TIBA LISHE

TIBA LISHE TIBA LISHE _ BF SUMA 🇹🇿🇱🇷

*Kwa wenye kujali au kusumbuliwa na shida ya ngozi iwe wewe au mtoto au mwenza basi usisite kutumia tiba hii ya sabuni (...
17/08/2024

*Kwa wenye kujali au kusumbuliwa na shida ya ngozi iwe wewe au mtoto au mwenza basi usisite kutumia tiba hii ya sabuni (Anatic Herbal essence soap) Bora kabisa yenye kusaidia...*

❇️Kufanya ngozi iwe nyororo iwe Kwako au mtoto.

❇️Kuondoa madoa au Chunusi au rangi nyeuso kwenye ngozi iwe kwako au mtoto.

❇️Kuondoa vipele vitokanavyo na bacteria au vimelea mbalimbali.

❇️Kuondoa shida ya fangasi wa ngozi iwe fangasi kwako wa mapajani, chini ya maziwa, fangasi Kwa mwenza k**a fangasi wa sehemu za Siri (ngozi ya korodani).

❇️Kuboresha ngozi iliopauka kutokana na jua au baridi au kutokana na mafuta.

❇️Husaidia Kuondoa miwasho na ukavu wa ngozi.

❇️Kutibu allergies au uzio wa ngozi kutokana na Kinga za mwili lakini hapa utapewa na dawa nyingine.

❇️Hutumika k**a mbadala wa mafuta Kwa watoto ambao mafuta yote yamewakataa.

Agiza Leo Kwa manufaa ya ngozi Yako kugh'arisha, kufanya iwe nyororo na kuvutia.

Kwa 15,000 tu unapata na unatumia zaidi ya miezi miwili bila kuisha na matokeo makubwa...🧑‍⚕️

Epuka kutumia mafuta ya kuchubua ngozi Ili kugh'aa au Kuondoa madoa au Chunusi ni hatari Kwa ngozi.

na Raphael #
bora #

Ifanye asubuh Yako kuwa nzuri yenye kuboost performance Yako!Anza asubuh na light exercise au mazoezi rahisi mfano-Kukim...
22/05/2024

Ifanye asubuh Yako kuwa nzuri yenye kuboost performance Yako!

Anza asubuh na light exercise au mazoezi rahisi mfano
-Kukimbia Kwa dakika 15

-Kupiga push up walau 25

-kuruka Kamba round 100

*Fungua kinywa Kwa vitu Bora mfano*

1.Chai ya tangawizi na sukari nusu kijiko

2.Chai ya tangawizi yenye kutumia asali mbadala wa sukari

3.Kutumia kahawa(coffee)

4.Husisha protein kwenye breakfast Yako

5.Balance carbohydrates au wanga kwenye breakfast Yako.

NB. Customize kulingana na upatikanaji wake na ratiba Yako.

*Ukiwa na changamoto usisite tuna toa msaada na tiba.*

Tezi dume inatibika kabisa 🧑‍⚕️ chukua hatua
18/04/2024

Tezi dume inatibika kabisa 🧑‍⚕️ chukua hatua

18/04/2024
JE UNAFAHAMU KUWA UTI SUGU & FANGASI SUGU ZINAPOJIRUDIA   HUPELEKEA PID , KANSA YA KIZAZI, VIMBE, NA UGUMBA?..Miongoni m...
18/04/2024

JE UNAFAHAMU KUWA UTI SUGU & FANGASI SUGU ZINAPOJIRUDIA HUPELEKEA PID , KANSA YA KIZAZI, VIMBE, NA UGUMBA?..

Miongoni mwa dalili za UTI au fangasi.

1. Maumivu wakati wa kukojoa au tendo

2. Miwasho

3. Kutokwa na uchafu usio wa kawaida.

4. Mkojo usio wa kawaida

5. Maumivu ya kiuno au mgongo

Inawezekana unakosa amani na UTI au fangasi sugu Kila wakati lakini wengi wamepona kupitia kuwasaidia.

Usisubiri kesho Anza tiba sasa na kuondokana na shida sugu na kuepuka madhara makubwa

Tuna offer ya punguzo la bei Kwa 38,000 tu badala ya bei halisia ~45,000~ Kwa siku Tano tu wahi sasa.

Piga simu uhudumiwe sasa
+255687807361

Au bonyeza neno whassap apo chini..

JE UNAFAHAMU KUWA UTI SUGU & FANGASI SUGU ZINAPOJIRUDIA   HUPELEKEA PID , KANSA YA KIZAZI, VIMBE, NA UGUMBA?..Miongoni m...
10/03/2024

JE UNAFAHAMU KUWA UTI SUGU & FANGASI SUGU ZINAPOJIRUDIA HUPELEKEA PID , KANSA YA KIZAZI, VIMBE, NA UGUMBA?..

Miongoni mwa dalili za UTI au fangasi.

1. Maumivu wakati wa kukojoa au tendo

2. Miwasho

3. Kutokwa na uchafu usio wa kawaida.

4. Mkojo usio wa kawaida

5. Maumivu ya kiuno au mgongo

Inawezekana unakosa amani na UTI au fangasi sugu Kila wakati lakini wengi wamepona kupitia kuwasaidia.

Usisubiri kesho Anza tiba sasa na kuondokana na shida sugu na kuepuka madhara makubwa

Tuna offer ya punguzo la bei Kwa 37,000 tu badala ya bei halisia ~45,000~ Kwa siku Tano tu wahi sasa.

Kwa huduma za haraka Piga simu
0782488981

Au bonyeza neno whassap apo chini..

Je umekuwa ukisumbuliwa na shida ya kutobeba UJAUZITO kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo....1. Kuwa na uvimbe kwenye ...
10/11/2023

Je umekuwa ukisumbuliwa na shida ya kutobeba UJAUZITO kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo....

1. Kuwa na uvimbe kwenye kizazi
2. Kuwa na shida ya hormone imbalance( kukosekana Kwa uwiano wa hormone)
3. Kuwa na shida ya hedhi
4. Kuwa na shida ya PID , UTI sugu, fangasi sugu au Ugonjwa wowote ule.
5. Shida ya ovulation ( shida ya mayai)
6. Mirija ya fallopiani kuziba.
7. Kuwa na shida ya ukuta wa tumbo la uzazi.
8. Kuwa na uzito kupitiliza
9. Kuwa na msongo wa mawazo

Habari njema ni kwamba inawezekana kuitwa mama 🫄🫄

Naomba nilejee maana kamili ya kutobeba UJAUZITO
-- Hii ni Hali inayowakuta wanandoa au mke na mme Kushindwa kutungisha ujauzito Kwa kipindi Cha miezi kuanzia 12 au zaidi pasipo kutumia Kinga au njia yeyote ya uzazi wa mpango.

Na hii husababishwa na sababu za aina nne ikiwemo...

Moja, inawezekana mwanamke pekee ndio chanzo cha shida.

Pili, inawezekana mwanaume ndio chanzo pekee.

Tatu, Inawezekana mwanamke na mwanamke wote wanachangia Hali ya kutobeba ujauzito.

Nne , inawezekana ikatokea kutokana na sababu zisizofahamika yaani unakuta Kila mmoja yupo sawa kabisa.

Wengi hupitia shida hii na kunywa Kila dawa wakiambiwa itafanya upate mimba pasipo kutibiwa kutokana na sababu iliofanya ushindwe kubeba ujauzito au kuhudumiwa na mtu asiyejali tamanio la moyo wako.

Epuka kunywa Kila dawa na Anza Leo program maalumu ya kukusaidia kutimiza tamanio lako la kubeba ujauzito .

Hii ni program maalumu itakayo kukusaidia kutimiza lengo lako Kwa wakati na hii program itahusisha...

1. Mazungumzo ya mwanzo na kupata taarifa kamili za uzazi zinazokuhusu wewe na mwenza wako kujua sababu zinazopelekea ushindwe kubeba ujauzito.

2.Matibabu ya awali Kwa shida zilipatikana kwenye mazungumzo ya awali , Hi inaweza kuwa UTI sugu, fangasi sugu, hormone imbalance, PID au uvimbe.

3. Vipimo vya awali Kwa ajiri ya kujua afya ya viungo vya uzazi na kujua k**a matibabu ya awali yametibu kabisa shida za awali.

4. Matibabu kamili baada ya vipimo vya awali na kumaliza kabisa
Mawasiliano
0782488981
0655151092

ANZA SASA
#

Je umekuwa ukipitia shida wakati wa tendo ikiwemo.....👉 Kuwahi kufika tendoni👉Kushindwa kurudia tendo👉 Kusimamisha legev...
17/10/2023

Je umekuwa ukipitia shida wakati wa tendo ikiwemo.....

👉 Kuwahi kufika tendoni
👉Kushindwa kurudia tendo
👉 Kusimamisha legevu
👉 uchovu baada ya tendo
👉Kukosa hisia za tendo

K**a unapitia hayo nna habari njema kuwa tunatiba inayosaidia kutibu na kutojirudia Tena, Imetengenezwa na ...
1. Fresh maca*
2. Ginseng powder*
3. Tongkat ali*
4. Epimedium*
Viambata hivi vimetoka nchi za
KOREA,CHINA,USA,INDIA,PERU

⚫FAIDA ZA KUTUMIA X POWER MAN COFFEE BFSUMA
♂️Kuimarisha misuli ya mashine na kuwa bora zaidi na Nguvu mara dufu wakati Wa tendo.

♂️Kuupa mwili Nguvu zaidi

♂️Kusaidia kurudia tendo la ndoa mara nyingi zaidi yani ukimaliza mshindo Wa kwanza unauwezo Wa kuendelea zaidi.

♂️Kumpa mtu hamu ya tendo hata k**a iliisha kabisa na kurudia zaidi.

♂️Kuondoa uchovu na stress,kuzuia hatari ya kupata Magonjwa ya moyo.

♂️Kuilinda na kuipa afya tezi

♂️Kufanya isimame barabara k**a msumari

♂️Kusafisha mishipa ya damu

♂️Kuongeza ubora Wa mbegu na kuzifanya ziwe na kasi

Mawasiliano
0655151092
0782488981

na isijirudie tena # usiogope inatibika🤝

Je ngozi yako inachangamoto zifuatazo ?1:chunusu sugu2:miwasho3:harahara4:mabaka mabaka 5:vipele hapa kuna ugonjwa unazi...
11/10/2023

Je ngozi yako inachangamoto zifuatazo ?
1:chunusu sugu
2:miwasho
3:harahara
4:mabaka mabaka
5:vipele hapa kuna ugonjwa unazidi kusambaa haswa vipele nyuma ya shingo k**a picha hapo chini
K**a jibu ni ndio karibu nikupe suruhisho la hayo yote
Kwa mawasiliano
0782488981
0655151092

DETOXILIVE ni Bidhaa BORA na ya ASILI iliyotokana na mchanganyiko wa MIMEA na MATUNDA mbali mbali ambavyo vimekua vikitu...
10/10/2023

DETOXILIVE ni Bidhaa BORA na ya ASILI iliyotokana na mchanganyiko wa MIMEA na MATUNDA mbali mbali ambavyo vimekua vikitumika kutibu Maradhi SUGU katika nchi mbalimbali Duniani

Bidhaa Hii ni Muhimu sana Kwa kila BINADAMU kutokana na kazi zake MEILINI na KATIKA organs K**a vile FIGO,INI ,MAPAFU,KONGOSHO,Ubongo

1) Inatoa sumu zote mwilini.

2) Inaimarisha ubongo na kutunza kumbukumbu

3) Inaondoa madhara ya pombe kwa wanywaji na kulinda INI na FIGO

4) Inaondoa mafuta yaliyozidi mwilin, baada ya kula hutumiwa Kuzuia kuota vitambi,

5) Inaondoa sukari iliyozid mwilin Na ni nzuri kwa wenye shinikizo la damu (presha)

6) Inaleta usingizi Mzuri sana

7)Ina ondoa URIC ACID mwilini

8)Inaimarisha UTENDAJI KAZI MZURI na kuzuia madhara kwenye FIGO,INI,KONGOSHO,mapafu

9) Inazuia na kuondosha tatizo la MAWE KWENYE FIGO na KIBOFU cha mkojo

10) Inazuia kuganda Kwa mafuta Tumboni ambayo hupelekea Kitambi

NB: Nzuri kwa wagonjwa wa FIGO na INI

Address

Dodoma

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00
Saturday 09:00 - 17:00
Sunday 09:00 - 17:00

Telephone

+255655151092

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when TIBA LISHE posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to TIBA LISHE:

Share