Kupitia NMU'PRO VOL 2, hutafundishwa tu kuuza bidhaa.

Utafundishwa jinsi ya kujenga biashara inayokuletea kipato kwa kutumia mfumo unaofanya kazi.

Ndani ya programu hii utajifunza jinsi ya:

✅ Kuchagua na kuanzisha biashara ya Network Marketing kwa usahihi.
✅ Kupata wateja wanaonunua badala ya kutumia muda kuwafuatilia wasiokuwa serious.
✅ Kutumia AI na mitandao ya kijamii kupata wateja kila wiki.
✅ Kujenga timu yenye watu wanaotaka kufanya biashara kwa umakini.
✅ Kuongeza kipato chako hatua kwa hatua na kujenga biashara ya muda mrefu.
✅ Kujenga brand itakayokutofautisha na wengine.

Fikiria miezi michache ijayo...

✔️ Una chanzo cha kipato kinachokua kila mwezi.
✔️ Unajua namna ya kupata wateja bila kubahatisha.
✔️ Una timu inayokua.
✔️ Una biashara inayokupa uhuru wa kifedha na muda.

💥 Gharama halisi ya programu ni TZS 490,000.

Lakini kwa kipindi hiki maalum unaweza kujiunga kwa TZS 290,000 tu.

Unaokoa TZS 200,000.

⚠️ Nafasi za ofa hii ni chache. Ikijaa au muda ukiisha, gharama itarudi kuwa TZS 490,000.

Usiendelee kuahirisha ndoto yako ya kuwa mfanyabiashara kwa sababu hujui pa kuanzia.

Huenda ushuhuda unaouona leo ukawa wako miezi michache ijayo.

📩 Comment neno "BIASHARA" au tuma neno BIASHARA WhatsApp 0619565546 ili upate maelezo ya jinsi ya kuanza.

Address

Dar Es Salaam
20005

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00
Saturday 09:00 - 17:00

Telephone

+255673150026

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Yushanmasterclass posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Yushanmasterclass:

Shortcuts

Share