04/06/2026
Ni kwa uwezo wa mungu ambaye amempa utashi dereva akafanya tukio ambalo si la kawaida huko India majira ya Jioni mjini Mumbai baada ya Dereva wa ambulance kuonyesha uimara alipojaribu kumkwepa mzee aliyekuwa anakatiza mbele ya barabara kipindi ambulance hiyo ikiwa Inawahisha mgonjwa hospitality
✍️