Somse Marke

Somse Marke Somse Marke will give you some of Daily news from other medias and it's own programs accordingly
(1)

Thanks to all who are keeping following, liking, commenting and sharing what we post and provide on our page

Nchi zifuatazo zitakuwa na wawakilishi wanne katika mashindano ya klabu bingwa ya CAF msimu ujao. Klabu mbili katika Lig...
09/05/2026

Nchi zifuatazo zitakuwa na wawakilishi wanne katika mashindano ya klabu bingwa ya CAF msimu ujao. Klabu mbili katika Ligi ya Mabingwa ya CAF na mbili katika Kombe la Shirikisho la CAF. ๐ŸŒ๐Ÿ†

๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ฌ Misri
๐Ÿ‡ฒ๐Ÿ‡ฆ Moroko
๐Ÿ‡ฉ๐Ÿ‡ฟ Algeria
๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ณ Tunisia
๐Ÿ‡ฆ๐Ÿ‡ด Angola
๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฎ Cรดte d'Ivoire
๐Ÿ‡ฒ๐Ÿ‡ฑ Mali
๐Ÿ‡ณ๐Ÿ‡ฌ Nigeria
๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฉ DR Congo
๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡ฆ Afrika Kusini
๐Ÿ‡ธ๐Ÿ‡ฉ Sudan
๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ Tanzania

Tukutane kwenye Comment
08/05/2026

Tukutane kwenye Comment

Je ni mapema kuilinganisha combination hii na ila ya Lampard & Drogba?
08/05/2026

Je ni mapema kuilinganisha combination hii na ila ya Lampard & Drogba?

Mashabiki wa klabu ya Real Madrid wanataka mshambuliaji wao Kylan Mbappe kuondoka. Tayari wametia saini milioni 33 ikiwa...
08/05/2026

Mashabiki wa klabu ya Real Madrid wanataka mshambuliaji wao Kylan Mbappe kuondoka. Tayari wametia saini milioni 33 ikiwa ni ndiyo idadi kubwa zaidi kwenye historia ya soka. Awali walikusudia kupata saini laki mbili.

Mashabiki wameonyesha kutoridhishwa na Mbappรฉ kufuatia ripoti kwamba alikuwa likizoni nchini Italia, licha ya klabu kusema kuwa alikuwa mapumzikoni kwa ajili ya kuuguza jeraha la paja. Mbappe aende ama abaki?

Najua Simba SC Tanzania hawajavua uteja kwa Young Africans Sports Club na hivyo dhamira ya wanachama na mashabiki wa tim...
08/05/2026

Najua Simba SC Tanzania hawajavua uteja kwa Young Africans Sports Club na hivyo dhamira ya wanachama na mashabiki wa timu hizo ni kuona nani akitwaa CRDD BANK FEDERATION CUP

Je nani kufika Fainali?

GOLI LA 971 KWENYE REKODI YAKE YA SOKAHabari za moto kutoka Kwa Nyota! Cristiano Ronaldo ameandika ukurasa mpya wa histo...
08/05/2026

GOLI LA 971 KWENYE REKODI YAKE YA SOKA
Habari za moto kutoka Kwa Nyota! Cristiano Ronaldo ameandika ukurasa mpya wa historia kule Saudi Arabia baada ya kufunga bao lake la 100 kwenye Saudi Pro League, akiipeleka Al Nassr karibu na taji la ligi. Hii ni rekodi ya kipekee CR7 sasa ndiye mchezaji wa kwanza duniani kufunga mabao 100+ kwenye ligi tatu tofauti: LaLiga, Premier League na sasa SPL. ๐Ÿ๐Ÿ’ฏ

Safari ya Ronaldo Saudi Arabia
2022/23: Alijiunga katikati ya msimu, mechi 16 tu lakini akafunga mabao 14.

2023/24: Moto ulizidi! Mabao 35 kwenye mechi 30, akavunja rekodi ya Abderrazak Hamdallah na kuchukua Golden Boot.

2024/25: Akaendelea na ubabe โ€“ mabao 25 kwenye mechi 30, Golden Boot ya pili mfululizo.

2025/26: Msimu huu amefunga bao la 100 baada ya kufikisha mabao 25 kwenye mechi 28, na bado mechi mbili zimesalia.

Mwamuzi raia wa Austria mwenye asili ya Romania, Christian-Petru Ciochirca, ameteuliwa kuchezesha dabi kali ya Tunisia (...
08/05/2026

Mwamuzi raia wa Austria mwenye asili ya Romania, Christian-Petru Ciochirca, ameteuliwa kuchezesha dabi kali ya Tunisia (Tunis Derby) kati ya vinara wa msimamo wa ligi ya nchi hiyo, Club Africain, na wapinzani wao Espรฉrance de Tunis itakayopigwa Mei 10.

Mechi hiyo ya mzunguuko wa 29 ni ya uamuzi katika mbio za ubingwa, kwani timu hizo zinatofautiana kwa pointi mbili pekee zikisalia mechi mbili msimu kumalizika.

Uteuzi wa mwamuzi huyo wa kigeni unalenga kuhakikisha haki na utulivu kwenye mtanange huo wenye presha kubwa.

Je mkeka kupinduliwa leo?
08/05/2026

Je mkeka kupinduliwa leo?

๐Ÿšจ ๐Ž๐Ÿ๐Ÿ๐ข๐œ๐ข๐š๐ฅ:Hakuna mabadiliko yatakayofanywa katika muundo wa Ligi ya Mabingwa au Kombe la Shirikisho la CAF msimu ujao.V...
07/05/2026

๐Ÿšจ ๐Ž๐Ÿ๐Ÿ๐ข๐œ๐ข๐š๐ฅ:

Hakuna mabadiliko yatakayofanywa katika muundo wa Ligi ya Mabingwa au Kombe la Shirikisho la CAF msimu ujao.

Vyama 12 vya juu zaidi bado vitakuwa na wawakilishi wawili katika mashindano yote mawili.

CAF pia imehamisha tarehe ya mwisho ya usajili kutoka Juni 30 hadi Julai 31 kutokana na Kombe la Dunia la FIFA la 2026, kwani baadhi ya nchi zinatarajiwa kuchelewesha kuthibitisha vilabu vyao vinavyoshiriki.

Simba SC Tanzania Wahamia KMC k**a uwanja wao wa Nyumbani
07/05/2026

Simba SC Tanzania Wahamia KMC k**a uwanja wao wa Nyumbani

๐Ÿšจ ๐๐‘๐„๐€๐Š๐ˆ๐๐†:Al Ahly SC itafikiria kutoshiriki Kombe la Shirikisho la CAF msimu ujao wa 2026/27 ikiwa watamaliza katika na...
07/05/2026

๐Ÿšจ ๐๐‘๐„๐€๐Š๐ˆ๐๐†:

Al Ahly SC itafikiria kutoshiriki Kombe la Shirikisho la CAF msimu ujao wa 2026/27 ikiwa watamaliza katika nafasi ya 3 katika Ligi Kuu msimu utakapoisha Mei 20.

Hata hivyo, watacheza katika Ligi ya Soka ya Afrika ikiwa CAF itaanzisha tena, inaripoti ๐Œ๐จ๐ก๐š๐ฆ๐ž๐ ๐’๐ก๐š๐›๐š๐ง๐š. ๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ฌ

๐ญ๐ก๐จ๐ฎ๐ ๐ก๐ญ๐ฌ? ๐Ÿ‘€

Address

Somse Squad Quarters
Mbeya
BOMBAMBILI-MWAKIBETE

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 14:00
Saturday 10:00 - 14:00
Sunday 10:00 - 14:00

Telephone

+255620578498

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Somse Marke posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Somse Marke:

Share