20/10/2017
Maharage ni moja kati ya mazao ya jamii ya mikunde. Jamii ya mikunde hujumuisha mazao k**a kunde, mbaazi, karanga, soya, choroko na maharage yenyewe. Maharage pamoja na mazao mengine ya jamii yake yana sifa moja kuu, yana vinundu kwenye mizizi yake. Vinundu hivyo vinawahifadhi bakteria maalum (nitrogen fixing bacteria) wanaotengeneza nitrogen. Hii ndio sababu ya kwanini mimea jamii hii inafahamika kwa sifa ya kujitengenezea mbolea yake.
Karibuni mnunue kwetu.