Raymond TheWriter

Raymond TheWriter Novelist | Screenwriter | Songwriter | Copywriter.

MFUKO WA RIWAYA WA UWARIDI (UWARIDI RIWAYA FUND) UNAWALETEA KITABU KIPYA CHA "TURUFU",  KILICHOANDIKWA NA ELIADO TARIMO....
21/09/2021

MFUKO WA RIWAYA WA UWARIDI (UWARIDI RIWAYA FUND) UNAWALETEA KITABU KIPYA CHA "TURUFU", KILICHOANDIKWA NA ELIADO TARIMO.

Mwandishi ELIADO TARIMO, ametuletea kitabu hiki cha TURUFU, chini ya udhamini wa MFUKO WA RIWAYA WA UWARIDI.

Kitabu kinapatikana kwa bei ya shilingi ELFU KUMI TU (10,000/-), kwenye vituo vifuatavyo:

DAR ES SALAAM
1) Duka la Kona ya Riwaya, Kinondoni Block 41 (0655 428085).

2) Posta Mpya "Kwa George", jirani na sanamu ya askari (0755 454152).

3) Elite Bookshop, Tangi Bovu (0767 740 363).

4) Duka la vitabu "Come & read Bookstore", Ununio (0717 978 899).

5. Switch Movies Store, Shekilango (0719 221 092).

6. Sayansi Kijtonyama, Jengo la TTCL (0714 555 195).

DODOMA —ELITE Bookstore, Shopper's Plaza ( 0745 199 860).

MOSHI — APE Bookshop, Mtaa wa Rindi Line Karibu na Kilimanjaro Hospital na KCB Bank (0755 239911)

ARUSHA — Nje ya jengo la KIMAHAMA - Kwa Ally Saidi (0686965223)

MWANZA — Nyerere road, Mbele ya msikiti wa Ijumaa - Kwa Yussuph (0762 002 992)

MOROGORO — Kituo cha daladala, Bima, karibu na baa ya Facebook - Kwa Markus (0719 226 293)

TANGA — Karibu na Duka la Dawa Mkwakwani Pharmacy NMB Madaraka - Kwa Isamail (0655 173 115)

Maeneo memgine nje ya haya, tafadhali wasiliana nasi kupitia namba (0714 555 195).

Vitabu vitaanza kupatikana Jumanne (September 21), kwa gharama ya TZS 10,000/=.

HATIMAYE FUMBO LIMEINGIA MTAANI.Kitabu cha FUMBO, kutoka kwa mwandishi Maundu Mwingizi, kimeingia sokoni rasmi hii leo. ...
05/05/2020

HATIMAYE FUMBO LIMEINGIA MTAANI.

Kitabu cha FUMBO, kutoka kwa mwandishi Maundu Mwingizi, kimeingia sokoni rasmi hii leo. Kinapatikana maeneo yafuatayo:

DAR ES SALAAM
1) Duka la Kona ya Riwaya, Kinondoni Block 41 (0655 428085).

2) Posta Mpya, jirani na sanamu ya askari (0755 454152).

3) Elite Bookshop, Tangi Bovu.

4) Kariakoo, mtaa wa Msimbazi na Narung’ombe. Pembezoni mwa benki ya posta (0712 227 777).

NJE YA DAR ES SALAAM KITAANZA KUPATIKANA ALHAMISI:

MBEYA – Duka la Fanani na Hadhira (0753914696).

IRINGA - Lutengano Bookshop, mtaa wa miomboni, karibu na soko kuu.

DODOMA — Lugarawa Bookshop, barabara ya 8, karibu na Tamisemi.

TABORA — Soko Kuu kwa Wauza Magazeti.

ARUSHA — Nje ya jengo la KIMAHAMA (0686965223).

KIGOMA — Gungu Sokoni (0784244407).

Kitabu kinauzwa kwa TZS 10,000/=.

Kwa wanaotaka kupelekewa hadi walipo (ndani ya Dar es Salaam), watachangia TZS 2,000/= kwa ajili ya Bodaboda. Piga namba 0754609046.

Cc. Maundu Mwingizi

02/07/2019

Nilipata wasaa wa kutoa maoni juu ya riwaya iliyoingia sokoni ya Laura Pettie. Karibu utazame maoni yangu juu ya riwaya hii ambayo hupaswi kuikosa. Ahsante

KITABU KIPYA - KIROBA CHEUSI.HABARI TANZANIA!!Kwa mara nyingine tena, Umoja wa Waandishi wa Riwaya wenye Dira (UWARIDI),...
24/06/2019

KITABU KIPYA - KIROBA CHEUSI.

HABARI TANZANIA!!

Kwa mara nyingine tena, Umoja wa Waandishi wa Riwaya wenye Dira (UWARIDI), kupitia Mfuko wa Riwaya wa Uwaridi (UWARIDI RIWAYA FUND), unayo furaha kukutangazieni kuwasili kwa kitabu kipya kutoka kwa mwandishi mahiri kwa kushona maneno nchini, mwanadada Laura Pettie, kiitwacho KIROBA CHEUSI.

Kitabu hiki kilichochapishwa chini ya ufadhili wa UWARIDI RIWAYA FUND kinaanza kupatikana rasmi madukani hii leo tarehe 24 Juni, 2019, kwa bei ya SHILINGI ELFU 10 TU.

Kinapatikana kwenye maeneo yafuatayo:

DAR ES SALAAM
1) Duka la Kona ya Riwaya Kinondoni Block 41 (0655 428085)

2) Posta Mpya, karibu na sanamu ya askari (0755 454152)

3) Quality Center (Elite Bookshop)

4) Kariakoo - Mtaa wa Msimbazi na Narung’ombe, nje ya benki ya posta (0712 227 777)

ELITE Bookstore - Tangibovu

MBEYA – Duka la Fanani na Hadhira (Edna - 0625 726640)

ARUSHA - Nje ya jengo la Kimahama bookshop kwa muuza magaazeti Ally Saidi ( 0757690302 au 0656744390)

MWANZA - Nyerere road, mkabala na Semira electronics (0762002992)

IRINGA - Wasiliana na 0754599646

TABORA - Kwa wauza magazeti, Soko kuu.

Kwa mikoa mingine tunaweza kumfikishia msomaji mpaka mkoa aliopo. Wasiliana moja kwa moja na:

(a) P2P Delivery - 0676000030

(b) Duka la KONA ya riwaya - 0655428085

Wahi mapema nakala yako.

UWARIDI....NJOO TUNUKIE.

KITABU KIPYA - HATINAFSIKWA MARA NYINGENE MFUKO WA RIWAYA WA UWARIDI (UWARIDI RIWAYA FUND) WAWALETEA KITABU CHA RIWAYA Y...
28/09/2018

KITABU KIPYA - HATINAFSI
KWA MARA NYINGENE MFUKO WA RIWAYA WA UWARIDI (UWARIDI RIWAYA FUND) WAWALETEA KITABU CHA RIWAYA YA “HATINAFSI” KUTOKA KWA LILIAN MBAGA!
K**a tulivyotangaza awali, Lilian Mbaga ndiye mnufaika wa pili wa Mfuko huu mahsusi kwa waandishi wanachama wa UWARIDI. Hivyo, kwa heshima na taadhima kubwa kabisa, tunajivunia kuwatangazia LEO HII kuwa KITABU CHA HATINAFSI kimekalika na kimeanza kuuzwa LEO (Septemba 17, 2019).
Kupitia mfuko huu, Lilian Mbaga amefadhiliwa kuchapisha kitabu chake cha HATINAFSI; ufadhili uliojumuisha gharama za uhariri, usanifu wa kurasa, usanifu wa jalada, uchapaji na pia utangazaji wa kitabu chake hiki.
Tunamnukuu:
“Shukrani za dhati ziufikie Umoja wa Waandishi wa Riwaya wenye Dira (UWARIDI) kupitia mfuko maalumu (UWARIDI FUND) kwa minajinali ya kuwainua na kuwakuza kiuandishi waandishi wa Riwaya.” – Lilian Mbaga.
Kitabu hiki kinapatikana kwa bei ya shilingi ELFU 10 tu kwenye maeneo yafuatayo:
DAR ES SALAAM
1) Duka la Kona ya Riwaya Kinondoni Block 41 (0655 428085)
2) Posta Mpya kwa George (0755 454152)
3) Elite Bookshop Tangi Bovu
4) Kariakoo - Mtaa wa Msimbazi na Narung’ombe, nje ya benki ya posta (0712 227 777)
ELITE Bookshop -Arusha,
ELITE Bookshop - Moshi,
ELITE Bookshop - Mwanza,
ELITE Bookshop - Karatu (wilaya),
Elite Bookshop - Dodoma
ELITE Bookshop - Iringa
MBEYA – Edna Ed Tibalema (0625 726640)
Kwa mikoa mingine tutaweza kumfikishia msomaji mpaka mkoa aliopo kwa msomaji husika kuwasiliana moja kwa moja na duka letu la KONA YA RIWAYA kwa namba iliyotajwa hapo juu.
Karibu kuunga mkono juhudi hizi!
Tunaamini kuwa mtaendelea kuunga mkono juhudi hizi za kwanza na za aina yake nchini kwenye kukuza fasihi andishi kwa kukinunua kwa wingi kitabu hiki ili tuweze kuendelea kutoa vitabu zaidi kutoka kwa wanachama wetu na kuweza kukidhi kiu ya wapenda riwaya.
UWARIDI.... NJOO TUNUKIE.

CC. Maundu Mwingizi Lilian Mbaga

Huyu jamaa anayejiita Chameleone ni mtu hatari sana. Yaani ni vyema ukakutana na simba marara kichochoroni unaweza ukanu...
16/06/2018

Huyu jamaa anayejiita Chameleone ni mtu hatari sana. Yaani ni vyema ukakutana na simba marara kichochoroni unaweza ukanusurika! Kuna mzungu anajiita The Cobra alitaka kumjaribu...kikichomkuta akaagiza mamluki kutoka urusi! Mamluki alijuta! Yote haya utayakuta ndani ya kitabu matata, kutoka kwa mtunzi matata, apendaye kujiita K**anda Amata! Ni kitabu cha MPATANISHI!
SASA KIPO MITAANI ikiwa ni matunda ya mwanzo kabisa ya MFUKO WA RIWAYA WA UWARIDI.
Kipate sasa kwa mchango wa elfu 10 tu.

Kitabu bora kabisa cha riwaya kutoka kwa mpwa wangu ndugu Maundu Mwingizi sasa kipo mtaani, Jipatie nakala yako leo.ARUS...
16/06/2018

Kitabu bora kabisa cha riwaya kutoka kwa mpwa wangu ndugu Maundu Mwingizi sasa kipo mtaani, Jipatie nakala yako leo.

ARUSHA:
Idara ya maji - chini ya mti, kwa wauza magazeti, (0755366822)

TABORA:
SOKO kuu (kwa wauza magazeti)

DAR ES SALAAM:
1. DUKA la riwaya, Kinondoni Block 41 (0655428085)

2. Posta mpya, mtaa wa samora, jirani na sanamu ya askari (0755454152)

3. Kariakoo, mtaa wa Msimbazi na Narung'ombe, nje ya benki ya posta (0712227777)

Tsh elfu 10 tu.

Kwa walio nje ya mikoa hiyo, wasiliana na msambazaji wetu kwa namba 0655428085 akutumie popote ulipo.

03/12/2016

UWARIDI APP...riwaya makini...kutoka kwa watunzi makini. Punde kuwa viganjani mwako....

UWARIDI APP...riwaya makini...kutoka kwa watunzi makini. Punde kuwa viganjani mwako....
03/12/2016

UWARIDI APP...riwaya makini...kutoka kwa watunzi makini. Punde kuwa viganjani mwako....

01/01/2014

Happy new year to ya'all outer there, lets go for the good in 2014.. Let's dream BIG, God has always been good to us and yes.. he will always be.. :D

It always begin with an idea... :D
05/11/2013

It always begin with an idea... :D

Address

Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Raymond TheWriter posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share