13/06/2020
Soma mpka mwisho
Mchoro huu unahadith ya m2 mmoja maskin aliyeishi enz za mfalume louis 14 wa ufaransa
Maskin uyo alihukumiwa kifo kwa kosa la kuiba mkate tu
ilitakiwa afungiwe ndan kwa siku kadhaa bila kula chochote kile ili afe kwa njaa hyo ndio hukum iliyotolew juu yake hivo akafungwa jela pasipokua na chakula wala maji ili afe kw njaa na kiu
Lakin bint yake na m2 uyo aliomba ruhusa yakua anaenda kila cku kumtembelea baba yake kifungon aliruhusiwa kwa shart lakutokumpelekea k2 chochote cha kula ili mzee afe kwa njaa
Huyo bint akawa anaenda kila sk kumuona baba ake na katika kipind cha miez minne maaskar wakashangaa sana kumuona muhukumiwa hajafa kwa njaa
Walinz wamagereza wakaamua kuanza kupeleleza kwa siri wapate kujua nn kinamfanya yule mzee aweze kustahimili
njaa kwa miez minne wakapeleleza na mwisho wa sku wakaja kumfuma yule bint wa muhukumiwa akiwa anamnyonyesha baba ake k**a inavyoonyesha picha hapa chin
Kumbe wakati wote alipokua akienda kumtembekea baba ake alikua hawez kumletea k2 chochote lakin alikua akimnyonyesha ili asife kwa kukosa chakula mawakili walipoipata habar hii walishndwa kukasilika wenye mioyo miepes walimwaga machoz na wengne wakaomba hukum ya kufa kwa njaa ifutwe juu ya baba yule
HADITHI HII INANIFANYA NIJIULIZE JE KWEL WANAWAKE NI DHAIFU K**A WANAVYODAI BAADHI YA WATU
CKU ZOTE CTOKAA NIKASAHAU UJITOAJ WA MWANAMKE KATIKA KUHAKIKISHA USALAM WA UHAI WETU
WANAWAKE WOTE POPOTE MUNGU AWABARIK SANA
Ucsahau kulike na kushere