30/05/2026
Ushawahi kujiuliza kwa nini mzigo mkubwa unaweza kusafiri kilomita 800 kutoka Mbeya hadi Dar kwa shilingi 10,000 tu kwenye basi/fuso.
Lakini ukifika stendi, bodaboda anakuomba elfu 15 kuufikisha dukani kwako Tegeta?
Acha kulipia delivery kwa gharama ya nauli ya mkoani kisa unakariri mazoea. DM neno 'BANDO' leo, Genuine Express tukushushie gharama za usambazaji kiprofeshno.