Agroexchange e-magazine

Agroexchange e-magazine Enterprise Software Solutions Company. Thereafter small scale producers and agribusiness functions have been suffering. Conducting Market research.

The Objective...

Agro exchange e-magazine is the first Tanzanian syndicated marketing advertising digital magazine for small,medium and large scale industries and agribusiness products. With ineffective and high advertising cost leads to the limited purchasing decisions to customer who is willing to purchase small scale businesses, limited market base and lack digital market effect. Working with

agro exchange e-magazine marketing advertising activities will allow the small scale producers and agribusiness men to focus on the core aspects of their business for ultimate diversified and sustained market base. Lastly increase and accelerate economic activities in the country. The Goals...

Our primary goal is to provide marketing advertising services for small scale industries and agribusiness advertisers those who now finding difficult to introduce and marketing their products in local and foreign market and ultimately taking over the vast growing agro sector opportunities in Tanzania. Our secondary goal is to provide marketing advertising services for all stakeholders involve in value addition to agriculture and small scale industries such as Government institutions, Producers ( farmers, co-operatives and suppliers ),Agricultural extension officers/Advisors, Transport and Logistics companies, Banks,MFI’s and Utility companies and Mobile and Fixed Network operators in a cost effective manner. The goals of Agro exchange e-magazine to:

Raise brand awareness and generate leads

Increase local and international sales

Provide with professional marketing advertising services. Provide these services at a lower cost than possible if done by in-house staff. Guarantee real-time small scale industries and agribusinesses marketing information. The Solution...

Agro exchange e-magazine specializes in full marketing advertising services for small scale industries and agribusiness products. We will provide marketing advertising services to include:

Increases overall effectiveness of marketing campaigns by combining data with an integrated marketing strategy. Creating sustainable marketing channels that are more thoroughly integrated includes direct mail and social media. Branding of products. Building a strong networking structure for both local and international markets. Linkage between the large and small medium enterprises. Linkage small scale industries and agribusinesses with the other integrated sectors. Prospect Tracking and Reporting.

Like | Comment | ShareSource:www.agroexchange.co
19/12/2016

Like | Comment | Share
Source:www.agroexchange.co

Like | Comment |Share
14/12/2016

Like | Comment |Share

This is to all Muslim Communities around the World.
11/12/2016

This is to all Muslim Communities around the World.

"Happy Uhuru Day Tanzanians"
08/12/2016

"Happy Uhuru Day Tanzanians"

SEHEMU YA PILI.UWEPO WA HEKTA MILIONI 29.4 ZA UMWAGILIAJI UNATOA FURSA KWA MAENDELEO YA KILIMO HAI.Asasi iliyoundwa kwa ...
05/12/2016

SEHEMU YA PILI.

UWEPO WA HEKTA MILIONI 29.4 ZA UMWAGILIAJI UNATOA FURSA KWA MAENDELEO YA KILIMO HAI.

Asasi iliyoundwa kwa ajili ya kuendeleza harakati za kilimo hai (organic farming) nchini ya Tanzania Organic Agriculture Movedment (TOAM) ilifanya warsha ya siku moja kuhusu uendelezaji wa kilimo hicho kwenye ukumbi wa Hoteli ya Lamada mjini Dar es Salaam , kilichojiri.
MIONGONI mwa yaliyojitokeza katika warsha hiyo ni ukweli kwamba Tanzania k**a itacheza karata zake vizuri, inaweza kuvuna pesa nyingi za kigeni kutoka Ulaya, Marekani na Japan kutokana na bidhaa zake za kilimo hai kuwa na soko kubwa huko.
Watu wengi huko wanataka kula chakula salama kinachotokana na mazao yaliyokuzwa kwa njia ya asili. Japan kwa mfano, imegeuza mwelekeo wa kutaka mazao salama yanayotoka Afrika baada ya soko la India na nchi nyingine za eneo hilo la Asia kuvurunda.
Hata hivyo, ilielezwa katika warsha hiyo ya kuwa wakulima wengi nchini hawana elimu ya kutosha kuhusu kilimo hicho hivyo fursa hiyo ya kuvuna fedha za kigeni huwapita hivi hivi. Pia hawana mtaji wa kutosha wa kuwawezesha kujishughulisha na kilimo hai, jambo linalokwamisha Tanzania kuuza bidhaa nyingi katika masoko ya nje ya nchi hasa Ulaya, Marekani na Japan.
Lakini Kilimo hai ni kilimo cha aina gani hasa? Ni kile ambacho hakitumii mbolea na dawa za viwandani katika uzalishaji wa mazao. Mazao ya kilimo hicho ndiyo sasa yaliyopanda chati Ulaya na hata hapa nchini kwa kuuzwa kwa bei ya juu kulinganisha na mazao yanayozalishwa kwa kutumia mbolea za chumvichumvi na dawa za viwandani.
Sababu ya mazao hayo kupanda bei ni moja tu. Ni mazao salama kwa afya ya mtumiaji. Hayana madhara ya muda mfupi wala mrefu hivyo mtumiaji hahofu kupatwa na wakati wowote ugonjwa wa saratani na magonjwa mengine.
Utafiti uliofanyika unaonyesha kuwa bei za mazao katika soko la dunia ambayo hayakutumia kemikali aina yoyote imekuwa ikiongezeka kulinganisha na yale ambayo yamekuwa yakitumia kemikali hizo. Wakati bei za mazao k**a kahawa, pamba na sukari zimekuwa zikiyumba katika soko hilo, bei za mboga mboga katika soko hilo imekuwa ikiongezeka na kuwapatia fedha nyingi wakulima wanaolima zao hilo kwa kutumia mfumo wa kilimo hai.
Lakini kwa mujibu wa washiriki kadhaa wa warsha hiyo waliozungumzia jambo hilo la mazao ya kilimo hai kuwa salama zaidi kiafya huwapumbaza wakulima wanaoelimishwa hivyo kwa mara ya kwanza.
Hujiuliza k**a mbolea za chumvichumvi za viwandani zimetokea Ulaya, na wamepata na wanaendelea kupata fedha nyingi kutokana na kuuza mbolea hiyo, ni vipi sasa, watu hao hao wa Ulaya hawapendelei kula vyakula vilivyokuzwa na mbolea yao na badala yake wapendelee vyakula vilivyokuzwa na mbolea ya asili?
Hata hivyo, wanaharakati wa kuendeleza kilimo hai huwa wanafanikiwa kuwashawishi wakulima kujihusisha na kilimo hai baada ya kuelezwa faida za kuuza kwa bei ya juu na umuhimu wa kutunza mazingira. Mkulima mmoja alisema ya kuwa unapoanza kujishughulisha na kilimo hai ambacho hakitumii kemikali unaona kuwa uzalishaji unakuwa mdogo lakini kwa kadri unavyoendelea uzalishaji unakuwa mkubwa.
Wale waliojikita katika kilimo hiki mwanzoni huweza kukiona kuwa hakina manufaa, lakini taratibu hujikuta wanafaidika maradufu hasa wanapolima mbogamboga, matunda na hata kufuga kuku ambao mayai hayawi na kemikali.
Taratibu kilimo hai sasa kinakuwa chaguo la wakulima wengi, kutokana na ukweli kwamba hakina gharama kubwa k**a inavyokuwa kwa kilimo cha kutegemea matumizi ya kemikali mbalimbali zinazotumika mashambani,wapo wakulima ambao wanajitahidi kuzingatia viwango vinavyotakiwa vya kilimo hai ili bidhaa zao zinaweza nchini na nje bila matatizo yoyote.

Chanzo: Raia Mwema
www.agroexchange.co

Like | Comment | Share
02/12/2016

Like | Comment | Share

SEHEMU YA 1.UTANGULIZI.Mpango Kabambe wa Umwagiliaji (NIMP 2002) unaonyesha kuwa Tanzania ina eneo lenye ukubwa wa hekta...
01/12/2016

SEHEMU YA 1.

UTANGULIZI.
Mpango Kabambe wa Umwagiliaji (NIMP 2002) unaonyesha kuwa Tanzania ina eneo lenye ukubwa wa hekta milioni 29.4 linalofaa kwa kilimo cha umwagiliaji. Kati ya eneo hilo hekta milioni 2.3 zinao uwezo wa juu, hekta milioni 4.8 uwezo wa kati na hekta milioni 22.3 uwezo wa chini. Hadi kufikia April 2014 takwimu zinaonyesha kuwa eneo lililoendelezwa ni hekta 461,326 ni asilimia 1.6 ya eneo lote linalofaa kwa umwagiliaji. Hali hii imetokana na uwekezaji mdogo unaofanywa katika sekta ya umwagilaji.
Kilimo ni uti wa mgongo wa uchumi wa Tanzania, na kinachangia asilimia 23 kwenye pato la taifa, asilimia 30 ya fedha za kigeni, asilimia 66.9 ya ajira na asilimia 65 ya pembejeo za viwandani. Kasi ya ukuaji wa kilimo ni asilimia 4.4 ambayo ni ndogo kujenga uchumi imara na kuondoa umasikini wa kipato ikilinganishwa na asilimia 2.6 ya ongezeko la idadi ya watu kwa mwaka (Sensa, 2012). Ili kuondoa umasikini wa kipato na kujenga uchumi imara, kasi ya ukuaji wa kilimo inatakiwa kuongezeka kwa asilimia 6 hadi 8 kwa mwaka (Sera ya Kilimo, 2013). Aidha, kilimo cha umwagiliaji kinayo nafasi kubwa ya kutoa ajira kwa vijana nchini.
Kilimo katika nchi hii kwa kiasi kikubwa ni cha kutegemea mvua ambayo inaathiriwa na hali mbaya ya hewa. Hali hii inasababisha uzalishaji duni wa mazao. Umwagiliaji ni mojawapo ya njia muhimu ya kuongeza na kuimarisha uzalishaji wenye tija kwa mazao ya chakula na biashara katika kukabiliana na upungufu wa chakula pamoja na kuongeza uuzaji wa mazao ya biashara na bidhaa zake nje ya nchi. Kwa hali hiyo, mpango madhubuti wa uendelezaji wa miundombinu ya umwagiliaji na utekelezaji wake ni muhimu (Sera ya Umwagiliaji, 2010) hususani katika maendeleo ya kilimo Hai (Organic farming).
Inaendelea…. Disemba 3, 2016.
chanzo: Tume ya Taifa ya umwagiliaji.
www.agroexchange.co

NJOMBE KUWA MWENYEJI KITAIFA, SIKU YA UKIMWI DUNIANI.Ukiwa unaendelea kuongoza kitaifa kwa kuwa na kasi kubwa ya maambuk...
01/12/2016

NJOMBE KUWA MWENYEJI KITAIFA, SIKU YA UKIMWI DUNIANI.

Ukiwa unaendelea kuongoza kitaifa kwa kuwa na kasi kubwa ya maambukizi ya Virusi vya Ukimwi (VVU), mkoa wa Njombe utakuwa mwenyeji kitaifa wa maadhimisho ya siku ya Ukimwi Duniani, ambayo hufanyika Desemba 1, kila mwaka.
Tume ya Kudhibiti Ukimwi (Tacaids), imesema kauli mbiu ya maadhimisho ya siku ya Ukimwi Duniani mwaka huu imelenga kutoa msukumo wa utekelezaji wa mikakati ya kudhibiti Ukimwi.

Mwenyekiti Mtendaji wa Tacaids, Dk. Fatma Mrisho, alisema kauli mbiu hiyo pia inalenga kudhibiti Ukimwi Kitaifa na Kimataifa ili kufikia azma ya sifuri tatu.

Dk. Fatma alisema kauli mbiu ya maadhimisho ya mwaka huu ni Tanzania bila maambukizi mapya ya VVU, vifo vitokanavyo na Ukimwi, ubaguzi na unyanyapaa inawezekana.

Chanzo:CloudsFM

www.agroexchange.co

Address

Kinondoni, Masauni Steeet
Dar Es Salaam
P.O.BOX69037

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Agroexchange e-magazine posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share