23/11/2025
π’ Ninauza Laptop ya Kusomea β Lenovo Chromebook 100e
RAM: 4GB
Storage: 16GB
Battery life: hadi masaa 6
Hali: Safi, inafanya kazi vizuri
Laptop hii ni nzuri sana kwa wanafunzi na watu wanaopenda productivity kwa sababu ina faida nyingi k**a:
Screen kubwa na view nzuri β Inakusaidia kuona notes, slides, PDFs na videos bila kuchosha macho na kufanya masomo yawe rahisi zaidi kuelewa.
Inafaa sana kwa assignments β Keyboard yake inakuruhusu kutype kwa kasi na usahihi, kufanya formatting vizuri kwenye Word docs au Google Docs.
Multitasking bora β Unaweza kufungua PDFs, browser, YouTube na documents kwa wakati mmoja bila kuwa slow.
Programu za kitaaluma / online tools β Chromebook inakuruhusu kutumia apps muhimu k**a Google Docs, Sheets, Slides, Zoom, Classroom, Online PDF editors n.k.
Distraction ndogo β Ni bora kwa kusoma kwa sababu haina kelele za social media nyingi k**a simu, hivyo unapata concentration nzuri zaidi.
Betri inashika chaji mpaka masaa 6, inakufaa hata ukiwa library au eneo lisilo na umeme wa uhakika.
Ni nyepesi kubeba na imara (durable), inafaa sana kwa mwanafunzi au mtu anayehitaji kufanya kazi mtandaoni.
π° Bei: 180,000 TSH
Nipo Dar es Salaam
Piga / WhatsApp: 0699842075