05/01/2020
UTABIRI YANGU JUU YA KAZI ZA IT KUANZIA MIAKA KUMI IJAYO.
Najaribu kufikiri nini muelekeo wa IT kwa Tanzania na ni field gani ya IT itakua HOT.
Kuna miaka kadhaa k**a sita au saba iliyopiata watu waliosomea TELECOM walikua deal sana hivyo kushawishi wanafunzi wengi kukimbilia kusomea TELECOM na baadae walipokuja kutoka walikutana na walichokutana nacho, IT Tanzania inakua sana na uhitaji wa watu wenye fani flani hutegemeana na kipindi husika sasa ivi kuna uhitaji Mkubwa sana wa PROGRAMMERS kwasababu taasisi nyingi zina adopt mifuno ya ki IT, je nini kitafuata baada ya uhitajii wa PROGRAMMERS.
Najaribu kushare my simple forecasting k**a unalolote unaweza comment πππ
FIELD BORA YA MIAKA KUMI IJAYO ITAKUA CYBERSECURITY NA DATA SCIENCE, japokua taasisi hazichukulii mkazo now, ila nina sababu zifuatazo kusema hilo.
DATA au taarifa ni kitu muhimu sana kina kusaidia kufanya maamuzi ukishatengeneza mfumo wa kuziifadhi basi kinafuata ni kuzilinda kutokana sababu tofauti tofauti moja ni business competitor wako au taarifa ambayo haitakiwi kua public available, taasisi pia inaezakua na shauku yakutaka kujua usalama wa mifumo yao hapa sasa unakuja umuhimu wa mtu wa CYBERSECURITY, imagine umeamka na taarifa zote za system za chuo zimefutwa na hacker au taarifa za hospital zimeibiwa.
Katika kuanzalia umuhimu wa DATA SCIENTIST kwa baadae, taasisi nyingi zatakua na data then lazima data ziwasaidie kupata taarifa na kuboresha au kuachana na kitu wanachokifanya, lakini vile vile lazima data ikusaidie kujua k**a kua frauds na vitu vingi.
kwasasa tunakusanya data PROGRAMMING IS HOT tukishapata data inabidi tuzilinde CYBERSECURITY IS HOT lakini pia lazima data itusaidie kufanya maamuzi DATA SCIENCE IS HOT.
hiyo ndio forecasting yangu kwa miaka kumi ijayo kwa upande wa kazi za IT kwa Tanzania, karibu kutoa mawazo yako kupitia comment.
asante kwa kupoteza time kusoma usisahu ku like na ku share.