Hiwamedia

Hiwamedia Home of stories

September 1, 1969 , Gaddafi aliingia madarakani baada ya kumpindua Mfalme Idris wa kwanza , ambaye utawala wake nchini L...
09/05/2022

September 1, 1969 , Gaddafi aliingia madarakani baada ya kumpindua Mfalme Idris wa kwanza , ambaye utawala wake nchini Libya ulidumu kwa takribani miaka 18. (1951-1969)
utawala mpya wa Gaddafi nchini Libya ulikuwa na sura mbili tofauti, sura moja ilikuwa ya tabasamu iliyojaa upendo na huruma kwa raia wa Libya na Afrika kwa ujumla, kwani unaambiwa enzi za utawala Gaddafi , Libya ilikuwa k**a peponi , Wananchi wa Libya waliyafurahia maisha pia raia wengi wa nchi za jirani na Libya walienda Libya kutafuta maisha na waliporudi katika nchi zao , walikuwa matajiri wakubwa.
-Pia Gaddafi aliamini Afrika inaweza kusimama bila hata ya msaada wa watu weupe na kwa kulithibitishia hili , Gaddafi katika utawala wake uliodumu kwa muda wa miaka 42 , hakuwahi kukopa hata senti 5 kutoka IMF wala benki ya Dunia.. GADDAFI ALIIACHA LIBYA HAINA DENI..

kuna mengi tumekuandalia kuhusu mzalendo huyu kupitia makala hii fupi ambayo itakupa taarifa kamili kuhusu kuhusu utawala wake nchini Libya na namna alivyouawa kinyama, tumekuekea pale You Tube.
Gusa maandishi ya bluu hapa chini ukaitazame.
https://youtu.be/n1UO02MQypk
https://youtu.be/n1UO02MQypk
https://youtu.be/n1UO02MQypk

mwaka 2009 katika mkutano wa 64 wa umoja wa mataifa uliofanyika nchini marekani katika mji wa New York ,GADDAFI  alisima...
28/04/2022

mwaka 2009 katika mkutano wa 64 wa umoja wa mataifa uliofanyika nchini marekani katika mji wa New York ,GADDAFI alisimama akiwa ndani ya mavazi yake ya kiafrika pamoja na kiingereza chake cha kuungaunga ( hakuwa na kiingereza kizuri sababu aligoma kujifunza lugha hiyo tangu akiwa mdogo anasoma) aliongea na kuzitaka nchi zote duniani ambazo ziliwahi kumiliki makoloni Barani Afrika , zilipe dola trilioni 7.77 k**a fidia kwa Waafrika. lakini hata hivyo miaka miwili mbele yaani mwaka 2011 aliuwawa kifo cha kinyama.
Muammar Gaddafi, tumekuandalia makala itakayoangazia maisha yake tangu akiwa mdogo, kabla na baada ya kuingia madarakani mpaka kuuawa kwake.
Gusa link hii hapa chini.. kuitazama makala hii

https://youtu.be/n1UO02MQypk
https://youtu.be/n1UO02MQypk
https://youtu.be/n1UO02MQypk

makala hii inaangazia maisha ya aliyekuwa Rais wa kwanza wa libya ambaye alikaa madarakani kwa miaka 42 , kwanzia utoto wake, kabla na baada ya kuingia madar...

Hadithi zimekuwa nyingi kumuhusu Albert Mangwair hasa taarifa za kifo chake.Wengi wanadai kwamba alikufa kutokana na mat...
12/04/2022

Hadithi zimekuwa nyingi kumuhusu Albert Mangwair hasa taarifa za kifo chake.

Wengi wanadai kwamba alikufa kutokana na matumizi ya madawa ya kulevya kupitiliza.

Wengine wamekwenda mbali zaidi wakisema alikuwa akisafirisha madawa yaliyokuwa ndani ya tumbo lake, hivyo yalijipasua tumboni hali ambayo ilisababisha kifo moja kwa moja.

Wapo ambao wanasema, alikuwa anaumwa. Afya yake haikuwa nzuri na wala hakutumia madawa ya kulevya.

Lakini ipo riport ya daktari ambayo inaeleza kila kitu kuhusu kifo cha R***r huyu.

Je ukweli ni Upi? Ni ile kauli ambayo aliisema Majani kwamba Albert aliingia katika madawa kutokana na baadhi ya kituo (anakitaja) kwamba kilimnyonya?

Ama wale ambao wanasema alitumwa kwenda kupeleka madawa ya kulevya South Africa? Kujua yote haya tumekuwekea kila kitu kinachohusu maisha yake, kifo chake na vipi aliingia katika matumizi ya madawa ya kulevya.

Gusa link๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡ Tukafuatulie kwa pamoja tufahamu ni nini haswa kilitokea kwa Mangwair hadi akapoteza maisha

https://youtu.be/N4YyBfax9eY

https://youtu.be/N4YyBfax9eY

Makala hii inaangazia maisha ya R***r kutoka Tanzania ambaye kabla ya kifo chake alienda South Africa huku akiacha maneno mengi wapo wanaoesema alikufa kwa m...

Tunapoizungumzia RMS TITANIC fahamu ya kwamba tunazungumzia meli kubwa zaidi kuwahi kutengenezwa na mwanadamu.Tarehe 10 ...
10/04/2022

Tunapoizungumzia RMS TITANIC fahamu ya kwamba tunazungumzia meli kubwa zaidi kuwahi kutengenezwa na mwanadamu.

Tarehe 10 mwezi April mwaka 1902 ndio siku ambayo Meli ya Titanic ilizama.

Lakini fahamu ya kwamba kabla ya kuzama Kapten Edward Smith alipokea onyo kali kuhusu uwepo wa miamba ya barafu baharini ambayo ingezamisha meli lakini hakulichukulia k**a linaweza leta madhara.

Safari ambayo ilitazamiwa kuchukua siku saba kutoka Uingereza hadi New York mareiani, lakini haikuwa hivyo.

Baada ya masaa matano tu tangu kuanza safari, meli ya Titanic ilizama.

Yapo mengi nimekuandalia, gusa link kwenda kufuatilia kwa kina kuhusu kuzama kwa Meli ya Titanic.

https://youtu.be/NV1gt7CL5mw

https://youtu.be/NV1gt7CL5mw

Tarehe 10 mwezi wa April 1902 meli ya Titanic ilianza safari yake kuelekea New York Marekani. Hii ndio meli kubwa kuwahi kutengenezwa katika historia ya mais...

zipo stori zinazosema kwamba Nelson Mandela aliuawa mwaka 1985 akiwa ndani ya gereza la Roben Island akiwa na umri wa mi...
09/04/2022

zipo stori zinazosema kwamba Nelson Mandela aliuawa mwaka 1985 akiwa ndani ya gereza la Roben Island akiwa na umri wa miaka 67 tu.. na yule aliyefariki mwaka 2013 akiwa na miaka 98 hakuwa Nelson Mandela...
ndio maana nchini Afrika Kusini wanasheherekea tu siku ya kuzaliwa kwa Nelson Mandela kila ifikapo July 18 wakisindikiza na tukio la dakika 67 za hisani kwa kufany mema katika jamii , wakiamini kwamba Nelson mandela aliishi miaka 67 tu na ndani ya miaka 67 hiyo alifanya mambo mema..hivyo wanaenzi mambo mema ambayo Nelson Mandela aliyafany kwa miaka 67 ndani ya Dakika 67...
k**a Nelson Mandela alifariki mwaka 1985 je yule aliyefariki mwaka 2013 ni nani..anatokea wapi.? jina lake kamili ni nani...?
Majibu ya swali lako..tumekuekea katika makala hii iliyojaa mengi ya kushangaza..gusa maandishi ya bluu hapa chini ukaitazame
https://youtu.be/HM8TKg1p8pI
https://youtu.be/HM8TKg1p8pI

Makala hii inaangazia kuhusu ukweli wa aliyekuwa rais wa kwanza wa Africa Kusini Nelson Mandela.

Maisha ya Harry Maguire ndani ya Manchester United yamekuwa mabaya, hana furaha k**a ambavyo ilitarajiwa.Maguire amekuwa...
08/04/2022

Maisha ya Harry Maguire ndani ya Manchester United yamekuwa mabaya, hana furaha k**a ambavyo ilitarajiwa.

Maguire amekuwa k**a Torres aliyetoka Liverpool na kwenda Chelsea, ubora wake ambao alikuwa nao katika klabu ya Leicister haupo nao tena.

Huenda kocha anashindwa kumtumia vizuri au kuna nini? Kuna kipi nyuma ya panzia katika maisha yake.

https://youtu.be/WYBfEp4t4GQ

https://youtu.be/WYBfEp4t4GQ

Herry Maguire beki ghali zaidi aliyekipiga katika klabu ya Man United ambaye anachekwa na kushushwa thamani kila siku. karibu katika makala kamili ambayo ita...

LANZINI 'FIT' KUIKABILI EVERTON.Mapema wiki hii kiungo wa West Ham raia wa Argentina,Manuel Lanzini alipata ajali mbaya ...
02/04/2022

LANZINI 'FIT' KUIKABILI EVERTON.

Mapema wiki hii kiungo wa West Ham raia wa Argentina,Manuel Lanzini alipata ajali mbaya ya gari baada ya kugonga mti akiwa njiani anaelekea mazoezini huko Rush Green, mashariki mwa jiji la London, na kuzua taharuki

sasa kupitia mtandao wa Instagram Nyota huyo ameibuka na kutuliza nyoyo za mashabiki na wapenzi wa soka duniani juu ya hali yake kiafya.

Manuel Lanzini amewashukuru mashabiki wa soka ambao walikuwa wakimtumia jumbe za kumpa pole, pia ameweka wazi kwamba japokuwa ajali ilikuwa ni mbaya na ya kutisha lakini anamshukuru mungu kwamba kila kitu kinaenda sawa.

kwa upande wa kocha mkuu wa klabu hiyo, David Moyes amekiri kwamba mchezaji huyo anaendelea vizuri na anaweza kumtumia katika mchezo wao wa ligi kuu dhidi ya Everton ambao utapigwa mwishoni mwa wiki hii katika dimba la London Stadium.

Kwa habari mbalimbali za michezo na burudani kaa karibu nasi

EPL LEO 02 APRIL
02/04/2022

EPL LEO 02 APRIL

   Meneja wa Brentford  Thomas , atoa neno kuhusu mazungumzo juu ya mpango  wa  mkataba mpya wa Christian Eriksen "Tunap...
02/04/2022

Meneja wa Brentford Thomas , atoa neno kuhusu mazungumzo juu ya mpango wa mkataba mpya wa Christian Eriksen
"Tunapenda aendelee , naamini Christian anafurahia kuwa hapa, lakini naamini kuwa hakuna kitakachosainiwa kabla ya msimu huu kuisha"
mapema mwaka huu Christian Ereksen alijiunga na Brentaford kwa mkataba wa miezi sita ambao utampeleka mpaka mwisho wa msimu na mpaka sasa hana goli lolote alilofunga katika mchezo wowote wa ligi kuu England akiwa na Brentord katika michezo mitatu aliyoichezea timu hiyo.

Endelea kuwa karibu nasi kwa habari mbalimbali za michezo na burudani.

(CHANZO: FABRZO ROMANO)

DROO YA KOMBE LA DUNIA: UHISPANIA, UJERUMANI KUNDI MOJADroo ya kupanga Makundi ya Michuano ya Kombe la Dunia 2022 imefan...
01/04/2022

DROO YA KOMBE LA DUNIA: UHISPANIA, UJERUMANI KUNDI MOJA

Droo ya kupanga Makundi ya Michuano ya Kombe la Dunia 2022 imefanyika leo huko Doha, Qatar

Katika droo hiyo, Senegal imewekwa Kundi moja na Uholanzi huku Morocco ikiwa Kundi moja na Ubelgiji na Croatia

Wazee wakubet tunasimama Upande Upi๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜Š

Rose Ndauka "Sanaa ya Bongo Bila Kuwa Mtupu Huwezi Kuwa Bora" Msanii wa filamu kutoka Tanzania Noureen Mkongwa maarufu k...
01/04/2022

Rose Ndauka "Sanaa ya Bongo Bila Kuwa Mtupu Huwezi Kuwa Bora"

Msanii wa filamu kutoka Tanzania Noureen Mkongwa maarufu k**a Rose Ndauka amewajia juu wadau wa sanaa nchini kufuatia mwenendo wao hasa katila upande wa filamu.

Rose Ndauka ambaye pia ni msanii wa Bongoflava ametumia ukurasa wake wa Instagram kuwapa taarifa mashabiki zake kuwa anaacha mziki lakini pia amezungumza namna ambazo soko la filamu na muziki lilivyo mchini huku akisisitiza kwamba bila kuwa mtupu katika kufanya filamu basi huwezi kuwa muigizaji bora.

"Mimi Naureen Mkongwa maarufu k**a Rose Ndauka, kwa ihari yangu mwenyewe leo natangaza rasmi kuacha kuigiza na kufanya Muziki rasmi mara baada ya kutoona faida na manufaa yake zaidi ya kudharauliwa kila kukicha na kushushiwa heshima yangu.

Kwakipindi kirefu sasa nimekuwa nikitumikia sanaa na ndio iliyonipa Umaarufu huu nilionao, nawashukuru sana Mashabiki zangu katika Tasnia ya Filamu lakini pia nawashukuru sana mashabiki wapya niliojizolea kwenye fani yangu nyingine ya Muziki kwa sapoti yenu pamoja ushauri mwingi na tofautitofauti mlionipatia.

Leo nimeamua rasmi kuachana na mambo yote yanayojihusisha na sanaa kutokana na dhulma, urimbukeni, ubabe, manyanyaso, ubadhilifu na mengine mengi yaliyojaa husda na chuki unapofanya vizuri.

Najua ntakuwa nimewakwaza wengi kutokana na maamuzi haya ila sina budi kutokana na kulinda heshima yangu niliyojijengea tangu naanza sana mpaka leo hii nipo kwenye ndoa na familia inayonitegemea k**a mama.

Hakuna yoyote aliyenishawishi ila nimaamuzi yangu binafsi ambapo naamini kabisa mta yaheshimu na kuzingatia, Mume wangu mpenzi najua ntakuwa nimekudisapointi sana juu ya maamuzi haya, ila naomba uyaheshimu kwa maslahi ya baadae ya watoto wetu.

Sanaa ya Bongo bila kujichachua kidogo๐Ÿ˜œ, kuaa mtupu ๐Ÿ‘ปโ˜ ๏ธ ama kunyenyekea waliotangulia na mapapa fulani hivi huwezi kuwa bora, ndomana utakuta kila siku tunatoa watu walewale tu na uwezo wao fake, sasa kwasababu ya hawa kadhaa wanaochafua sanaa yetu nimeona nikae kimya.

Mungu ibariki Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ โ™ฅ๏ธ Mungu ibariki sanaa yetu kwa ujumla wake. ''

Hata hivyo baadhi ya mashabiki wanadai kuwa huenda msanii huyo ameamua kutengeneza kiki huenda ana kazi mpya anataka kuachia siku za usoni.

Yapi maoni yako! Funguka.

Endelea kuwa karibu na HIWAMEDIA kila siku ili usipitwe na habari muhimu.

Habari kubwa katika Magazeti ya Tanzania leo April Mosi, 2022
01/04/2022

Habari kubwa katika Magazeti ya Tanzania leo April Mosi, 2022

Address

Mwanza
4492

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Hiwamedia posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Hiwamedia:

Share