04/03/2026
BAWASIRI ni uvimbe unaoota ndani na/au kuzunguka tundu la kutolea haja kubwa.
Kuna Aina Ngapi Za Bawasiri?
👁Bawasiri za ndani (Internal piles) ni zile zinazotokea kwenye eneo la ndani lililo zaidi ya sentimenta 2-3 kutoka kwenye tundu la kutolea kinyesi – kwenye eneo la juu la a**l ca**l. Bawasiri za ndani kwa kawaida hazina maumivu kwa sababu sehemu ya juu ya a**l ca**l haina nyuzi za neva za maumivu.
👁Bawasiri za nje (Exteranl piles) ni zile zinazotokea kwenye eneo lililo chini yake, eneo la chini la a**l ca**l. Bawasiri za nje zaweza kuwa na maumivu kwa sababu eneo la chini la a**l ca**l lina uwingi wa nyuzi za neva za maumivu.
👁Watu wengine huwa na bawasiri za ndani na bawasiri za nje kwa wakati mmoja.
CHANZO CHA TATIZO
~chanzo halisi cha ugonjwa huu ni ongezeko la presha katika utumbo mkubwa. Ongezeko hili la presha linasababishwa na vitu vifuatavyo:
👉TATIZO LA KUTOPATA CHOO AU KUA NA CHOO KIGUMU
👉KUKAA KITAKO KWA MUDA MREFU
👉UZITO KUPITA KIASI
👉MFUMO MBAYA WA LISHE
👉UJAUZITO
DALILI ZA BAWASIRI
👉Ngozi kuwasha katika eneo la haja kubwa
👉kupata maumivu makali wakati wa kujisaidia
👉kutokea uvimbe katika eneo la haja kubwa
👉kujitokeza kwa kinyama
👉kinyesi kuwa na damu na kunuka harufu mbaya sana
MADHARA YA TATIZO LA BAWASIRI
👉kupata upungufu wa damu (anemia)
👉Kupata tatizo la kutokuweza kuhimil choo
👉hupunguza nguvu za kiume na kuondoa hamu ya tendo la ndoa kwa wanawake na wanaume.
👉kukosa morali ya kufanya Kaz kutokana na maumivu makali
👉Kuna uwezekano mkubwa wa kupata saratani ya UTUMBO MKUBWA (CANCER) kwa sababu kile kinyama kinakaa K**a kidonda.,,
TIBA
HERBAL HEMORRHOIDS SPRAY NI DAWA YA ASILI YA MITISHAMBA INAYOSAIDIA KUPAMBANA NA BAWASIRI,
IMETENGENEZWA KWA VIAMBATA VYA ASILI KWA 100%,
✅INAONDOA PRESHA KUBWA KWENYE MISHIPA YA DAMU YA SEHEMU YA HAJA KUBWA
✅ HUSAIDIA KUREKEBISHA MFUMO WA MMENG'ENYO WA CHAKULA.
✅HUONDOA MAUMIVU MAKALI NDANI YA MUDA MFUPI SANA,
✅HUKATA DAMU INAYOTOKA HARAKA,
✅HUONDOA MUWASHO MKALI
✅ HUONDOA UVIMBE MKUBWA NA MDOGO
✅HUMALIZA KABISA TATIZO LA CHOO KIGUMU
✅HUTIBU WALIOFANYIWA UPASUAJI NA TATIZO LIKARUDI TENA
✅HUREKEBISHA MMENG'ENYO WA CHAKULA