Matangazo

Matangazo is an online marketplace where individuals, business and entrepreneurs publish their products and se

Habari za humu? Nimeskia maoni ya baadhi yetu wanasema hatuna members wa kutosha hivyo mimi sina namna kwenye hili zaidi...
09/03/2024

Habari za humu?
Nimeskia maoni ya baadhi yetu wanasema hatuna members wa kutosha hivyo mimi sina namna kwenye hili zaidi ya kushirikiana wote ni
Fanya ku share link 👇

https://t.me/matangazoonline

Tupate wafuasi wengi ili biashara zetu ziweze kuwafikia watu wengi. Hatuwezi kusogea k**a kilasiku tupo walewale. NB: Tangaza chochote chamsingi usivunje sheria za nchi tuu. Asanteni!

Uza na kununua hapa bila kuvunja sheria za nchi.

Wewe ni mfanyabiashara? Weka tangazo lako hapo chini huenda ukakutana na mteja wa bidhaa/huduma yako. K**a msanii weka l...
05/09/2023

Wewe ni mfanyabiashara? Weka tangazo lako hapo chini huenda ukakutana na mteja wa bidhaa/huduma yako. K**a msanii weka link ya nyimbo tuone kazi zako.

Weka taarifa muhimu ikiwemo picha ya bidhaa, mawasiliano na Address ya biashara yako.

Habari ya jioni, ni  Wafanyabiasha wenzangu, ndio siku yetu ya kuinuana. Share kitu/biashara yako leo naangalia cha kunu...
22/07/2023

Habari ya jioni, ni

Wafanyabiasha wenzangu, ndio siku yetu ya kuinuana. Share kitu/biashara yako leo naangalia cha kununua.

🤝Tuendelee kuikuza   kwa pamoja kwa kushare link ya group ili tuwe wengi zaid na kuongeza mzunguko wa biashara zetu, lin...
24/05/2023

🤝Tuendelee kuikuza kwa pamoja kwa kushare link ya group ili tuwe wengi zaid na kuongeza mzunguko wa biashara zetu, link ya group 👇🏼👇🏼

Karibu ujipatie magodoro kwa bei poa na popote ulipo Dar es salaam tunakuletea.  MALIPO BAADA KUPATA MZIGO, tuna QFL Dod...
26/05/2022

Karibu ujipatie magodoro kwa bei poa na popote ulipo Dar es salaam tunakuletea. MALIPO BAADA KUPATA MZIGO, tuna QFL Dodoma, COMFY,VITARAHA, GSM SIZE ZOTE Huduma hii ni free delivery kwa wakazi wa Dar es salaam. Wateja wa Mikoani tunatuma pia. Whatsapp/Piga 0622975763.

#

02/05/2022

...NAFASI YA KAZI...
Nikiwa k**a kijana mpambanaji, ninaye pambana kutafuta kila siku, ningependa kutoa nafasi kwa vijana wengine, wenye ARI ya utafutaji na KIU ya mafanikio kujiunga na TEAM yetu, ili tuweze kusaidiana kufanikisha ndoto zetu, kwa kuanza tunahitaji nafasi zifuatazo:

1. SALES AND MARKETING TEAM Sales and Marketing Manager Photo and Videos studio (wedding)

Sales and Marketing Manager Audio and Videos studio (music) + adverts and documentary.

3. Sales and Marketing manager Printing and branding.

4.Music Producer

5. Online Tv Manager, Presenter, Voice over ,Presenter etc

6. Social media manager , website design, graphics design, etc.
www.aznasartscentre.co.tz

7. Screen Printing Operator / Designer etc


Nb
K**a unahisi unaweza kufuatilia sehemu moja wapo kati ya sehemu hizo, Tuma Cv yako kwenye emaill:
[email protected]

Mwisho wa kutuma maombi ni 6/5/22

Tunapatikana Mikocheni B Kwa Osama, CocaCola Road.
Mawasiliano +255622037937

SHARE TAARIFA KWA NDUGU JAMAA NA MARAFIKI NA USISAHAU KUTU FOLLOW





Mr Brand

Karibu kwenye group la matamgazo ya biashara kupitia Telegram ... bofya link
23/09/2020

Karibu kwenye group la matamgazo ya biashara kupitia Telegram ... bofya link

Adpollex inakuletea offer maalumu kwa wajasiriamali wote Tanzania. Para huduma za graphics design.
24/10/2019

Adpollex inakuletea offer maalumu kwa wajasiriamali wote Tanzania. Para huduma za graphics design.

If you’re watching this... Your time is coming, Stay Patient.
21/03/2019

If you’re watching this... Your time is coming, Stay Patient.

Director: Justin Campos Video Commissioner: Mrs Campos Production Company: Gorilla Films Coordinator, Video Content: Gorilla Films Associate Dir., Video Admi...

  kupata maarifa
16/03/2019

kupata maarifa

Penda kukaa na watu waliokuzidi umri, uzoefu, maarifa na watu usiofanana nao, sikiliza sana na uliza maswali mengi uwezavyo, na mwisho, jenga tabia ya kujisomea, si lazima vitabu, hata majarida, na soma hata mambo yaliyo nje ya fani yako. Elimu nyingi imetuzunguka tulipo.

Address

Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Matangazo posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

UWANJA WA MATANGAZO

Tunatoa huduma ya kurusha hewani matangazo aina yote katika pages,groups. Matangazo ya dini bure. Matangazo mengine tutayatoza gharama nafuu kwa siku, au wiki, au mwezi. Ili kutupatia tangazo / matangazo yako; wasiliana nasi kwa anwani zifuatazo: Barua pepe: [email protected] , Direct Meseji hapa! Simu namba: +255 768 320 au +255 684 320 325 (Tafadhali usi-bipu.) Au; Tembelea ukurasa wetu wa facebook kwa kubonyeza hapa @Matangazo