12/07/2022
KUHUSU MIKOPO YA ELIMU YA JUU NCHINI TANZANIA
1. Dirilisha na mikopo kufunguliwa kabla ya tarehe 15 julai, 2022
2. Mwongozo wa utoaji Mikopo wa mwaka 2022/2022 utapatikana kuanzia tarehe 15 julai, 2022.
3. *Wanafunzi waliomaliza Diploma na waliomaliza kidato cha sita na wale waliokosa mwaka jana na wanaona wana sifa* waanze kuhakiki vyeti vyao kwenye mamlaka husika.
Mfano wa vyeti vya kuhakiki ni
A. Wale waliofadhiliwa na mtu binafsi, Taasisi za umma, mashirina ya Dini na ufadhili wowote WAAMBATANISHE Barua ya ufadhili wao na zisaniwe na mamlaka husika.
B. Cheti Cha kuzaliwa, kinahakikiwa na RITA
C. Cheti Cha ulemavu wa mwanafunzi au wa mzazi kwa DMO au RMO
D. Cheti Cha kifo cha Baba au mama....RITA wanahakiki.
AIDHA, tunawaomba wanafunzi kuanza kuhakiki vyeti vyao vyoote watakavyoambatanisha katika mamlaka husika na baada ya Dirisha kufunguliwa kila mwanafunzi aweze kuomba Mkopo kwa muda sahihi.
ATER ENTERPRISE
0679926045
https://wa.me/message/HCD7Z2GEA6BQB1