Nunua Uza Fasta Fasta

Nunua Uza Fasta Fasta *Tunakuwezesha kupata:*
1. Mkopo/mtaji wa biashara au mradi wa ufugaji kuku n.k

2. Mahesabu ya mwez

Unatoaje michango ya ujenzi wa madarasa au madawati wakati kuna tozo na mkopo wa uvico ambao inatakiwa tuulipe tupende t...
12/09/2022

Unatoaje michango ya ujenzi wa madarasa au madawati wakati kuna tozo na mkopo wa uvico ambao inatakiwa tuulipe tupende tusipende?

Urusi
09/09/2022

Urusi

28/07/2022

Leo tarehe 28.July.2022 Unataka kununua nini au unataka kuuza Nini?
Piga picha, weka Bei na mahali ulipo kisha tutumie kwa wa.me/255713952266 k**a kweli unataka kuuza haraka au k**a unataka kununua kitu chochote kwa bei chee njoo inbox twambie unataka kununua nin kwa ofa ya shilingi ngapi na wapi unapatkana... Karibu sana muda wowote kuanzia sasa!!!
Tupo hapa muda wote kukusaidia wewe kwa gharama nafuu sana....karibu sana wa.me/255713952266

02/07/2022

Leo 02.july.2022 Unauza au unanunua Nini?
Piga picha na weka Bei kisha tutumie kwa wa.me/255713952266 k**a unauza au
Tupe taarifa ya unachohitaji kununua kwa wa.me/255713952266 tukuwezeshe kununua jwa bei chee au kuuza kwa haraka kwa gharama nafuu sana ufaidike..
karibusasa.

Leo mwanzo wa mwezi 01.07.2022 unataka kuuza au kununua nin?Karibu inbox au wa.me/255713952266 tukuwezeshe kuuza au kunu...
01/07/2022

Leo mwanzo wa mwezi 01.07.2022 unataka kuuza au kununua nin?
Karibu inbox au wa.me/255713952266 tukuwezeshe kuuza au kununua fasta ufaidike

Leo 30 june 2022 unahitaji kuuza au kununua nini fasta?Tuwasiliane tukuwezeshe kuuza au kununua fasta kwa gharama nafuu ...
30/06/2022

Leo 30 june 2022 unahitaji kuuza au kununua nini fasta?
Tuwasiliane tukuwezeshe kuuza au kununua fasta kwa gharama nafuu sana kupitia wa.me/255713952266

Leo 29 june 2022 unahitaji kuuza au kununua nini fasta?Tuwasiliane tukuwezeshe kuuza au kununua fasta kwa gharama nafuu ...
29/06/2022

Leo 29 june 2022 unahitaji kuuza au kununua nini fasta?
Tuwasiliane tukuwezeshe kuuza au kununua fasta kwa gharama nafuu sana kupitia wa.me/255713952266

22/06/2022

Leo tarehe 29.06.2022 unataka kuuza au kununua nin?
Karibu inbox au wa.me/255713952266 tukuwezeshe kuuza au kununua fasta ufaidike

18/06/2022

Mambo vp mdau wetu?
Tunapatikana Posta Mpya, jengo la Tetex House, Ground Floor hapa BizCare Financial Consultancy au *KopaFinancing* hapa Pamba Road Ilala Dsm au kwa 0620518744 au whatsapp tu wa.me/255713952266 Directly kwa *Online Services* k**a unahitaji kuuza au kununua kiwanja, nyumba, mashamba, sheli n.k hapa Dsm au mikoani kwa haraka ili ufanikishe mipango yako fasta kupita kununua au kuuza fasta!
*Pia tunakuwezesha kupata:*
1. Mkopo/mtaji wa biashara au mradi wa ufugaji kuku n.k

3. Business plan au project proposal ya biashara au miradi yako n.k.
3. Business au company profile itakayokuwezesha kuongeza wateja, Kuongeza mauzo n.k
4. Usimamizi wa biashara au miradi yako

5. Ushauri wa biashara, miradi au jinsi ya kupata mtaji au kukuza mtaji n.k

6. Mahesabu ya mwezi au mwaka n.k.

7. Leseni au Tin ya biashara au mradi

8. Kibari cha mradi au biashara

9. Usajiri wa kampuni, kikundi au jina n.k hala brela

10. Kusajiri taasisi ya kukopesha hapa BOT n.k

11. Vibali vya Ku- import magari, simu, nguo, contena n.k na ku- export bidhaa nje ya nchi kupitia bandari au train au airport au barabara n.k

12. Usafri wa kusafirisha mizigo ndani ya nchi na nje ya nchi k**a kupeleka Congo, burundi, Rwanda, zambia, n.k

13. Ushauri wa kuendesha biashara au miradi yako n.k

14. Ushauri wa kundesha na kusimamia professionally wafanyakazi wa kampuni au biashara au miradi yako n.k.

15. N.k

*Kwa Gharama nafuu sana k**a:*
1.๐Ÿ‘‰kuandaa Business plan/company profile professionaly n.k tunachaji kuanzia 100,000 mpaka 10% ya mtaji wa biashara/project tunayoiandika n.k!
2.๐Ÿ‘‰ *Kwenda kukagua site/field/biashara/mradi/shamba/kiwanja/nyumba n.k ni elfu 20 tu ambapo utafaidika kupata ushauri na mafunzo ya kitaalam pale pale site bure kabsa kwa faida yako!*

3. Kukupatia huduma ya Ushauri (consultancy) au connection/link au taarifa sahihi ya kukusaidia wewe hapa ofsini au kwa njia ya simu/whatsap n.k ni kwa ofa ya elfu 10 tu au k**a utatuita tukufuate popote ndani ya DSM ni elfu 20 tu, nje ya dar es salam ni maelewano kulingana na umbali, muda, n.k.

4. kuandaa, kutengeneza na kukufanyia matangazo ya bidhaa au huduma unayouza popote ulipo kwa ofa ya elfu 10 tu kwa sasa! tupigie kwa *Online service namba* 0620518744 au whatsapp only wa.me/255713952266 utwambie unataka kuuza au kununua nini tukuwezeshe kuuza au kukunua haraka utimize malengo yako kupitia platform yetu ya *KuzaCapital Consultants* mitandao yetu yenye wadau zaidi ya laki 1๐Ÿ™๐Ÿฟ

*Karibu sana* au Wasiliana nasi upate *Online Services* au Tukufuate popote ulipo kwa kulipia tu gharama kidogo kwa simu 0620518744 au whatsapp tu wa.me/255713952266 n.k tukuwezeshe kwa haraka kwa gharama nafuu sana by geting professional service you want from
*Share wajukishe na walete ndugu, jamaa, marafiki na wengine wengi zaidi watutumie kuuza/kununua au kutibu biashara/miradi yao mipya inayosuasua au inayoleta hasara badala ya faida au inaleta faida kidogo kidogo n.k ufaidike!*

Karibu sana share wajulishe na walete marafki zako, wanakikundi, staffwenzako, majiran n.k tuwawezeshe ujikwamue ufaidike kwa ifa zetu mbalimbali.
Pia tunakuwezesha popote ulipo kupata online service kupitia 0620518744 au whatsapp tu wa.me/255713952266
Or
Follow this link to join our WhatsApp group: https://chat.whatsapp.com/KeRzZ825pylBGGBqSzvi37

19/01/2018

TANGAZO BORA KWA MAENDELEO YAKO NA FAMILIA YAKO!*
*LISOME KWA MAKINI NA WASHIRIKISHE WENZAKO au uwapendao WENYE KUPENDA MAENDELEO NA UWEKEZAJI KWENYE NYUMBA/VIWANJA N.K*

*NYUMBA YA KIBIASHARA AU MAKAZI N.K INAUZWA KIGOGOFRESH PUGU,DAR ES SALAAM. INA VYUMBA VITANO YAANI SEBULE, STOO, MASTERBED ROOM 2, FREM ZA BIASHAR 2, KISIMA CHA MAJI NJE NA UWANJA MKUBWA WA MITA 50 UREFU NA UPANA WA MITA 30, UMBA KUTOKA BARABARA KUU NI MITA 500.... IPO KARIBU NA BAR YA CHEKIPOINT KIGOGOFRESH- MTAA WA MSTAFA!*

*USIOGOPE, KARIBU KWA BIASHARA KABLA WENGINE HAWAJAWAHI ILI UKAFANYE AU MKAFANYE UWEKEZAJI WA BIASHARA, NYUMBA ZA KUPANGA, SHULE, CHUO, UFUGAJI SAMAKI N.K KUPITIA WEWE BINAFISI AU KIKUNDI N.K*

*BEI ni 55M NYUMBA AU KIWANJA CHOTE!*

*INBOX AU CALL KWA DETAIL ZAIDI NA MAONGEZI YAPO K**A UNAHTAJI AU MNAHITAJI MAANA UNAWEZA KATA UKAPATA KIWANJA AU NYUMBA NA KIWANJA!*

*0713952266 AU 0765154244!*

12/01/2018

*TANGAZO* *TANGAZO* Ambalo ni Muhimu sana kwako wewe na wengine uki share kwenye magroup mengine au watu wengine n.k!!!

*NYUMBA YA BIASHARA YENYE FREM ZA BIASHARA NA WAPANGAJI INAUZWA KIGOGOFRESH- PUGU- GONGOLAMBOTO- ILALA- DAR ES SALAAM,*
UKUBWA WA NYUMBA NI *UREFU wa FUTI 66, UPANA wake ni FUTI 22,* pia ina VYUMBA VITATU vya MASTER, choo cha public, FREM 2 za duka/biashara, SEBURE NA CHUMBA KIMOJA, Pia ina maji ya kisima na *uwanja mkubwa sana sana*! GARI ZINAFIKA!!!!

*ENEO LA UWANJA NI UREFU MITA 50 NA UPANA MITA 30---pia PANAFAA KUWA SHULE, CHUO, KANISA, BAR, HOTEL N.K!*

*UMBALI TOKA BARABARANI NI CHINI YA MITA 500 (NUSU KILOMITA), pia ina maji*

*BEI IMESHUKA KUTOA market price ya 100 MILIONI NA SASA INAUZWA KWA OFA YA 75 MILIONI ILA MAONGEZI KIDOGO YAPO na unaweza lipia nusu halafu inayobaki ukaendelea kulipa kidogo kidogo kwa makubaliano ya muda maalum*

*karibu sana sana na tena wahi k**a KWELI unahitaji wewe binafsi, kikundi, ndugu, marafiki, majirani, kampuni, shirika, taasisi, n.k. kabla wanaojua bei za nyumba zenye eneo KUBWA uwanja wa viwanja zaidi ya sita (6) vyenye ukubwa wa zaidi ya mita 15 kwa mita15 kwa thamani ya zaidi ya milion 7 kwa kila kimoja na ukiongeza nyumba hiyo ya biashara/kuishi ambayo thamani yake inaongezeka kila siku kwa vile ina frem za biashara, vyumba vya kupangisha/kuishi, maji n.k tena ipo karibu na business area ya soko la kigogofreshi au railway stesheni ya kigogoFresh!
- Pugu, Dar es salaam!*

*Wahi mapema k**a unataka kuongeza thamani ya hela yako kupitia kuwekeza kwenye nyumba na viwanja vya biashara ya kupangisha, shule, kanisa,msikiti, chuo, ufugaji ng'ombe/kuku/mbuzi/bata/samaki n.k*!

*Plz! kwa mtu binafsi au kikundi au taasisi au kampuni n.k anayehiyaji au wanaohitaji na kuonw fursa hii ya kuongeza thaman za hela kuliko kuiweka tu pesa benki tuwasiliane kwa call/text/inbox only *0713952266*au *0765154244*.
au
*Tutembelee ofsini kwetu mawasiliano- Stendi ya Daladala Ubungo- Dar es salaam kuanzia saa 1asubuhi mpaka saa 11jioni!*

*karibu sana Mtu wa Mungu tufanye biashara, usiogope hatutashindwana, tutakusikiliza na tutakuwezesha ulipe kulingana na uwezo wako*!!!

Address

Dar Es Salam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Nunua Uza Fasta Fasta posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Nunua Uza Fasta Fasta:

Share