02/10/2024
k**a unahitaji kazi Serious piga simu au fika Mbezi ya kimara haraka wanahitajika watu 100 tu.
Hii kazi haina Malipo yoyote kuipata wala dalali ila uandae vitu hivi......uje navyo.
1) Barua serikali ya mtaa ya utambulisho
2) Wadhamini 2 na copy za vitambulisho vyao iwe taifa au cha kura.
3)Barua ya Mkono ya maombi ya kazi.
4)C.V yako na vyeti nakala (Sio Lazima)
KAZI NI KUUZA VIFUNGASHIO VYA KAMPUNI KWA WATEJA WAO
MSHAHARA 250,000/= & POSHO ZA KILA SIKU.
ANGALIZO:
K**A SI MUHITAJI USISUMBUKE KUPIGA SIMU ZINGATIA MAELEKEZO MWISHO TAR 5/10/24