Tripple T.com thadeo thobias tarimo

Tripple T.com thadeo thobias tarimo Iko vizur no dag men

KD
10/06/2026

KD

20/03/2026
03/01/2025
*πŸ›SOMA SALA HII πŸ›*πŸ› Bwana Yesu , ninakuja mbele zako .Ninakuomba unisamehe maana nimejitamkia maneno mabaya ya kushindwa...
28/11/2023

*πŸ›SOMA SALA HII πŸ›*

πŸ› Bwana Yesu , ninakuja mbele zako .
Ninakuomba unisamehe maana nimejitamkia maneno mabaya ya kushindwa.

πŸ›Nirehemu ee BWANA , maana sikukujua lakini sasa nimejua makosa yangu juu ya maneno mabaya niliyojitamkia.

πŸ› Nakuomba uyafute maneno mabaya niliyojitamkia katika maisha yangu , katika jina la Yesu .

πŸ›Ninaomba uwasamehe hata wale walionitamkia maneno mabaya juu ya familia yangu , biashara zangu, ndoa yangu , elimu yangu n.k

Ee Mungu uyafute maneno yao mabaya , waliyonitamkia kwa kujua na kwa kutokujua. Kwa damu ya Yesu futa maneno yao kuanzia sasa , maana imeandikwa:

πŸ‘¨πŸ»β€πŸ’»πŸ“– 10 Bwana huyabatilisha mashauri ya mataifa, Huyatangua makusudi ya watu.
Zaburi 33 :10

11 Shauri la Bwana lasimama milele, Makusudi ya moyo wake vizazi na vizazi.

Zaburi 33 :11

Nami nakuomba maneno niliyotamkiwa uyafutilie mbali katika maisha yangu , familia yangu , ndoa yangu n.k bali neno lako likasimame daima maishani mwangu katika jina la Yesu .Amen

πŸ”₯Katika jina la Yesu , ninasema k**a ilivyoandikwa;

πŸ“–πŸ‘¨πŸ»β€πŸ’» 7 Bwana MUNGU asema hivi, Neno hili halitasimama wala halitakuwa.

Isaya 7 :7

Ninaamuru kila maneno mabaya kutokusimama katika maisha yangu na ndoa yangu , familia yangu , elimu yangu n.k

Maana imeandikwa:

πŸ“–πŸ‘¨πŸ»β€πŸ’» 10 Fanyeni shauri pamoja, nalo litabatilika; Semeni neno, lakini halitasimama; Kwa maana Mungu yu pamoja nasi.

Isaya 8 :10

πŸ‘‰ninayaamuru maneno yote mabaya niliyotamkiwa na niliyotamkiwa kuwa batili , katika jina la Yesu.

πŸ”₯Ninaamuru kila maneno mabaya na roho ya uharibifu kuachia maisha yangu , katika jina la Yesu nina yavua mavazi ya maneno mabaya kwa damu ya Yesu .

πŸ“–πŸ‘¨πŸ»β€πŸ’» 22 Na katika Torati karibu vitu vyote husafishwa kwa damu, na pasipo kumwaga damu hakuna ondoleo.

Waebrania 9 :22

Asante Bwana Yesu kwa kuwa unasikia kuomba kwangu nami najikabidhi mikononi mwako sasa na hata milele .Amen

BIBILIA NI JIBU LAKO βœοΈπŸ™πŸ™πŸ™

27/07/2023

It so good

*Mstari wa Leo**Wakolosai 3:5* (5)Basi, vifisheni viungo vyenu vilivyo katika nchi, uasherati, uchafu, tamaa mbaya, mawa...
27/07/2023

*Mstari wa Leo*

*Wakolosai 3:5*
(5)
Basi, vifisheni viungo vyenu vilivyo katika nchi, uasherati, uchafu, tamaa mbaya, mawazo mabaya, na kutamani, ndiyo ibada ya sanamu;

*~Sanamu ni zaidi ya kitu cha kuchongwa*

*~Kuna watu wanawanyooshea wengine vidole na kuwaita waabudu sanamu kumbe wao ndio waabudu sanamu wakubwa*

*~Haujachonga kitu chochote na kukiabudu lakini ni mwasherati, mchafu, una tamaa na mawazo mabaya ujue kuwa upo kwenye fungu la waabudio sanamu*

*~Acha uasherati, uchafu wa kila namna, tamaa mbaya na mawazo mabaya*

*KAA UWEPONI MWA BWANA*

Address

Mkata Chaka La Simba
Tanga
BAH

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Tripple T.com thadeo thobias tarimo posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share