Adrix Media

Adrix Media ๐‰๐จ๐ฎ๐ซ๐ง๐š๐ฅ๐ข๐ฌ๐ญ ๐™ฑ๐™ฐ ๐š’๐š— ๐™ผ๐šŠ๐šœ๐šœ ๐™ฒ๐š˜๐š–๐š–๐šž๐š—๐š’๐šŒ๐šŠ๐š๐š’๐š˜๐š— ๐šŠ๐š—๐š ๐™น๐š˜๐š›๐š—๐šŠ๐š•๐š’๐šœ๐š–

BODI YA KAHAWA TANZANIA ( TCB) IMETANGAZA TAREHE YA UFUNGUZI WA MSINGI WA KAHAWA KATIKA MIKOA YOTE TANZANIA INAYOLIMA ZA...
25/04/2026

BODI YA KAHAWA TANZANIA ( TCB) IMETANGAZA TAREHE YA UFUNGUZI WA MSINGI WA KAHAWA KATIKA MIKOA YOTE TANZANIA INAYOLIMA ZAO LA KAHAWA.

Katika taarifa yao iliyochapishwa kwenye tovuti yao rasmi wameweka wazi kuwa kwa mkoa wa Kagera msimu utafunguliwa kuanzia tarehe 1/05/2026

BRRH YAENDELEA KUIMARISHA MAPAMBANO DHIDI YA VIFO VITOKANAVYO NA UZAZI Idara ya Uzazi na Kizazi ya Hospitali ya Rufaa ya...
15/04/2026

BRRH YAENDELEA KUIMARISHA MAPAMBANO DHIDI YA VIFO VITOKANAVYO NA UZAZI

Idara ya Uzazi na Kizazi ya Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Bukoba (BRRH) leo Aprili 14, 2026 imefanya kikao muhimu cha MPDSR (Maternal and Perinatal Death Surveillance and Response) chenye lengo la kujadili kwa kina vifo vitokanavyo na uzazi, kubadilishana uzoefu, kuelekezana kitaalamu na kuweka mikakati madhubuti ya kuokoa maisha ya mama na mtoto.

Akiongoza kikao hicho, Mkuu wa Idara ya Uzazi na Kizazi Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Bukoba, Dkt. Timon Theophil, amesisitiza umuhimu wa uwajibikaji, ufuataji wa miongozo ya afya pamoja na ushirikiano wa karibu miongoni mwa wataalamu wa afya katika utoaji wa huduma bora kwa mama na mtoto, ili kukomesha vifo vitokanavyo na uzazi vinavyoweza kuzuilika. Kikao hicho kimewakutanisha wataalamu kutoka Idara ya Uzazi na Kizazi, ICU, Idara ya Dawa za Usingizi, Magonjwa ya Ndani, Idara ya Upasuaji pamoja na wataalamu wengine kwa mujibu wa muongozo wa kitaifa, hatua inayolenga kuimarisha mshik**ano wa kitaalamu katika kushughulikia changamoto za uzazi kwa ufanisi zaidi.

Kupitia kikao hiki, BRRH inaendelea kuonesha dhamira yake ya kuchambua changamoto za kitabibu, kuimarisha ushirikiano wa kitaalamu, kuboresha ubora wa huduma za uzazi na kupunguza, hatimaye kutokomeza vifo vitokanavyo na uzazi ambavyo vinaweza kuzuilika, k**a sehemu ya juhudi za kuimarisha afya ya mama na mtoto katika Mkoa wa Kagera.

โœ๏ธAfisa habari Brrh Kagera

UJANA EP 04 OUT NOW on our YouTube channel๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ
15/04/2026

UJANA EP 04 OUT NOW on our YouTube channel

๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ

"Ujana" ni filamu ya kusisimua inayochunguza maisha ya vijana, ndoto zao, mapambano na changamoto zinazowakabili katika safari ya kutafuta jibu la kesho. Ni ...

03/04/2026

Tazama namna somba alivyomlamba chuma 2 Coastal Union ya Mjini Tanga.

Kituo kimachofata ni Mzizima Derby
Simba vs Azam Fc

  Baraza la Biashara la Wilaya ya Kyerwa limefanyika Aprili 2, 2026 katika Ukumbi wa Halmashauri ambalo limewakutanisha ...
02/04/2026


Baraza la Biashara la Wilaya ya Kyerwa limefanyika Aprili 2, 2026 katika Ukumbi wa Halmashauri ambalo limewakutanisha wadau mbalimbali wa biashara kutoka katika taasisi za umma na binafsi zilizopo wilayani Kyerwa.
โ€Ž
โ€ŽWafanyabiashara Wilaya ya Kyerwa, kupitia kwa Mwenyekiti wa wafanyabiashara wilaya Kyerwa Bw. Yesau Mstapha, wameomba Serikali kushughulikia changamoto zinazowakabili wafanyabiashara ikiwemo miundombinu ya barabara, umeme na mawasiliano ili kuwawezesha kutoa huduma bora kwa Wanakyerwa.
โ€Ž
โ€Ž
โ€ŽAkiongea na wadau hao, Mhe. Msofe ametoa onyo kwa wafanyabiashara wanaojihusisha na uuzaji wa bidhaa bandia, akieleza kuwa kitendo hicho ni kinyume cha sheria na kinaathiri afya za watumiaji huku akitoa rai kwa wataalamu wa Halmashauri kufanya ukaguzi wa mara kwa mara ili kudhibiti vitendo hivyo.

01/04/2026

Tutokana na mabadiliko ya Sera ya elimu ya kufanya elimu msingi kuwa miaka kumi ambapo itaunganisha darasa la kwanza hadi la sita, na kitado cha kwanza hadi cha nne.

Itasababisha ongezeko la wanafunzi hasa wakidato cha kwanza hivyo kuna uhitaji mkubwa wa vyumba vya madarasa, walimu, pamoja na miundombinu ya kufundishia.

Kwa kutambua hivyo, waziri mkuu amewaagiza wakuu wa mikoa nchuni kote kufanya maandalizi ya kutosha,



01/04/2026

**GENI_DODOMA
Hotuba ya kwanza kabsa ya JPM Ilikuwa kubana matumizi.

Na leo pia imejiridia kwenye hotuba ya utekelezaji wa bajeti ya mwaka 2025/2026 na makadrio ya bajeti ya 2026/2027



**G

29/03/2026

Aliyoyasema Mkuu wa Wilaya ya Kyerwa kwenye mkutano wa vyama vya Ushirika vya kahawa kwa Wilaya ya Kyerwa na Karagwe

Imebakia takribani miezi 2 na nusu msimu wa kahwa kufunguliwa, hivyo vyama tayari vimewmza kujipanga kufanya ukusanyaji na ununuzi wa kihistoria Part 10

29/03/2026

Aliyoyasema Mkuu wa Wilaya ya Kyerwa kwenye mkutano wa vyama vya Ushirika vya kahawa kwa Wilaya ya Kyerwa na Karagwe

Imebakia takribani miezi 2 na nusu msimu wa kahwa kufunguliwa, hivyo vyama tayari vimewmza kujipanga kufanya ukusanyaji na ununuzi wa kihistoria Part 9

Address

Nyamagana
Mwanza

Telephone

+255743488427

Website

https://youtube.com/@adrianaudax3536?si=wDH1sdDdhb3MtV4J

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Adrix Media posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Adrix Media:

Share