Mtukwao Community Media

Mtukwao Community Media Mtukwao Community Media

Kutoka kwenye ukurasa wa Mh. Rais Samia Suluhu Hassan Miundombinu yetu,Treni yetu,Fahari yetu.Leo nimesafiri kwa treni y...
17/05/2025

Kutoka kwenye ukurasa wa Mh. Rais Samia Suluhu Hassan

Miundombinu yetu,
Treni yetu,
Fahari yetu.

Leo nimesafiri kwa treni ya SGR toka Dar es Salaam kwenda Dodoma. Hakika Watanzania tunayo kila sababu ya kujivunia hatua kubwa tunazoendelea kupiga k**a Taifa.

Nikiwa Dodoma pamoja na kazi nyingine, nitaboresha taarifa zangu katika Daftari la Kudumu la Mpigakura katika Ofisi ya Kijiji, Chamwino. Ninawasihi wananchi wenzangu tuendelee kujitokeza kwa wingi kujiandikisha na kuboresha taarifa zetu, ili tutumie haki yetu ya kikatiba ya kushiriki Uchaguzi Mkuu, Oktoba mwaka huu.



26/03/2025

Programu Jumuishi ya Taifa ya Malezi, Makuzi na Maendeleo ya Awali ya Mtoto (PJT- MMMAM )
Comments zako zitasomwa mubashara kwenye kipindi pia unaweza kutuma sms kupitia namba 0717 84 19 29
-MMMAM






@

Jinsi teknolojia ya habari, inavyo weza kuinua uchumi kwenye vituo vya radio
14/09/2023

Jinsi teknolojia ya habari, inavyo weza kuinua uchumi kwenye vituo vya radio

Keifo FMElimuJinsi teknolojia ya habari, inavyo weza kuinua uchumi kwenye vituo vya radio Jinsi teknolojia ya habari, inavyo weza kuinua uchumi kwenye vituo vya radio 12 September 2023, 10:58 Muwezeshaji Amua Rush*ta akiendelea kutoa Elimu ya Habari Mtandao kwa Wandishi wa habari Jijini Mbeya.Picha....

TADIO - Tanzania Development Information Organization watoa mafunzo kwa wahariri na wataalamu wa  kidigitali Mkoani Mbey...
12/09/2023

TADIO - Tanzania Development Information Organization watoa mafunzo kwa wahariri na wataalamu wa kidigitali Mkoani Mbeya

Baraka FMElimuTADIO yawanoa wahariri, watalaam wa kidijitali mikoa ya Nyanda za Juu Kusini TADIO yawanoa wahariri, watalaam wa kidijitali mikoa ya Nyanda za Juu Kusini 11 September 2023, 23:27 Baadhi ya washiriki wa mafunzo wakifuatili kwa makini mafunzo wanayopewa. picha na Hobokela Lwinga Katika k...

13/02/2019

๐Ÿ“ป ๐—›๐—ฎ๐—ฝ๐—ฝ๐˜† ๐—ช๐—ผ๐—ฟ๐—น๐—ฑ ๐—ฅ๐—ฎ๐—ฑ๐—ถ๐—ผ ๐——๐—ฎ๐˜† ๐Ÿฎ๐Ÿฌ๐Ÿญ๐Ÿต! ๐Ÿ“ป
๐ŸŽ‰๐ŸŽ‰๐ŸŽ‰๐ŸŽ‰๐ŸŽ‰๐ŸŽ‰๐ŸŽ‰๐ŸŽ‰๐ŸŽ‰๐ŸŽ‰๐ŸŽ‰๐ŸŽ‰๐ŸŽ‰
From CRP we are happy to announce that after long idle CRP is now ready to take the next step. In cooperation with TADIO, Unesco Dar Es Salaam and VIKES Viestintรค ja kehitys -sรครคtiรถ we have started to plan the next phase of of the Community Radio Portal.



Thank's for all the followers and ๐™จ๐™ฉ๐™–๐™ฎ ๐™ฉ๐™ช๐™ฃ๐™š๐™™ for more exciting news in the near future!

29/01/2019

The World Radio Day is celebrated every year on 13th February. Can you share how Radio has shaped your life? Take a photo or selfie with a Radio and share in your social media with the following Hashtags , , before 05th February 2019. The person who gets more likes will be invited to celebrate the World Radio Day in Tanga.
SWAHILI
Redio imekusaidiaje katika kupata taarifa? Piga picha ukiwa na redio na utume kwenye mitandao ya kijamii uweze kushiriki kwenye maadhimisho ya Siku ya Redio Duniani. Mshindi mwenye โ€œlikesโ€ nyingi ataalikwa kwenye maadhimisho yatakayofanyika kitaifa Jijini Tanga. Tafadhali tumia hashatags zifuatazo, , , . Mwisho ni Tar 05/02/2019

Send a message to learn more

23/12/2017

WANANCHI WA MKOA WA MTWARA NA MIKOA JIRANI WAMEHASWA KUTUMIA FURSA YAKIBIASHARA KATI YA TANZANIA NA COMORO ILI KUIMARISHA UCHUMI December 23, 2017Jamii Fm Radio Leave a Comment Na Gregory Millanzi Chama cha Wafanyabiashara Viwanda na Kilimo Mkoa wa Mtwara (TCCIA)wamesaini hati ya makubaliano ya kibi...

22/12/2017

WATOTO WOTE WAPEWE ELIMU SAWA December 22, 2017Jamii Fm Radio Leave a Comment Na Habiba Mpimbita Wananchi wa Mkoa wa Mtwara na wilaya zake wametakiwa kuachana na mawazo mgando ya kuwabagua watoto kijinsia katika suala la utoaji wa elimu ili kuwajengea misingi bora watoto wao. Hayo yamesemwa na Afisa...

15/12/2017

IPI NAFASI YAKO KATIKA KUWASAIDIA WATU WENYE MAHITAJI MAALUM December 15, 2017Jamii Fm Radio Leave a Comment Katika jamii yoyote watu hutambuana kwa makundi tofauti kutegemea na jinsi ambavyo jamii husika huishi. Kwa mujibu Wa katiba ya Jamhuri ya Tanzania inasema kuwa kila MTU ana haki sawa, na pia...

13/12/2017

TANZIA TANZIA TANZIA!
Nimepokea Kwa mshtuko mkubwa taarifa ya kuondokewa na k**anda na kiongozi wa kanda yetu ya Nyasa Kamanda Jacob Kalua!

Kamanda Kalua ameondoka katika kipindi ambacho chama na Taifa likihitaji sana mchango wake katika kuipigania demokrasia ambayo Kwa sasa ipo ICU katika Taifa letu.

Nakumbuka ulinipokea tar 22.11.2017 Uyole usiku ukiwa pekee yako nikitokea Dar kwa ajiri ya ziara yangu Kanda ya Nyasa Kata ya Ibighi, Ndalambo na Sumbawanga Asilia wakati wa kampeni za uchaguzi mdogo, huko kote nilikuwa na wewe mpaka tunarudi 27.11.2017 nikakuacha Uyole nami kurudi Iringa Usiku. Mara ya mwisho nimezungumza na wewe Kamanda nikakutia moyo ukiwa Ikonda leo hauko nasi inauma sana. Tutakukumbuka sana kwa mchango wako Kamanda Kalua kwa namna ulivyokipigania Chama chetu na Taifa lako katika kipindi chote cha uhai wako, umetuachia pengo kubwa ambalo Kwa hakika ni changamoto kwenu.

Nenda kijana Mwenzangu msalimie Comrade Alphonce Mawazo na wengine wote, Waambie tupo Imara na 2020 tunakwenda kuichukua Dola na kuleta mabadiliko ya kweli Kwa nchi yetu.

Rest in Peace Comrade Jacob Kalua.
Bwana alitoa na Bwana ametwaa, jina lake lihimidiwe!

Patrick Ole Sosopi
Mwenyekiti Bavicha Taifa
December 13, 2017
Nairobi

13/12/2017

Na Gervace massawe Naibu katibu mkuu wa wizara na sheria Amon Mpanju ameongoza wadau mbalimbali wanaojihusisha na masula ya utoaji wa msaada wa kisheria kati...

Address

Mtukwaomedia. Or. Tz
Mikindani

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Mtukwao Community Media posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share