17/01/2025
Baadhi ya Wadau ndani ya JamiiForums.com wamedai walipotoa taarifa Polisi kuhusu kuibiwa Simu au vifaa vingine vya kielektroniki kulikuwa na hali za kuwataka walipie gharama mbalimbali kwenye Ufuatiliaji na uchunguzi wa taarifa hiyo ikiwemo 'Nauli za kufuatilia Wahalifu'
Vipi Mdau, ulipoibiwa Simu na kutoa Taarifa Polisi ulitakiwa kulipia gharama yoyote au utaratibu wa kukuhudumia ulikuwaje?
Mjadala https://jamii.app/SimuZaWizi