ShowBiz Defined Media Company

ShowBiz Defined Media Company Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from ShowBiz Defined Media Company, Advertising agency, MwembeChai, Dar es Salaam.

   Je wewe ni Msanii? Meneja? Una Studio ya Kurekodi Muziki?KITAA PROMOTIONS chini ya Kampuni ya SHOWBIZ DEFINED VIDEOZ ...
09/08/2014



Je wewe ni Msanii? Meneja? Una Studio ya Kurekodi Muziki?

KITAA PROMOTIONS chini ya Kampuni ya SHOWBIZ DEFINED VIDEOZ inatoa ofa ya video Kumi (10) kwa wasanii chipukizi ambao hawajawahi kufanya video kabisa na wana nyimbo nzuri, nasisitiza nyimbo nzuri uwe unaimba muziki wa injili , bongo flava, ragga , reggae n.k

NINI CHA KUFANYA ILI UPATE OFA HII
Tuma nyimbo yako kwenda [email protected] ,
1. Andika jina lako halisi
2. Jina la Kisanii
3. Umerekodia studio ipi pamoja na jina la producer
4. Upo Mkoa gani
5. Mawasiliano (Simu, Email, Whatsapp /Viber number)

Mwisho wa kutuma nyimbo ni tarehe 15.08.2014
K**a umechaguliwa utapata majibu kwenye mawasiliano ambayo utakuwa umetupatia.

Ukiliona Tangazo hili share kwenye wall yako ili nawe uweze kumsaidia Artist aliye jirani yako

We are giving Only 50   T-Shirts on August 01/ 201450 Lucky Winners Will Be Messaged via fb On July 28th.Step 1) Like th...
27/07/2014

We are giving Only 50 T-Shirts on August 01/ 2014
50 Lucky Winners Will Be Messaged via fb On July 28th.
Step 1) Like this post.
Step 2) Comment which color you want.
Step 3) Share On Your wall.

18/06/2014

NINGEKUWA RAIS AU WAZIRI TU WA HABARI,VIJANA UTAMADUNI NA MICHEZO KWA SIKU MOJA TU
Ningejiuliza swali, kwa kiti nilichokalia busara nilizonazo je nimeshindwa kusolve matatizo ya wasanii Tanzania?

Je kwanini wasambazaji wanalalamikiwa kila siku na k**a biashara mbovu kwanini hawaachi na kufanya kazi nyingine?

Je Muziki wa Tanzania unaweza ukaingizia Taifa pato kubwa kuliko wizara nyingine k**a wanavyodai?

Baada ya wasanii hawa kunifanyia campaign na nimeweza kupata kura je nini fadhila yangu kwao nawarudishia?niwaache k**a walivyo wanateseka au niwasaidie ili nao uchumi wao upande?

Je niko sahihi kuendelea kuwasaidia wasanii waliofanikiwa waendelee kufanikiwa zaidi au niwasaidie wasanii wote?

Je mimi k**a Raisi au waziri najua sanaa ni movie au kuimba tu?

Ntajiuliza matatizo waliyonayo wasanii wangu nchini ni sawa na wasanii wa nchi zinazozunguka mipaka yangu?

Je hapa nchini kwangu sina wataalamu wengine ambao wanaweza kunishauri kutatua matatizo sugu ya sanaa kuliko kushirikisha watu wanyonyaji kuendelea kunipa mchango huu?

Mwisho ntajiuliza kuna haja ya kuleta wataalamu toka nje kutatua matatizo yetu au mimi mwenyewe naweza au tunaweza wenyewe wazalendo mfano nimlete Usher Raymond aje atatue au atushauri au kuwapa semina wasanii wakati mwenyewe yupo chini ya menejimenti na anafundishwa kila kitu cha kufanya?

Ningekuwa

Follow me on Instagram  http://instagram.com/mnyalu1
16/06/2014

Follow me on Instagram

http://instagram.com/mnyalu1

Marketer / Musician / Song Writer / Visual and Audio Producer / Business Administrator

ARTIST ;	MIKE TEESONG ;	MCHEPUKOPRODUCED BY HERMY B / VOCAL BY PRODUCER MBEZIINTROWENGINE TUNAITA KAZI ZA NJEWENGINE WAN...
02/06/2014

ARTIST ; MIKE TEE
SONG ; MCHEPUKO
PRODUCED BY HERMY B / VOCAL BY PRODUCER MBEZI
INTRO
WENGINE TUNAITA KAZI ZA NJE
WENGINE WANAITA VIDUMU
WENGINE WANAITA …………..
I CANT TELL
VERSE ONE
SIO LAZIMA COMMITMENT AM DOWN FOR WHETEVER
NNACHOOMBA NI USIKU MMOJA TU/ SIO LAZIMA TU LOVERS/
NAKUONA K**A NYOTA NATAKA JAPO NIKUGUSE TU/
NITOE NA USIKU MMOJA BAADA YA HAPO USINIKUMBUKE BOO/
SITAJIFANYA NAKUJUA K**A UKIJA NA BWANAAKO/
NTAKUPA MIKAUSHO ME KIVYANGU WE KIVYAKO/
NA UKIONDOKA UNANIKONYEZA NTAKUSONYA (SIKUJUI)
ROHO HAINIUMI KABISA NTAJIFANYA (SIKUJUI)
NIFANYE K**A BUSTANI BWANAKO AWE SHAMBA MPE ASILIMIA ZOTE ME NIPE UNYUMBA/
NA WALA HATUSEMI HATA MARAFIKI WASIELEWE/
KWANZA HAKUNA SABABU ACHA WAMBEA WAPUNGUE/
SEHEMU USIZOWAHI KWENDA WALA KUOTA KUFIKA/
JAPO SIHONGI K**A WAZEE CHINI YA PAA UTARIDHIKA/
WOTE HAWAJUI KUTUMIA KIUNO CHAKO INAVYOPASWA/
UKINIACHA MIDOMO MACHO HAYAFUNGI KABISA/
CHORUS
TUFANYA CHINICHINI KISIRI SIRI
HATA KINA FODODINGO WASIELEWE KAMWE X 4
VERSE TWO
NAMNA YANGU YA MTAZAMO HAISEMI K**A UNALINGANA NAE/
VINGI NTAFANYA NA NAAMINI HUJAFANYA NAE/
SIO BIFU NA YEYE ATAJUAJE UTAMWAMBIA?
SIWINDI ROHO YAKE HAITAMUUMA HATAJUA/
NYUKI ANACHOMWA MOTO KILA SIKU KWA ASALI YAKE/
DEMU MZURI K**A WEWE VIPI AMMEGE PEKE/
NTANGOJA ASAFIRI SIKU AKIWA MBALI/
UNIFANYE K**A NDOTO UNISAHAU SIKU YA PILI/
KUNA MACHIMBO YA KWELI MENGI TU HAWATAKUONA/
UTAINGIA UTATOKA NA UTARUDI HOME SALAMA/
NIITE ME KAZI YAKO YA NJE NTAKUJA UKITAKA HAPPY/
MAHUSIANO YAKIKUCHOSHA (NO STRINGS ATTACHED)
UKIBAKI PEKE YAKO UKIWEZA KUTOKA KWAKO/
BASI WEWE NIGONGEE NIFURAHISHE MOYO WAKO/
NATAKA/ TUMIA MUDA WANGU KWA DUNIA YAKO/
NAWAZA S*X IN THE LIMO NIONAPO MIGUU YAKO/
YEAH
CHORUS
TUFANYA CHINICHINI KISIRI SIRI
HATA KINA FODODINGO WASIELEWE KAMWE X 4
VERSE THREE
TUJIIBE KILA TUWEZAVYO HIVYO NDIVYO MJI UENDAVYO/
WATU WAZIMA HAWADANGANYANI HUPEANA HALI ILIVYO/
NIPE NIKUPE NI RAHA YA MAPENZI TUPATE SOTE/
KWENYE MWANYA TUTUMIE HATA MASHUSHUSHU WASIELEWE/
ME CASSANOVA SIO ROMIO/ MICHEZO NDIO NAITAKA/
WE NI INSTRUMENTAL KALI UNAHITAJI VERSE ZA MWAKA/
NATAMANI NIKUULIZE UMEVAA THONG AU G STRING/
UNITAJIE RANGI KUWA NI NYEKUNDU AU PINK/
NATAMANI KUSIKIA MANENO UKIWA KILELENI/
NA WAKATI WA KUONDOKA NISIKIE UTASEMA NINI/
NTAKUFANYA ZA NDOTONI NTAKULEA K**A YAI/
ROYAL TREATMENT NAAHIDI HATA MALKIA HAFAI/
SITAJIFANYA NAKUJUA K**A UKIJA NA BWANAAKO/
NTAKUPA MIKAUSHO ME KIVYANGU WE KIVYAKO/
NA UKIONDOKA UNANIKONYEZA NTAKUSONYA (SIKUJUI)
ROHO HAINIUMI KABISA NTAJIFANYA (SIKUJUI)
CHORUS
TUFANYA CHINICHINI KISIRI SIRI
HATA KINA FODODINGO WASIELEWE KAMWE X 4
OUTRO
HAHAAA HAYA MANENO TOKA KWA ASKOFU AU SIO/
YEAH NAJUA UNASHANGAA/ Y?
(YEAH) HAYA MANENO YAPO HATA KWENYE KHANGA SIO
USIIGE MAISHA NNAYOISHI MIMI
USIFUATE KAULI YANGU / MAISHA HALISI YA KWANGU HAYAPO KWENYE VERSE
NAJUA HATA KIJANA HAPA ANAELEWA
CIAO
http://www.hulkshare.com/mnyalu1/mike-tee-mchepuko

Beat by Hermy B at B Hitz Studioz Vocal taken at SZZK studio by Producer Mbezi Song Written By Hamis Mwinijuma aka Binam

30/05/2014

TO MY FANS aka MASHABIKI WANGU
Today at 12pm naachia ngoma yangu inaitwa MCHEPUKO (Produced by Hermy B and Mbezi), so nnachohitaji kwenu ni email address zenu kwa ambao mnadhani hamjawahi kunitumia

Let music take us to those places we dream of

http://youtu.be/YPEKU-5WwP8
30/05/2014

http://youtu.be/YPEKU-5WwP8

BoniFace and Mike Tee ULISEMA Kitaa Videoz Directed By Mike Tee Distributed Under KITAA Promotions

KITAA TVBiashara ni matangazo, na usipojitangaza nani atakujua?Imekuwa desturi ya wanamuziki wengi wa hapa nchini kuomba...
13/05/2014

KITAA TV
Biashara ni matangazo, na usipojitangaza nani atakujua?
Imekuwa desturi ya wanamuziki wengi wa hapa nchini kuomba collabo na wasanii wa nje badala ya wao kuombwa?
Swali linakuja kwanini?
Kifupi ni hivi kwenu mnajulikana kwa kiasi kidogo sana na soko hamjalitendea haki kwanini mkimbilie nje?
Wasanii wenzangu imefika muda tujulikane ndani kwani ndio tukimbilie nje kidogo anza na mkoa uliotoka tengeneza ngome basi ujulikane hadi na watoto wadogo ndio ukimbilie mikoa mingine

KITAA Tv ni suruhisho la matatizo ya wasanii ambao tumeshindwa kulitendea haki soko la ndani, sasa basi tutaanza mtaani kwako then tuvuke boda.
Nipe kibali cha kuisambaza video yako, Msanii, Meneja, kampuni mnaozalisha video za muziki milango ipo wazi
[email protected]
twitter ; kitaaradiofm

06/05/2014

KWA WASANII NA WADAU WOTE WA MUZIKI HAPA BONGO

TATIZO = FURSA
ukiijua hiyo hesabu vizuri maisha kwako yatakuwa bam bam

Wasanii wengi kwa kipindi kirefu tumekuwa tunalalamika kuwa tunabaniwa kwenye MEDIA bila kuelewa kwa kifupi tu ukweli wa mambo.

Kwa Uchunguzi nilioufanya kwa kipindi cha miaka mitatu hivi nimegundua haya, Watayarishaji au watangazaji wa vipindi kwa siku wanapokea zaidi ya nyimbo 30 kutoka kwenye studio mbalimbali hapa nchini, kwao inakuwa ni vigumu kucheza nyimbo zote kutokana either muda kuwa mdogo wa vipindi vyao au kuwa na request nyingi za nyimbo ambazo wamekuwa wanazicheza sana.
Swali likaja kwangu nyimbo au video ambazo hazichezwi na ni nzuri tufanye nazo nini ili na hawa wasanii wapate airtime?

SULUHISHO LA TATIZO
Baada ya kuliona tatizo nikapata idea ya kuzunguka kwanza Manispaa zote ILALA, KINONDONI na TEMEKE kuangalia usajili wa vituo vya bodaboda na bajaj zilizosajiriwa kwenye vituo ambazo pia wameweka radio ambazo zinatumia flash na memory cards,
Huku nikapata idea ya kuanzisha KITAA RADIO FM ambayo itahusika na kuwasambazia watu hapa muziki ule ambao ulishindwa kupenya radioni muziki wa aina yeyote wa Kitanzania ambao mzuri kusikika na watu wakaupenda.

Pili, kwenye upande upande wa video napo nikajiuliza ni mabus mangapi yaendayo mikoani ambayo ndani hutoa burudani ya movies , music video nk nikakuta ni zaidi ya mabus 2000 ,ambapo kwa siku kila bus linasafirisha si chini ya abiria 50
Huku nako nikapata idea ya kuanzisha BODA 2 BODA Television ambayo itakuwa inatoa burudani ya music videos zile tu zilizokosa kupewa Airtime kwa namna moja au nyingine

Kwa kusema hayo machache napenda kusema KITAA RADIO FM na BODA 2 BODA TELEVISION imezinduliwa rasmi now chini ya kampuni ya SHOWBIZ DEFINED MEDIA Co LTD

NB ; Huduma hii tutaitoa lakini kutakuwa na uchangiaji wa huduma kwa wale watakaokuwa tayari
Aksanteni

Mike Mwakatundu
Marketing Manager
ShowBiz Defined Media Co. Ltd
[email protected]
+255 786 505 097

Address

MwembeChai
Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when ShowBiz Defined Media Company posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share