24/07/2024
Habari Ndugub Zangu Wadau Wa Utalii na Washirika Wangu Kwenye Biashara Matumaini Hamjambo Nyote,
Najua Mnajiuliza Kwa Nini Niko Kimya Sana Situmi taarifa Zinazohusu Kazi Zangu Nilizofanya Au Ninazofanya Na Wateja Wangu,Nichukue Nafasi Hii Kuwaambi Kwamba Sipo Kimya Bali Sote tunaelewa Kipindi Hichi Ni Kipindi Cha Kazi Nyingi tupo Kwenye Msimu Wa Kazi Hivyo Naendelea Kukusanya Taarifa Mbali Mbali Hasa Kupitia Vidoe Clip Au Photo Picture Ninazochukuaga Na Wageni Wanaofika Kwangu Kwa Ajili ya Chakula Na Malazi Kwenye Moja ya Lodge Ninayofanyia Promotions.
Endeleeni Kunifuatilia Kupitia Social Network Zangu,WhatsApp Groups Zangu Na Bila Kusahau Kuniletea au Kunitumia Wageni Kwa Ajili ya Kuwahudumia.
Kipindi Cha Law_season Nitaanza Kurusha Kazi Zangu Zote Nilizozifanya Ndani Ya msimu Mzima Nikiwa Na Wageni Wangu Kutoka Kwenye Kampuni tofauti tofauti Ndani Na Nje ya Nchi,Endeleeni kunifuatilia.
Nawashukuru Nyote Kwa Ushirikiano Mlionionyesha Na Mnaoendelea Kunipa Kwa Kuniamini Na Kunitumia Wageni Kwa Ajili Ya Chakula Na Malazi Hapa Wilayani Karatu na Hifadhi Ya taifa Ya Serengeti.